Kwa upande wangu siwezi KUMCHANGIA aliyefia Uturuki akifanya surgery ya urembo

Kwa upande wangu siwezi KUMCHANGIA aliyefia Uturuki akifanya surgery ya urembo

We usimchangie au umchangie maiti haina shida na mchango wako, mtu akishakufa hana kauli tena kwaiyo mliobakia ndo mtafanya maamuzi izo sio shida zake ye keshamalizana na Dunia.
 
We usimchangie au umchangie maiti haina shida na mchango wako, mtu akishakufa hana kauli tena kwaiyo mliobakia ndo mtafanya maamuzi izo sio shida zake ye keshamalizana na Dunia.
Jibu la kibabe sana hili 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Azikwe uko uko au achomwe walete majivu ktk envelope gharama waweze kuafford , sasa ayo matakro ya nini binadamu mbona hawaridhiriki shame on her , kitambi mbona natural unapunguza just juis ya nanasi tangawizj na tango chap tu
 
Kwani wanataka wamlete huku kama kivutio kwamba marehemu alikua na matako makubwa? Au akiletwa huku atafufuka? Azikwe huko huko tutakutana mbinguni
 
Wanao enda uturuki ni wale wenye masponsa, au aliyejichanga vya kushatooo, sasa yeye apeche alolo anakimbilia sajaree.

Polee yake, woiiiiiih
 
Nilikua nakuheshimu sana mkuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa niaba yake huyo Mgelasi,The Mogolian savage and trouble maker Maghayo
Naomba Usipoteze hiyo heshima yake nusu unayo mheshimu please
Huyo ni braza yangu kabisa
Sometimes YES sometimes NO yote hayo yanatokana na stress maana kuna muda kibibi chake cha kizungu kilichomweka ndani pale jijini Stockholm hua kinamchanganya na kumzaba makofi,
Maana hua anajisahau sana barabarani wanavyoenda kufanyisha mbwa mazoezi hua anaangalia pisi za wenyewe mpaka anageuza kichwa ikimaanisha ana tamaa sana sasa hiyo hali hua inampa changamoto kibibi wa wa watu akidhani soon jamaa atahamisha majeshi!

Au nasema uongo mkuu adriz Mufti kuku The Infinity?
😁😁
 
Back
Top Bottom