Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Kwa hiyo ana V8 Investment?Ana ma v8 hatarii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ana V8 Investment?Ana ma v8 hatarii
Rooms Bei gani hapo?Desderia hotel mbeya, ni hotel yake
Namkubali sana 2 proud a.k.a sugu a.k.a mr 2. Taita la mataita.
Ila kwa hapa aongeze juhudi
View attachment 2125207
wewe ni jinsia gani?Kwani anaenda ulingoni mpaka ajue hizo ngumi?.
Kuanzia kule juu unauliza jinsia tu. Hapa hatuko vitani. Elewa zama hizi,sio zile ulizokua nazo wewe. Zama hizi hakuna kuwindana windana kivita kama zama zenu. Zama hizi mjanja na mchawi ni hela tu. Umeona anaezungumziwa?. Ni ksbb tu ana hela. Vinginevyo ungekuwa wewe umerusha ngumi hiyo ilikuwa bure tu.wewe ni jinsia gani?
Anaboa!Namkubali sana 2 proud a.k.a sugu a.k.a mr 2. Taita la mataita.
Ila sasa huku ndio kurusha gani ngumi, ngumi anarusha hazina uzito, hata mkono na ngumi hajakaza, tuwe wakweli tu huu ni urushaji hapa anarusha ngumi au anadonyoa?
Yote kwa yote namuomba kama vipi atafute hata trainer wa mazoezi.
View attachment 2125207
Hivi tunaweza kujivunia huyu jamaa kwamba ni mjasiriamali?asingeupata ubunge,angefika hapo alipo?Namkubali sana 2 proud a.k.a sugu a.k.a mr 2. Taita la mataita.
Ila sasa huku ndio kurusha gani ngumi, ngumi anarusha hazina uzito, hata mkono na ngumi hajakaza, tuwe wakweli tu huu ni urushaji hapa anarusha ngumi au anadonyoa?
Yote kwa yote namuomba kama vipi atafute hata trainer wa mazoezi.
View attachment 2125207
[emoji38]Hizo ngumi kama yuko mentally unfit
We unamzungumzia nani labda kati ya prof na Sugu? Huyo Sugu ni anapesa kabla hata hajaingia bungeni.Hivi tunaweza kujivunia huyu jamaa kwamba ni mjasiriamali?asingeupata ubunge,angefika hapo alipo?