niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Um
Je tuna wasanii wangapi nchini kiasi kutosha kwa kila mgombea wa ccm?.
Lissu kujaza watu uwanja wa furahisha lakini mwanza ina majimbo mengi, mkumbuke hilo.
Unataka kuniambia wagombea wa udiwani na ubunge kwa ccm wana hutubia mawe na miti?!.Mkuu kwa nini hawaendi kwa fisiemu mpaka waweke tamasha la mziki?
Je tuna wasanii wangapi nchini kiasi kutosha kwa kila mgombea wa ccm?.
Lissu kujaza watu uwanja wa furahisha lakini mwanza ina majimbo mengi, mkumbuke hilo.