Kwa upande wangu siwezi KUMCHANGIA aliyefia Uturuki akifanya surgery ya urembo

Kwa upande wangu siwezi KUMCHANGIA aliyefia Uturuki akifanya surgery ya urembo

Kwa niaba yake huyo Mgelasi,The Mogolian savage and trouble maker Maghayo
Naomba Usipoteze hiyo heshima yake nusu unayo mheshimu please
Huyo ni braza yangu kabisa
Sometimes YES sometimes NO yote hayo yanatokana na stress maana kuna muda kibibi chake cha kizungu kilichomweka ndani pale jijini Stockholm hua kinamchanganya na kumzaba makofi,
Maana hua anajisahau sana barabarani wanavyoenda kufanyisha mbwa mazoezi hua anaangalia pisi za wenyewe mpaka anageuza kichwa ikimaanisha ana tamaa sana sasa hiyo hali hua inampa changamoto kibibi wa wa watu akidhani soon jamaa atahamisha majeshi!

Au nasema uongo mkuu adriz Mufti kuku The Infinity?
😁😁
Daaah nimecheka kingese 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👊👊👊👊👊👊👊
 
Mimi ntachanga

Nachojua watu tupo dunia moja Ila tumetofautiana viwango vya ufahamu wetu.

Naimani huyu dada hakupata watu sahihi wa kuijenga Akili yake so I can't be a judgmental.

Wote hapa duniani ni same drive

Nb sitoweza kuchanga maana hao ndugu zake Mimi siwaamini kabisa ila Kama ameacha mtoto tuunganishwe naye ili tumchangie chochote kitu.
 
Labda wanaume watuambie wana kazi gani na hayo makalio?? Maana wadada wamekua kama wehu siku hzi...wanaweka matakwo yana shepu mbaya kama breki za ndege...
 
Turkey surgery wanayoweza vema kuliko yoyote duniani ni hair implant tu. Kwa hiyo hawana mpinzani. Lakini mengine wababaishaji tu.
Hawatoi mvi mkuu? Mimi mvi zimenijia mapema...kila nikipita mabinti warembo wananiambia shikamoo shikamoo
 
Mmepita huku insta mkaona harambee ya watoto wa mjini??
Wanachangisha michango Ili kuleta mwili wa dada mmoja aliefikia uturuki katika harakati za surgery ya kuweka makalio, kwahyo inasemakana ndugu na marafiki hawana uwezo. Wa Kusafirisha mwili kuja Tanzania.

Nataka kujua hivi hizi surgery uturuki ni shingapi?? Mbona kama sielewi hapa? Naskia sikuizi harambee kama hizi wanazitilia mkazo maana michango ukituma chench itakayozid ni Yao.

Kwa upande wangu siwez KUMCHANGIA mtu aliefia uturuki kwenye surgery ya kuongezea makalio, alikufa katika harakati za kumkosoa Mungu, HICHO NDICHO ANACHOSTAHILI AZIKWE HUKOHUKO.


View attachment 2980428
Azikwe huko huko.....
 
Sidhani kama unaweza mkomoa marehemu. Wanaokomolewa ni ndugu wanaotakwa azikwe nyumbani.
 
Nadhani kuchanga sio lazima, ila busara ni kukaa kimya kuliko kuchangia masimango...
 
Back
Top Bottom