kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,872
- Thread starter
- #21
Ni shngap, na ticket go and return shingap?? Jumla?Wanaenda Turkey kwasababu huko hizo surgery ni bei nafuu hawajui cheap is expensive.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni shngap, na ticket go and return shingap?? Jumla?Wanaenda Turkey kwasababu huko hizo surgery ni bei nafuu hawajui cheap is expensive.
Angerudi salama hawa ndo huwa wanasema " nilianza biashara na mtaji wa elfu 40Mmepita huku insta mkaona harambee ya watoto wa mjini??
Wanachangisha michango Ili kuleta mwili wa dada mmoja aliefikia uturuki katika harakati za surgery ya kuweka makalio, kwahyo inasemakana ndugu na marafiki hawana uwezo. Wa Kusafirisha mwili kuja Tanzania.
Nataka kujua hivi hizi surgery uturuki ni shingapi?? Mbona kama sielewi hapa? Naskia sikuizi harambee kama hizi wanazitilia mkazo maana michango ukituma chench itakayozid ni Yao.
Kwa upande wangu siwez KUMCHANGIA mtu aliefia uturuki kwenye surgery ya kuongezea makalio, alikufa katika harakati za kumkosoa Mungu, HICHO NDICHO ANACHOSTAHILI AZIKWE HUKOHUKO.
View attachment 2980428
Nenda insta huko Kwa madada ya mjini utaona, Mimi siwez kuweka nambaSio wote watakuelewa ila upo sahihi kabisa nimekuelewa. Uliyeleta Uzi weka link tuangalie sisi tutamchangia sisi ni wamoja.
🤣Angerudi salama hawa ndo huwa wanasema " nilianza biashara na mtaji wa elfu 40
Hahahahaha..kusapoti nanga ikiingia topeniKwani kazi ya calio kubwa ni nini huko Dar? Haya mambo huwezi kuyasikia huko Misungwi
Hukohuko tuu, wanataka michango wapigie Cha juuWazike tu huko huko...
Mloganzila gharama kubwa ?Wanaenda Turkey kwasababu huko hizo surgery ni bei nafuu hawajui cheap is expensive.
Kwani kazi ya calio kubwa ni nini huko Dar? Haya mambo huwezi kuyasikia huko Misungwi
Changia wewe, hata nisipochangia sipungizi kituMkuu leo kwangu kesho kwako. Today is me tomorrow is someone. Wee changa tu dada yetu mtanzania mwenzetu arudishwe nyumbani apumzike.
Mrembo acha roho mbayaWamzike tu huko huko.....
Mkuu umechangia kwa hekima na busara.Unachanga kuwasaidia ndugu na wazazi kupata mwili wa mtoto wao na kuupumzisha nyumbani.
Mchango wako hauna faida wala hasara yoyote kwa marehemu haijalishi amekufa kwa wema au kwa ubaya.
Kila tukio duniani lina fursa, mimi natumia hii mnawachangia watatumia ingine.Mhhh GT kumbuka tuko kwenye msiba tumempoteza dada yetu huko kwa salt bae. Mengine tuvunge kwa sasa
No comment.Mloganzila gharama kubwa ?
Ndio hvyo, na washajua watanzania wengi ni wajingaKila tukio duniani lina fursa, mimi natumia hii mnawachangia watatumia ingine.
Kamamaza kwa Jiwe? 👌🏿Kila tukio duniani lina fursa, mimi natumia hii mnawachangia watatumia ingine.
Turkey surgery wanayoweza vema kuliko yoyote duniani ni hair implant tu. Kwa hiyo hawana mpinzani. Lakini mengine wababaishaji tu.Wanaenda Turkey kwasababu huko hizo surgery ni bei nafuu hawajui cheap is expensive.
My fiance ni wa misungwi. Hana takle na anacomfidence na naenjoy pia.Kwani kazi ya calio kubwa ni nini huko Dar? Haya mambo huwezi kuyasikia huko Misungwi
Ila watanzania mna upendo sana...mtu maarufu akiumwa mnamchangia..mdada kama huyu naye mnamchangia..Mmepita huku insta mkaona harambee ya watoto wa mjini??
Wanachangisha michango Ili kuleta mwili wa dada mmoja aliefikia uturuki katika harakati za surgery ya kuweka makalio, kwahyo inasemakana ndugu na marafiki hawana uwezo. Wa Kusafirisha mwili kuja Tanzania.
Nataka kujua hivi hizi surgery uturuki ni shingapi?? Mbona kama sielewi hapa? Naskia sikuizi harambee kama hizi wanazitilia mkazo maana michango ukituma chench itakayozid ni Yao.
Kwa upande wangu siwez KUMCHANGIA mtu aliefia uturuki kwenye surgery ya kuongezea makalio, alikufa katika harakati za kumkosoa Mungu, HICHO NDICHO ANACHOSTAHILI AZIKWE HUKOHUKO.
View attachment 2980428