bronze
JF-Expert Member
- May 24, 2020
- 430
- 803
Unapoteza muda vipi? Nchi lazima iwe na wataalamu wa fani zote, unajua sisi wa Africa kutokana na ugumu wa maisha tunaamini elimu ni ajira, lengo la elimu ni kutengeneza wataalamuKama mtu anaweza akajiajiri katika fani ambayo hajasomea, kwanini tunapoteza muda huko vyuoni?