Kwa usalama wa nchi yetu, huyu afande anafaa kuwa IGP ajaye

Mmmmh....! labda na overrate nguvu ya IGP bila kujua zaidi.
 
incompetent people don't get fired to earn credit. they are ignored, as it is
Is it possible to ignore someone who is said to be incompetent (by not firing him) while you are capable to do what is expected by many?
It is a matter of fact that the General is some how feared due to the power and influence he has...
 
Wewe Chawa usitupangie
 
Nani kakudanganya kuwa Samia ana full power?
Samia ni Rais kivuli tu.

Na uwezo wa kumtoa sirro Hana huo ni ukweli mchungu.
Waliopo behind wanaelewa nachomaaisha.
acha hizo wewe aliwatoa Top security officials Kaji na mbungo ashindwe kumtoa Sirro ??? nadhani anamsubiri tu astaafu 2023.....
 
Wewe Chawa usitupangie
Nimewapangia kwa sababu serikali ni ya kwetu. Subiri na nyie mkishika dola 😀😀😀 (japo ni ndoto) mje mtupangie. Najua ww ni chawa wa siro unapenda aendelee pale, hata baada ya muda wake kuisha.
 
acha hizo wewe aliwatoa Top security officials Kaji na mbungo ashindwe kumtoa Sirro ??? nadhani anamsubiri tu astaafu 2023.....
Mkuu Obama wa Bongo nashukur kwa kunisaidia kuwaelewesha hawa baadhi ya vijana wasiojua sheria na katiba ya nchi yetu inasemaje kuhusu mamlaka ya raisi. Wengi wa hawa vijana nimewapa somo katika post namb #16.. namb #20 na.. namb #80. So baada ya somo hilo wengi wamenielewa japo kuna wachache bado hawajelewa kitu kutokana na eidha kuamua tu kujifanya hawajaelewa huku moyoni wakiwa wameelewa vizuri, au hawajaelewa kutokana na kutokutaka wao wenyewe tu kuelewa.
 
Nani kakudanganya kuwa Samia ana full power?
Samia ni Rais kivuli tu.

Na uwezo wa kumtoa sirro Hana huo ni ukweli mchungu.
Waliopo behind wanaelewa nachomaaisha.
Anatolewa vizuri tu tena kwa barua yenye paragraph moja.
 
haina afya kumchonganisha rais na wateule wake.

ishu ya mangu ni tofauti sana nailiwahusisha anaowasimamia,ndio maana akajikuta kasimama mwenyewe.

magu alipigiwa kelele kwa kudhalilisha maofisa wake na viongozi wake wasaidizi hadharani,lakini ukiona hivyo ujue anayesemwa ni mzigo kweli kweli.lakini huyu mtu yeye siku alipojibiwa alikuwa analalamikia hatua,wakati huo huo anaulizia matokeo chanya(UNAFIKI).kaalikwa kwenye sherehe ya maafari ya maafisa badala ya kuwapongeza anawananga!!!

huyo saimoni akitolewa wala sio habari maana amekaa hapo muda sana,ila unamtoa kwa mamlaka uliyo nayo au sababu kakujibu vibaya!
 
Mtu unakosanaje na bosi wako? Yakikushinda acha kazi
 
Muliro ni mkubwa kwa sirro.
Sirro Bado young na tupo naye sana tu.

Sirro aliwahi kuukwaa u IGP
Na hapa anatafrani na mama yenu na huyo mama yenu hawezi na Hana ubavu wa kumtengu sirro.[emoji41]
Tukishashiba magimbi huwa tunawaza fitna tuu.
 
Bora umenfafanulia. Kama mhimili mwingine uling'olewa kirahisi tu huyo IGP ni kufumba na kufumbua anakuwa kapoteza cheo. Nguvu za rais wa TZ hazielezeki.
 
Mkuu Mkorintho kama nilivyosema hapo mwanzo kuwa naheshimu sana mawazo yako na ya wana JF wengine kwa uchangiaji wenye hekima. Ila sasa nafikiri ww umeanza kunisoma kati kati ya comment, na wala haukuanzia juu kwenye thread yenyewe. Laiti ungeanzia kwenye thread yenyew na kuielewa basi nina imani usingefikiri kuwa mimi nipo wrong katika hili. Thread yang haikuwa imemtaja Siro katika swala la kutumbuliwa, bali ilikuwa inazungumzia pale atapomaliza muda wake wa utumishi wa jeshi la polisi kwa mujibu wa sheria, basi ikimpendeza mh raisi amteuwe kamanda J4 Muliro kuwa igp mpya, maana jamaa ameonesha uthubutu na uwezo wa hali ya juu wa kupambana na wahalifu nchini. Wakati watu wakichangia kuhusu uwezo, uchapaji kazi na umri wa huyo Muliro, ndo akatokea mkuu mmoja katika post namb #8 (unaweza kuitafuta ukaisoma) akasema eti raisi hawezi na hana uwezo wa kumfuta kazi Siro. Kauli hiyo imetushangaza wengi. Kwamba mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama asiwe na uwezo wa kumfuta kazi askari polisi, kwa kinga na uwezo upi alionao huyo polisi hadi ashindikane kutolewa hapo na boss wake. Kwahiyo hapo ndo mjadala ulipoanzia na nimeelezea vizuri hasa katika post namb #80. Nina imani ukiisoma pia utaelewa. Ila lengo la kuandika mada hii haikuwa hiyo unayofikiria mkuu.
 
Mtu unakosanaje na bosi wako? Yakikushinda acha kazi
Sizani hata kama hawa watu wana ugomvi, ila kuna baadhi ya watu ndo wanajaribu kutuaminisha kuwa wakuu hawa wawili wenye vyeo na mamlaka tofauti wamegombana. Hawajui na hawafahamu kwamba kwa sheria zetu ni lazima igp aripoti kwa raisi na amir jeshi mkuu kila siku asubuhi akiingia kazini, na jioni akitoka kazini.
 
Bora umenfafanulia. Kama mhimili mwingine uling'olewa kirahisi tu huyo IGP ni kufumba na kufumbua anakuwa kapoteza cheo. Nguvu za rais wa TZ hazielezeki.
Mkuu MamaSamia2025 . wengi waliosoma post zang namb #77 na #80 wameelewa. Maana nimefafanua sasa vizur kule.
 
IGP atoke JWTZ ili alinyooshe Jeshi la Polisi vinginevyo hakuna mabadiliko yoyote ya maana yatakayofanyika mfano mzuri umeonekana Magereza mwenye macho haambiwi tazama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…