Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Hivi hiyo pesa isipopatikana, huo mwili huko Uturuki wataufanya nini?
Nawapa pole sana wafiwa, lakini huku kuwachangisha pesa kwa uzito mkubwa watu ili kuukomboa mwili wa maiti iliyofikia ughaibuni siliungi mkono sana, lilipaswa kubakia ndani ya uwezo wa kifamilia. Tujenge utamaduni wa kuchangia vitu vya maana zaidi, sio kila kitu tuchangishane.
Nawapa pole sana wafiwa, lakini huku kuwachangisha pesa kwa uzito mkubwa watu ili kuukomboa mwili wa maiti iliyofikia ughaibuni siliungi mkono sana, lilipaswa kubakia ndani ya uwezo wa kifamilia. Tujenge utamaduni wa kuchangia vitu vya maana zaidi, sio kila kitu tuchangishane.