Kwa Ulinzi wa Dotto Biteko, Serikali itunge sheria kudhibiti matumizi mabaya ya Ofisi

Naona ni mwendo wa kutafuta kiki kwenye nchi ya wadanganyika.
 
Kwani wewe unataka kumfanya nini?
 
Nchi hii ulimbukeni umekuwa mwingi sana.

Hizi zote ni dalili za nchi iliyochoka sana kimwelekeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…