Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #101
Nawasilisha Yale yanayoonekana na kuzungumza na watanzania walioonyesha upendo mkubwa na uungwaji mkono kwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu HassaniKazi uliyotumwa unaifanya vizuri manake huangalii hoja zaidi ya kukomaa na ulichotumwa, inasound good
Chenye mwanzo kina mwisho acha kukufuru!!!!Ccm siyo kanu ,CCM Ina misingi yake ambayo hakuna awezaye kuitikisa hapa nchini, hayupo na hatakuwepo
Kuiamini kwa baadhi ya watu kisiwe chanzo au passport ya kusifu na kuabudu udhalimu wa ccm.Wewe wasema hayo lakini wananchi ndio walio toa Ridhaa kwa CCM kuwatumikia, Ndio maana unaona namna wanavyoendelea kuiamini CCM
Tozo inakugusa wewe???Uporaji kura unakugusa wewe???Matumizi mabaya ya madaraka yanakusa wewe??? Ni matumaini gani ambayo ccm imekupa???Mimi naamini katika Mungu,haki na wajibu wa kila mwanadamu aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu na si katika chama au uongozi,hayo ni matokeo ya muda ambayo yanaweza kuwa chanya kama ilivyokuwa katika utawala wa Nyerere na Mkapa au yanaweza kuwa hasi kama yalivyokuwa katika utawala wa Magufuri na yaliyopo leo katika utawala wa Mama Samiah Suluhu.CCM Ni chama kilichobeba matumaini ya watanzania, Ni chama kiongozi, Ni chama chenye Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania, ndio maana mtu akifika ofisi ya CCM anakuwa na Imani ya kupata suluhisho la kero yake
Hakuna anaemchukia Rais Samia ila nyie mnaosifu kila wakati nahisi ndio mnamchukia sio bure, kama binadamu mengi anapatia machache anakosea hivyo tuu na watu wanaona so watapima tuu wenyewe sio lazima kulazimisha mtu aeleweNawasilisha Yale yanayoonekana na kuzungumza na watanzania walioonyesha upendo mkubwa na uungwaji mkono kwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani
Ndugu zangu hivyo ndivyo hali halisi ilivyo, kwasasa upinzani umefika hatua hauelewi ushike lipi na uache lipi, uongee nini na usimame na lipi, ubebe lipi na uache lipi, utembee na lipi na usimame na lipi.
Imefika hatua hata kuaminiana wao kwa wao wameacha, maana kila mtu anahisi mwenzie anadalili za kusaliti chama na kwenda kumuunga mkono Mh. Rais wetu mpendwa, hapa unaweza kurejea habari za Mch. Peter Msigwa namna alivyo tukanwa na vitoto vidogo kiumri kisa tu kusimamia mtizamo wake katika kuiunga mkono serikali juu ya suala la Loliondo.
Ndugu zangu kwa sasa hata wenyewe hawaoni wakuweza kushindana na Mh. Rais Samia maana kila waliyemuona awali kuwa ndio kamanda wa kuongoza mapambano, wanakuta amerudi mstari wa nyuma akiunga juhudi za Mh. Rais na hata kama ni kukosoa anakosoa kwa kushauri baadhi ya maeneo kwa heshima na staha, jambo linalozidi kuwa changanya na kuwalaza na viatu vijana wa upinzani.
Hii yote ni kwa kuwa Mh. Rais kafanikiwa kugusa kila eneo kiutendaji, watanzania wana matumaini makubwa sana na Mh. Rais kwa kuwa wanaona juhudi zake katika kujenga nchi yetu, wanaona namna kila mtu, kila kundi na kila eneo linavyoguswa kiutendaji. Hakuna anayeachwa nyuma wala kutengwa au kubaguliwa, wote wanapata huduma sawa.
Kila mtu anapata huduma sawa,kila mtu anasikilizwa, kila mtu anathaminiwa,kila mtu anaona anayo nafasi ya kuchangia ujenzi wa Taifa hili na kila mtu anaona anaweza kutimiza Ndoto na malengo yake katika nchi hii kwa kuwa fursa zipo wazi kwa kila mtu mwenye kuzitaka.
Sasa hapa ndioo mtihani mkubwa walionao upinzani kwa sasa katika kuweza kusimamisha mgombea kiti cha Urais maana hawaelewi watamsimamisha nani? Kwa sera na ajenda zipi, hawaelewi watawashawishi kipi watanzania, maana Mh. Rais amefanya kazi zilizogusa maisha ya watanzania hasa wanyonge wasio na sauti.
Wameona namna Mh. Rais alivyo shapu kuchukua hatua katika kumsaidia mwananchi pale panapojitokeza tatizo la kidhalula kama alivyo fanya kutoa Ruzuku katika kilimo na nishati ya mafuta, kiukweli kasi hii ya Mh. Rais imewaweka pabaya sana kisiasa.
Ushauri wangu kwao ,kwa kuwa wameonyesha kukubali utendaji kazi wa mh Rais Basi hawana budi Kuendelea kumuunga mkono Mh. Rais wetu, waendelee kutoa ushauri watakapoona panafaa kwa lugha ya heshima na staha.
Maana mama ni msikivu na mnyenyekevu anayemjali na kumsikiliza kila mtu, kwa sasa mama amekaa katika mioyo ya watanzania. Watanzania walitaka maendeleo na mtumishi mnyenyekevu atakayewasikiliza, sasa amepatikana Mh. Rais Samia anatekeleza kwa vitendo ndoto za watanzania.
Kazi iendeleee.
Aisee😂😂🤣Uchaguzi utakuepo na Rais Samia Suluhu atapita bila kupigwa maana ameleta maendeleo makubwa sana Tanzani kwa kipindi kifupi
Hakuna upinzani kwa Sasa hapa nchini ndugu yangu, ili uchaguliwe lazima uwe na Sera na ajenda za kuwashawishi watu, Sera na ajenda hizo ni sharti ziwe zinagusa maisha ya watu, kitu ambacho kwa Sasa upinzani hauna vitu hivyo vyote, hauna kitu au Jambo linalogusa maisha ya watu ndio maana unaona umekosa uungwaji mkono toka kwa wananchi Wala habari zao huzisikii popote kwa kuwa hazina uzito Wala ushawishi kwa watu,Mleta mada elewa kuwa; hakuna kipindi laini cha kupindua meza kama hiki elewa hilo!
Nchi inapita ktk kipindi kigumu mno mno na sijui upinzani upo wapi kwa ajili ya kupata "credits'
Tatizo unaandika kwa ushabiki badala ya ukweli uliopo
Mikutano wafanye kuwaeleza Nini watanzania kwa Sasa? Huu Ni muda wa CCm kutekeleza ilani na mkataba wake wa kuwatumikia watanzania, subirini uchaguzi ujao Kama hamtakimbia uwanjani, kajifunze au angalia marekani Nini kinafuaata baada ya uchaguzi, ulishaona wanazulula mitaani Kama nyinyi wapinzani na matisheti yenu?Huo mharo wako hata ukimweleza chizi mwenzio lazima akupige.sasa kama vyama vya sisa vimezuiwaiwa kufanya mikutano unaetegemea usiache kuongea huo ujinga wako wambie waache wafanye mikutano ya hadhala uone watavyochafua hali ya hewa wananchi watatamani kuiponda mawe hio nanii yako unayoiaminia.
Sera za kupiga watu risasi,sera za kuengua wagombea,sera za kupora uchaguzi,sera za kufunga wapinzani,sera za kukashifiana,sera za kutoa watu magerezani na kwenda kuwaapisha ubunge,sera zisizo na dira ila tu maslahi.Hakuna upinzani kwa Sasa hapa nchini ndugu yangu, ili uchaguliwe lazima uwe na Sera na ajenda za kuwashawishi watu, Sera na ajenda hizo ni sharti ziwe zinagusa maisha ya watu, kitu ambacho kwa Sasa upinzani hauna vitu hivyo vyote, hauna kitu au Jambo linalogusa maisha ya watu ndio maana unaona umekosa uungwaji mkono toka kwa wananchi Wala habari zao huzisikii popote kwa kuwa hazina uzito Wala ushawishi kwa watu,
Lakini ukija kwa upande wa CCm chini ya uenyekiti wa mama Samia unakuta amebeba Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania, Ndio maana unaona uungwaji mkono mkubwa Sana kwake kutoka kwa mamilioni ya watanzania
Mikutano ya vyama lengo lake ni kusahihisha na kukosoa pale ambapo mambo hayatekelezwi vema,mbona kipindi cha Mkapa na Kikwete watu walifanya mikutano na nchi ilisonga vizuri?? Acheni woga.Mikutano wafanye kuwaeleza Nini watanzania kwa Sasa? Huu Ni muda wa CCm kutekeleza ilani na mkataba wake wa kuwatumikia watanzania, subirini uchaguzi ujao Kama hamtakimbia uwanjani, kajifunze au angalia marekani Nini kinafuaata baada ya uchaguzi, ulishaona wanazulula mitaani Kama nyinyi wapinzani na matisheti yenu?
Sera za kupiga watu risasi,sera za kuengua wagombea,sera za kupora uchaguzi,sera za kufunga wapinzani,sera za kukashifiana,sera za kutoa watu magerezani na kwenda kuwaapisha ubunge,sera zisizo na dira ila tu maslahi.
Haipo salama kwa sababu anatekeleza ilani aliyoianzisha mwendakuzimu.Mama Samia Ahukumiwe na kulaumiwa kwa matokeo ya matendo kauli na hatua zake akiwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, usianze kumhukumu na kumbebesha mashitaka yasiyo kuwa yake, Nchi kwa Sasa ipo katika mikono salama ya mama Samia, katika mikono hiyo hakuna kitakachopotea Wala kuharibika Wala kuumia Wala kuteswa Wala kunyanyaswa, Tumuunge mkono mh Rais wetu
Nashindwa kukujibu maana umetumia lugha isiyo na heshima Wala stahaHaipo salama kwa sababu anatekeleza ilani aliyoianzisha mwendakuzimu.
Mikutano ya vyama lengo lake ni kusahihisha na kukosoa pale ambapo mambo hayatekelezwi vema,mbona kipindi cha Mkapa na Kikwete watu walifanya mikutano na nchi ilisonga vizuri?? Acheni woga.
Ule Ni ukaguzi wa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi, Hata marekani uchaguzi ukipita kinachofuata Ni kazi tu kwa waliopewa dhamana
Kama upinzani wa Tanzania hauna sera kwa nin mwendakuzimu wakati wote wa utawala wake alikuwa anapambania sera za upinzani,na wapinzani wakiunga juhudi mara moja wanapewa promosheni ya nguvu,mpaka sasa wale wamama 19 wapo kule kwa sababu wametoka kwenye sera nzuri na ccm inawalinda bila utaratibu.Kwa upinzani upi wa kuogopwa? Upinzani hauna hata Sera na ajenda za kueleweka ndio maana unaona wanakwenda na upepo, kwa Sasa mama kawazima kwa utumishi wake uliotukuka ndio maana unaona namna walivyofifia