Kwa upande wangu siwezi KUMCHANGIA aliyefia Uturuki akifanya surgery ya urembo

Kwa upande wangu siwezi KUMCHANGIA aliyefia Uturuki akifanya surgery ya urembo

Hivi hiyo pesa isipopatikana, huo mwili huko Uturuki wataufanya nini?
Nawapa pole sana wafiwa, lakini huku kuwachangisha pesa kwa uzito mkubwa watu ili kuukomboa mwili wa maiti iliyofikia ughaibuni siliungi mkono sana, lilipaswa kubakia ndani ya uwezo wa kifamilia. Tujenge utamaduni wa kuchangia vitu vya maana zaidi, sio kila kitu tuchangishane.
 
Doggy style
20240502_092625.jpg
 
Kama una uwezo changia. Hizi taarifa za kuwa alienda kufanya plastic surgery ya makalio zina ukweli ndani yake? Maana plastic surgery siyo kwaajili ya kuongeza makalio tu.

Chukulia mfano huyo angekuwa ni mwanaume mwenye tatizo la Gynecomastia na amefariki akiwa anafanyiwa plastic surgery, hapo pia usingetoa msaada?
Alienda kuongezea makalio, na huo ndio ukweli,
 
Back
Top Bottom