Kwa ulimwengu huu wa sasa Fani ya Procurement bado inafundishwa vyuoni kwa sababu gani?

Kwa ulimwengu huu wa sasa Fani ya Procurement bado inafundishwa vyuoni kwa sababu gani?

Kama mtu anaweza akajiajiri katika fani ambayo hajasomea, kwanini tunapoteza muda huko vyuoni?
Unapoteza muda vipi? Nchi lazima iwe na wataalamu wa fani zote, unajua sisi wa Africa kutokana na ugumu wa maisha tunaamini elimu ni ajira, lengo la elimu ni kutengeneza wataalamu
 
Unapoteza muda vipi? Nchi lazima iwe na wataalamu wa fani zote, unajua sisi wa Africa kutokana na ugumu wa maisha tunaamini elimu ni ajira, lengo la elimu ni kutengeneza wataalamu
Hahahaaaaaa, mkuu, sasa mtaalam wa Petroleum Engineering anaendesha Bajaj kijiwe kimoja na yule wa kidato cha sita, huyo mtaalam ana faida gani kwa taifa?
 
Mkuu, huyo jamaa inaonekana ni mnufaika wa hizi corrupt systems za Afrika. We seriously need to change.
Tukizungumzia uhalisia wa mambo hasa sekta ya taaluma, bado tunachanga moto kubwa mnoo. Course nyingi zinaanzishwa kwetu lakini hazitumiki ipasavyo.
Ukisoma vitabu vya accounting vya wenzetu wa magharibi, utaona katika idara ya fedha kuna finance director, chini wapo accountant and tax personnel. Hizo course zote tumeletewa kwetu, applicability yake ndo kizungumkuti, makampuni mengi hayana tax department, majukum ya kikodi hufanywa na mhasibu. Hawa maelfu wanaosoma kodi wanaishia kufanya related task au kujikuta nje ya mfumo. Japo ni nje ya mada, ina-reflect na mada tunayojadili hasa kwa kada hiyo.
 
Asante kwa taarifa. All in all, procurement haisaidii self employment kwa fresh graduates.
Ndani yake unasoma kozi zinazokuwezesha ufanye self employment eg, entrepreneurship, strategic management, financial accounting
 
Baada ya kusoma mada na kutafakari kwa kina, ninaunga mkono hoja kwa 100%, hiyo kozi ya Procurement and supplying kwa inapaswa ifutwe kabisa hapa Tanzania kwenye vyuo vyetu. Haina maana yoyote kijana asiyekuwa na Connection ya wakubwa serikalini ya kuja kumpa ajira.
 
Mbona wanauhitaji sana mkuu. Mtu wa store anayecheza na stock ya store ni muhimu sana eneo lolote ambapo kuna store kama hotelini, mgahawa, gereji, hospital, popote pale ambapo kuna store.
Store anafundishwa mwanafunzi anaesoma accounting kuna topic kabisa na ipo deep Sana procurement ifutwe hii course
 
Baadhi ya vyuo Duniani vimekuwa vikifanya mabadiliko ya mitaala na kufuta ama kuachana na fani ambazo haziendani na wakati.

Bado najiuliza, kwa Dunia ya sasa fani ya Procurement inafundishwa vyuoni kwa sababu gani? Ni fani ambayo haina umuhimu wowote kwa karne hii ya 21.

Mtoto akisoma Procurement basi umuhimu wake ni aajiriwe Serikalini zaidi ya hapo fani haina umuhimu wowote,na haina msaada wowote kwa mhitimu. kwanini iendelee kufunishwa vyuoni?

Hii fani ilipaswa kuwa sehemu ya course za watu wanaosoma finance/accounts lakini sio kuwa independent course.

Wakati tunafanya mabadiliko ya mitaala ya elimu, tusisahau ya vyuo vikuu. Vyuo wao wanachotaka ni hela tu kwa kuanzisha fani sizizo na maana yoyote ambazo hazina msaada kwa wahitimu.

Fani ya Procurement inapaswa kufutwa. Mzee Kishimba aliwahi kuuliza, mtu anasoma fani ya manunuzi ananunua nini?
Uko sahhi San ingefundishwa kwa watu wa account au wale engineering wapate hyo Kaz Tena iwe very short sana haina maana nikisikia mtot anasoma procure au education natamani nimuambienkuwa aende hata veta tu akajifunze ufundi simu na ufundi uwashi au umeme wa manyumbani atapiga pesaa mnoo
 
Baada ya kusoma mada na kutafakari kwa kina, ninaunga mkono hoja kwa 100%, hiyo kozi ya Procurement and supplying kwa sasa inapaswa ifutwe kabisa hapa Tanzania kwenye vyuo vyetu. Haina maana yoyote kijana asiyekuwa na Connection ya wakubwa serikalini ya kuja kumpa ajira.
Vipi kuhusu mining engineering, petroleum engineering, civil engineering, accountancy, taxation, public relations, nk wao wanajiajiri vipi
 
Procurement and Supply ilipaswa kuwa ni subcourse kwenye kozi zingine kulingana na kada husika na sio kuwa kozi kamili ya kuisomea na kupewa degree.
 
Ni kweli, Kuna watengeneza simu ambao hawajawahi kugusa hata darasa, Kuna watu wanafanya wiring vizuri Sana, na mambo mengine yanayohisisha fani ya electrical engineering licha ya kwamba hawajawahi kanyaga darasa, Kuna watu wanatengeneza ramani za nyumba na hawajawahi kugusa darasa la architecture, Kuna watu ni watumiaji na mafundi wazuri tu wa computer na hawana hata degree ya it, au computer science kwa hiyo nikusahihishe tu kwamba chochote kinaweza fanywa na yoyote tu
Sikubaliani na wewe kwa sababu, hayo yanaonekana yanawezekana kutokana na mfumo wa mazingira yetu, mfumo wa maisha usio rasmi.
Tuzungumzie taaluma katika maana nzima ya mtindo wa maisha katika mfumo rasmi. Hii haikubaliki.
Na ndio maana kwa mazingira haya yasiyo rasmi, ni kawaida kukita kijana wa mwenye MBA akiishi kwa kuendesha bajaji.
 
Procurement and Supply ilipaswa kuwa ni subcourse kwenye kozi zingine kulingana na kada husika na sio kuwa kozi kamili ya kuisomea na kupewa degree.
[emoji16][emoji16] una machungu either wewe ni supplier ulinyimwa tender, acha watu wapige 10%
 
Vipi kuhusu mining engineering, petroleum engineering, civil engineering, accountancy, taxation, public relations, nk wao wanajiajiri vipi
Soma mada na kuelewa, usikariri ndugu. Mleta mada amekuja kuzungumzia kozi moja mahususi ya Procurement and Supply. Zipo kozi nyingi za ovyo na zisizo na kichwa wala mkia hapa Tz kwa sasa, Procurement and Supply ni mojawapo katika hizo, tena huenda ni kinara.
 
Procurement and Supply ilipaswa kuwa ni subcourse kwenye kozi zingine kulingana na kada husika na sio kuwa kozi kamili ya kuisomea na kupewa degree.
Punguzenj chuki na watu wa procurement, ili kukufanya uendelee kuwa na machungu zaidi nj kwamba watu wa procurement wamezungukwa tu na pesa ,

Kuhusu kujiajiri msiwapeleke shule watoto ili muwafundishe kujiajiri huko majumbani
 
Back
Top Bottom