mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Hujengwa na wenye Moyo !!Nchi huliwa na wenye meno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujengwa na wenye Moyo !!Nchi huliwa na wenye meno
Huyo hawezi kua raisi acha kuotaWALIO SEMA HAKUNA RAISI ATATOKEA KANDA YA ZIWA DAIMA NA MILELE , HAYA MKO. WAPIIII,....HAPOO NI IN MAKING......
Hatar sn 😅Hahahaha 🤣🤣 mgao wa umeme kuisha vigumu mafuta yenyew sahz 5000 per litre
You never know !!Huyo hawezi kua raisi acha kuota
Kwa hiyo ?!!!Hakuna Waziri Mkuu amewahi kufanikiwa kupanda cheo Nchini TZ
Wenye meno ni wachache....siye wenye mioyo tuko wengiiiiiii.....[emoji1787]Nchi huliwa na wenye meno
Ukweli %In poor countries, less important leaders are more protected than the important ones.
Tecno F1[emoji41]Dokta mzima unaongopa ?!!! [emoji1787][emoji1787][emoji3]
Yaani Rais wa US awe na hao walinzi 8?!!!!
Unachekesha walionuna?!!![emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣 We jamaa ni fala sanaTecno F1[emoji41]
Kwani wewe unataka kumfanya nini?Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kudhibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...
Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..
Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142
Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo
View attachment 2748144
Na hii nyingine..
View attachment 2748150
Wivu 🤣🤣Masikini akipata matk hulia mbwata. Wahenga walikuwa na akili sana. Waliyaona mambo kabla hayajatokea. Walimwona Biteko kabla hajazaliwa.
Sanaa ndo mana watu wanakwepa.....we lundo la watu lote hilo eti linalinda mtu mmoja...meanwhile kuna vitongoji huku uraian havina vituo vya polisiKodi zetu zinatumika kindezi sana.
Wahuni wakiamua hawana cha nchalia ntume,walimnyakua Uncle MMsaidizi wa WAZIRI MKUU huyo...
Anastahili ulinzi wa hivyo....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tajiri huo ndio uwezo wangu mimi wa kifedha [emoji120]Tecno F1[emoji41]
Si fala....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] We jamaa ni fala sana
Lini ulilala mlango wazi maeneo hatarishi ya wizi ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]Wahuni wakiamua hawana cha nchalia ntume,walimnyakua Uncle M