kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,872
hata huku tarime ukiwa na tako kubwa unazomewaKwani kazi ya calio kubwa ni nini huko Dar? Haya mambo huwezi kuyasikia huko Misungwi
Hakuna kitu kama hicho, uongezee makalio ufie huko kwa shetani then ulete sijui Leo kwangu kesho, hebu kuwa seriously basi na kumuheshimu Mungu hata kidogo, we unaona alichokuwa anafanya ni sawa!?Mkuu leo kwangu kesho kwako. Today is me tomorrow is someone. Wee changa tu dada yetu mtanzania mwenzetu arudishwe nyumbani apumzike.
Totoo maswali gani haya, hebu njoo huku tuongee nimekumissKwani kazi ya calio kubwa ni nini huko Dar? Haya mambo huwezi kuyasikia huko Misungwi
Changia wewe, Mimi sichangiagi upumbavuHapo huchangii akawekewe kalio. Bali unachangia mwili wake urudishwe waje kuufukia.
Yeye akiwa hai alifanya upuuzi sawa. Ila ameshafariki, huyo si yeye tena. Ni kasha lake.
Namimi ndio nashangaa hukohuko tuu, naskia ile surgery bei mbaya sana wanawake wa sikuizi akili hamna, hasahasa madada wa mjini wa darWamzike tu huko huko.....
Tupo pamoja, na hata wanaopost achangiwe ni watu wa aina yake, ila dar aisee Kuna ujinga mwingi sanaWajomba zake na shetani, walio mtuma amkosoe Mungu, ndio wachangie huo ujinga,hebu kuweni basi na adabu hata kidogo...
Changa tu ndugu.Amekwisha fariki hawezi kujibu maswali yetu.Mmepita huku insta mkaona harambee ya watoto wa mjini??
Wanachangisha michango Ili kuleta mwili wa dada mmoja aliefikia uturuki katika harakati za surgery ya kuweka makalio, kwahyo inasemakana ndugu na marafiki hawana uwezo. Wa Kusafirisha mwili kuja Tanzania.
Nataka kujua hivi hizi surgery uturuki ni shingapi?? Mbona kama sielewi hapa? Naskia sikuizi harambee kama hizi wanazitilia mkazo maana michango ukituma chench itakayozid ni Yao.
Kwa upande wangu siwez KUMCHANGIA mtu aliefia uturuki kwenye surgery ya kuongezea makalio, alikufa katika harakati za kumkosoa Mungu, HICHO NDICHO ANACHOSTAHILI AZIKWE HUKOHUKO.
View attachment 2980428
Doggy styleKwani kazi ya calio kubwa ni nini huko Dar? Haya mambo huwezi kuyasikia huko Misungwi
Wanaenda Turkey kwasababu huko hizo surgery ni bei nafuu hawajui cheap is expensive.Namimi ndio nashangaa hukohuko tuu, naskia ile surgery bei mbaya sana wanawake wa sikuizi akili hamna, hasahasa madada wa mjini wa dar
Sio wote watakuelewa ila upo sahihi kabisa nimekuelewa. Uliyeleta Uzi weka link tuangalie sisi tutamchangia sisi ni wamoja.Hapo huchangii akawekewe kalio. Bali unachangia mwili wake urudishwe waje kuufukia.
Yeye akiwa hai alifanya upuuzi sawa. Ila ameshafariki, huyo si yeye tena. Ni kasha lake.
Mhhh GT kumbuka tuko kwenye msiba tumempoteza dada yetu huko kwa salt bae. Mengine tuvunge kwa sasaTotoo maswali gani haya, hebu njoo huku tuongee nimekumiss