Kwamba ...?
Umeandika kichawa sana. Wewe ungekuwa Lissu Mbowe angetaka kukuoa ungekubali. Lissu alipona sababu Mungu alitaka apone. Wapo watu walipelekwa hadi Ulaya na wakafa. Mbowe ni binadamu tu na Mbowe wa leo siyo Mbowe wa jana. Mbowe yupo compromised. Sana tu. Kwa sasa amejiungamanisha na CCM kwa asilimia kubwa.Ikinyesha utajua wapi panavuja.
Matukio ya hivi karibuni yalitokana na Lisu kuropoka hovyo, yanadhihirisha wazi kuwa Msigwa na Lisu had prior communication na Lisu na Msigwa alipewa baraka na Lisu kuwa hama...maybe in the near future tutaungana huko.
It is a matter of time!
Afadhali kumfadhili mbuzi utamla Nyama kuliko kumfadhili binadamu.
Lisu yuko hai kwa vile Mbowe aliwajibika ipasavyo kukataa Lisu kupelekwa Muhimbili, leo uchu wa madaraka amesahau kuwa anaishi kwa vile Mbowe aliwajibika! Anamkandia Mbowe! Anamsingizia Mbowe mambo machafu...
View attachment 3182200
Nguo za Lisu zenye damu zimebebwa na Mbowe
Kwani mbowe hakuwa na urafiki na lowasa. Pia unadhani mbowe hana urafiki na viongozi ccm. Siasa si uaduiIkinyesha utajua wapi panavuja.
Matukio ya hivi karibuni yalitokana na Lisu kuropoka hovyo, yanadhihirisha wazi kuwa Msigwa na Lisu had prior communication na Lisu na Msigwa alipewa baraka na Lisu kuwa hama...maybe in the near future tutaungana huko.
It is a matter of time!
Afadhali kumfadhili mbuzi utamla Nyama kuliko kumfadhili binadamu.
Lisu yuko hai kwa vile Mbowe aliwajibika ipasavyo kukataa Lisu kupelekwa Muhimbili, leo uchu wa madaraka amesahau kuwa anaishi kwa vile Mbowe aliwajibika! Anamkandia Mbowe! Anamsingizia Mbowe mambo machafu...
View attachment 3182200
Nguo za Lisu zenye damu zimebebwa na Mbowe
Sahihi sana. It was so obvious Lissu angekuwa mvumilivu na control ya mdomo na kuepuka tuhuma za ajabu ajabu uenyekiti Taifa angeondoka nao mapemaaa.Ikinyesha utajua wapi panavuja.
Matukio ya hivi karibuni yalitokana na Lisu kuropoka hovyo, yanadhihirisha wazi kuwa Msigwa na Lisu had prior communication na Lisu na Msigwa alipewa baraka na Lisu kuwa hama...maybe in the near future tutaungana huko.
It is a matter of time!
Afadhali kumfadhili mbuzi utamla Nyama kuliko kumfadhili binadamu.
Lisu yuko hai kwa vile Mbowe aliwajibika ipasavyo kukataa Lisu kupelekwa Muhimbili, leo uchu wa madaraka amesahau kuwa anaishi kwa vile Mbowe aliwajibika! Anamkandia Mbowe! Anamsingizia Mbowe mambo machafu...
View attachment 3182200
Nguo za Lisu zenye damu zimebebwa na Mbowe
Umeandika vyema mkuu.Umeandika kichawa sana. Wewe ungekuwa Lissu Mbowe angetaka kukuoa ungekubali. Lissu alipona sababu Mungu alitaka apone. Wapo watu walipelekwa hadi Ulaya na wakafa. Mbowe ni binadamu tu na Mbowe wa leo siyo Mbowe wa jana. Mbowe yupo compromised. Sana tu. Kwa sasa amejiungamanisha na CCM kwa asilimia kubwa.
Pia kama wewe ni mwanaume mtu kukusaidia haikufanyi uwe chawa wake.hizo ni tabia za kike. Wanaume wanasimamia misimamo. Usiwe mwepesi hivyo watu watakuoa kirahisi sana.
Mbowe na Nchimbi ni marafiki wa karibu sana.Kwani mbowe hakuwa na urafiki na lowasa. Pia unadhani mbowe hana urafiki na viongozi ccm. Siasa si uadui
Lisu a control ulimi wake?Yanayoonwa yote huwa hayasemi yote hadharani. Mengine mnajadiri wenye kwa wenyewe...Sahihi sana. It was so obvious Lissu angekuwa mvumilivu na control ya mdomo na kuepuka tuhuma za ajabu ajabu uenyekiti Taifa angeondoka nao mapemaaa.
Kwahiyo....Ikinyesha utajua wapi panavuja.
Matukio ya hivi karibuni yalitokana na Lisu kuropoka hovyo, yanadhihirisha wazi kuwa Msigwa na Lisu had prior communication na Lisu na Msigwa alipewa baraka na Lisu kuwa hama...maybe in the near future tutaungana huko.
It is a matter of time!
Afadhali kumfadhili mbuzi utamla Nyama kuliko kumfadhili binadamu.
Lisu yuko hai kwa vile Mbowe aliwajibika ipasavyo kukataa Lisu kupelekwa Muhimbili, leo uchu wa madaraka amesahau kuwa anaishi kwa vile Mbowe aliwajibika! Anamkandia Mbowe! Anamsingizia Mbowe mambo machafu...
View attachment 3182200
Nguo za Lisu zenye damu zimebebwa na Mbowe
Nasikia Dkt mbowe aliongoza jopo la madaktari bingwa katika kumfanyia Tundu Lissu operations za awali..Ikinyesha utajua wapi panavuja.
Matukio ya hivi karibuni yalitokana na Lisu kuropoka hovyo, yanadhihirisha wazi kuwa Msigwa na Lisu had prior communication na Lisu na Msigwa alipewa baraka na Lisu kuwa hama...maybe in the near future tutaungana huko.
It is a matter of time!
Afadhali kumfadhili mbuzi utamla Nyama kuliko kumfadhili binadamu.
Lisu yuko hai kwa vile Mbowe aliwajibika ipasavyo kukataa Lisu kupelekwa Muhimbili, leo uchu wa madaraka amesahau kuwa anaishi kwa vile Mbowe aliwajibika! Anamkandia Mbowe! Anamsingizia Mbowe mambo machafu...
View attachment 3182200
Nguo za Lisu zenye damu zimebebwa na Mbowe
Hata wewe ni chawa wa Lissu ndiyo maana huuoni ukweli.Umeandika kichawa sana. Wewe ungekuwa Lissu Mbowe angetaka kukuoa ungekubali. Lissu alipona sababu Mungu alitaka apone. Wapo watu walipelekwa hadi Ulaya na wakafa. Mbowe ni binadamu tu na Mbowe wa leo siyo Mbowe wa jana. Mbowe yupo compromised. Sana tu. Kwa sasa amejiungamanisha na CCM kwa asilimia kubwa.
Pia kama wewe ni mwanaume mtu kukusaidia haikufanyi uwe chawa wake.hizo ni tabia za kike. Wanaume wanasimamia misimamo. Usiwe mwepesi hivyo watu watakuoa kirahisi sana.