Kwa urafiki na uswahiba wa Lisu na Msigwa uliodhihirika sasa, haiwezekani Msigwa akahamia CCM bila Lisu kujua

Kwa urafiki na uswahiba wa Lisu na Msigwa uliodhihirika sasa, haiwezekani Msigwa akahamia CCM bila Lisu kujua

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Ikinyesha utajua wapi panavuja.
Matukio ya hivi karibuni yalitokana na Lisu kuropoka hovyo, yanadhihirisha wazi kuwa Msigwa na Lisu had prior communication na Lisu na Msigwa alipewa baraka na Lisu kuwa hama...maybe in the near future tutaungana huko.

It is a matter of time!

Afadhali kumfadhili mbuzi utamla Nyama kuliko kumfadhili binadamu.

Lisu yuko hai kwa vile Mbowe aliwajibika ipasavyo kukataa Lisu kupelekwa Muhimbili, leo uchu wa madaraka amesahau kuwa anaishi kwa vile Mbowe aliwajibika! Anamkandia Mbowe! Anamsingizia Mbowe mambo machafu...


1734848173751.jpeg


Nguo za Lisu zenye damu zimebebwa na Mbowe
 
Kiongozi gani kutwa mipasho kama kopa kopa zuchu mama. Hana sifa abaki bench ya mapambano na uwanaharakati.
 
Ikinyesha utajua wapi panavuja.
Matukio ya hivi karibuni yalitokana na Lisu kuropoka hovyo, yanadhihirisha wazi kuwa Msigwa na Lisu had prior communication na Lisu na Msigwa alipewa baraka na Lisu kuwa hama...maybe in the near future tutaungana huko.

It is a matter of time!

Afadhali kumfadhili mbuzi utamla Nyama kuliko kumfadhili binadamu.

Lisu yuko hai kwa vile Mbowe aliwajibika ipasavyo kukataa Lisu kupelekwa Muhimbili, leo uchu wa madaraka amesahau kuwa anaishi kwa vile Mbowe aliwajibika! Anamkandia Mbowe! Anamsingizia Mbowe mambo machafu...


View attachment 3182200

Nguo za Lisu zenye damu zimebebwa na Mbowe
Umeandika kichawa sana. Wewe ungekuwa Lissu Mbowe angetaka kukuoa ungekubali. Lissu alipona sababu Mungu alitaka apone. Wapo watu walipelekwa hadi Ulaya na wakafa. Mbowe ni binadamu tu na Mbowe wa leo siyo Mbowe wa jana. Mbowe yupo compromised. Sana tu. Kwa sasa amejiungamanisha na CCM kwa asilimia kubwa.

Pia kama wewe ni mwanaume mtu kukusaidia haikufanyi uwe chawa wake.hizo ni tabia za kike. Wanaume wanasimamia misimamo. Usiwe mwepesi hivyo watu watakuoa kirahisi sana.
 
Ikinyesha utajua wapi panavuja.
Matukio ya hivi karibuni yalitokana na Lisu kuropoka hovyo, yanadhihirisha wazi kuwa Msigwa na Lisu had prior communication na Lisu na Msigwa alipewa baraka na Lisu kuwa hama...maybe in the near future tutaungana huko.

It is a matter of time!

Afadhali kumfadhili mbuzi utamla Nyama kuliko kumfadhili binadamu.

Lisu yuko hai kwa vile Mbowe aliwajibika ipasavyo kukataa Lisu kupelekwa Muhimbili, leo uchu wa madaraka amesahau kuwa anaishi kwa vile Mbowe aliwajibika! Anamkandia Mbowe! Anamsingizia Mbowe mambo machafu...


View attachment 3182200

Nguo za Lisu zenye damu zimebebwa na Mbowe
Kwani mbowe hakuwa na urafiki na lowasa. Pia unadhani mbowe hana urafiki na viongozi ccm. Siasa si uadui
 
Ikinyesha utajua wapi panavuja.
Matukio ya hivi karibuni yalitokana na Lisu kuropoka hovyo, yanadhihirisha wazi kuwa Msigwa na Lisu had prior communication na Lisu na Msigwa alipewa baraka na Lisu kuwa hama...maybe in the near future tutaungana huko.

It is a matter of time!

Afadhali kumfadhili mbuzi utamla Nyama kuliko kumfadhili binadamu.

Lisu yuko hai kwa vile Mbowe aliwajibika ipasavyo kukataa Lisu kupelekwa Muhimbili, leo uchu wa madaraka amesahau kuwa anaishi kwa vile Mbowe aliwajibika! Anamkandia Mbowe! Anamsingizia Mbowe mambo machafu...


View attachment 3182200

Nguo za Lisu zenye damu zimebebwa na Mbowe
Sahihi sana. It was so obvious Lissu angekuwa mvumilivu na control ya mdomo na kuepuka tuhuma za ajabu ajabu uenyekiti Taifa angeondoka nao mapemaaa.
 
Lisu alipeleka fomu ya makamu mwenyekiti mwezi agosti , wenje alivyotangaza Nia ya kugombea makamu mwenyekiti , Lisu akaondoa fomu yake na kutangaza Nia ya kugombea uenyekiti akijua wenje ameruhusiwa na mbowe kugombea umakamu.
Lisu akiambiwa lete ushahidi wa vitu anavyohisi Haleti .

Kuna watu chawa wake wanampoteza lisu kwa ushauri .

Busara ya Lisu inamtuma kuwa bora apambane na mbowe kuliko apambane na wenje kwa maslahi ya chama chao .

Kwa mujibu wa swali la Mwandishi John marwa Kuna dokumenti ya mbowe alikuwa nayo msigwa , swali fikirishi ilifikaje kwa msigwa?
 
Umeandika kichawa sana. Wewe ungekuwa Lissu Mbowe angetaka kukuoa ungekubali. Lissu alipona sababu Mungu alitaka apone. Wapo watu walipelekwa hadi Ulaya na wakafa. Mbowe ni binadamu tu na Mbowe wa leo siyo Mbowe wa jana. Mbowe yupo compromised. Sana tu. Kwa sasa amejiungamanisha na CCM kwa asilimia kubwa.

Pia kama wewe ni mwanaume mtu kukusaidia haikufanyi uwe chawa wake.hizo ni tabia za kike. Wanaume wanasimamia misimamo. Usiwe mwepesi hivyo watu watakuoa kirahisi sana.
Umeandika vyema mkuu.
 
Nashauri Lissu afukuzwe kwenye vikao vya kamati kuu ya chadema, anavujisha siri za chama kwa Msigwa
 
Mbowe ni pandikizi la ccm. Watu walipiga kelele kitambo kwamba Mbowe amesha lambishwa asali sikuamini. Sasa ndiyonimeamini Mbowe ni tapeli. Mika 20 madarakani nilipi ambalo hajalifanya? Nawaomba wajumbe wa CHADEMA wampige chini Mbowe apumzike kwa aibu. Mungu amlaani Mbowe dikteta, shetani na mpinga mabadiliko. Amina
 
Sahihi sana. It was so obvious Lissu angekuwa mvumilivu na control ya mdomo na kuepuka tuhuma za ajabu ajabu uenyekiti Taifa angeondoka nao mapemaaa.
Lisu a control ulimi wake?Yanayoonwa yote huwa hayasemi yote hadharani. Mengine mnajadiri wenye kwa wenyewe...
Lisu alipigwa risasi sehemu za mapaja, mbona hajawahi kusema kama ziligusa nerves za reproductive organ yake i.e penis and scrotum? Huwezi kusema hadharani kuwa sifanyi kazi kwa sabau ya risasi, yanakuwa ni mambo ya ndani mwako na maybe mke wako! Likewise katika vyama, kuna mambo unayaacha ndani kulinda kesho ya chama chako
 
Ikinyesha utajua wapi panavuja.
Matukio ya hivi karibuni yalitokana na Lisu kuropoka hovyo, yanadhihirisha wazi kuwa Msigwa na Lisu had prior communication na Lisu na Msigwa alipewa baraka na Lisu kuwa hama...maybe in the near future tutaungana huko.

It is a matter of time!

Afadhali kumfadhili mbuzi utamla Nyama kuliko kumfadhili binadamu.

Lisu yuko hai kwa vile Mbowe aliwajibika ipasavyo kukataa Lisu kupelekwa Muhimbili, leo uchu wa madaraka amesahau kuwa anaishi kwa vile Mbowe aliwajibika! Anamkandia Mbowe! Anamsingizia Mbowe mambo machafu...


View attachment 3182200

Nguo za Lisu zenye damu zimebebwa na Mbowe
Kwahiyo....
 
Ikinyesha utajua wapi panavuja.
Matukio ya hivi karibuni yalitokana na Lisu kuropoka hovyo, yanadhihirisha wazi kuwa Msigwa na Lisu had prior communication na Lisu na Msigwa alipewa baraka na Lisu kuwa hama...maybe in the near future tutaungana huko.

It is a matter of time!

Afadhali kumfadhili mbuzi utamla Nyama kuliko kumfadhili binadamu.

Lisu yuko hai kwa vile Mbowe aliwajibika ipasavyo kukataa Lisu kupelekwa Muhimbili, leo uchu wa madaraka amesahau kuwa anaishi kwa vile Mbowe aliwajibika! Anamkandia Mbowe! Anamsingizia Mbowe mambo machafu...


View attachment 3182200

Nguo za Lisu zenye damu zimebebwa na Mbowe
Nasikia Dkt mbowe aliongoza jopo la madaktari bingwa katika kumfanyia Tundu Lissu operations za awali..
 
Umeandika kichawa sana. Wewe ungekuwa Lissu Mbowe angetaka kukuoa ungekubali. Lissu alipona sababu Mungu alitaka apone. Wapo watu walipelekwa hadi Ulaya na wakafa. Mbowe ni binadamu tu na Mbowe wa leo siyo Mbowe wa jana. Mbowe yupo compromised. Sana tu. Kwa sasa amejiungamanisha na CCM kwa asilimia kubwa.

Pia kama wewe ni mwanaume mtu kukusaidia haikufanyi uwe chawa wake.hizo ni tabia za kike. Wanaume wanasimamia misimamo. Usiwe mwepesi hivyo watu watakuoa kirahisi sana.
Hata wewe ni chawa wa Lissu ndiyo maana huuoni ukweli.

Pia, nje ya key board huna msaada wowotw kwa huyo Lissu wako, hata kura huwa hupigi.
 
Back
Top Bottom