Kwenye uvumilivu ni wanawake wenu sio nyie wanaume!!Mnatuzushia waha, hatuna tabia ya uchafu. Sisi tupo kawaida hatuvai nguo za gharama maana hatuna uwezo nazo, lkn tuko smart na tunaoga nakupaka mafuta ya mgando/Nazi maana ndio uwezo wetu. Lakini kikubwa kuliko yote waha tunajua kuitafuta pesa awe mwanamke au mwanaume na niwavumilivu mno.
Huyo hanijui ila ndo anajifanya kunijua zaidi yanguWahangaza huwa wananifurahisha sana, maana wao wanaongea Kiha lkn wanakata kwamba sio Kiha.
Juzi kuna mtu kaandika uzi hapa kijana graduate kapewa duka 3.5MIla hata hapa mtaani kwetu aisee watu wamejaribu kufungua maduka ya takataka ila wameishia kufunga TU...ni maduka ya waha TU ndo Yana survive
Mimi sina ndugu muha ila kwa hili sikupingiMnatuzushia waha, hatuna tabia ya uchafu. Sisi tupo kawaida hatuvai nguo za gharama maana hatuna uwezo nazo, lkn tuko smart na tunaoga nakupaka mafuta ya mgando/Nazi maana ndio uwezo wetu. Lakini kikubwa kuliko yote waha tunajua kuitafuta pesa awe mwanamke au mwanaume na niwavumilivu mno.
Hakika mkurugenzi.... Uko sahihi kwa kweli nakubaliana na wewe...Kanuni ya utajirisho inasema, hupaswi kutumia zaidi ya kile unachopata. Ukiifuata lazima utabaki na akiba! ... Ni kanuni inayomgusa mtu binafsi, Kampuni Serikali n.k.
Ila waha ๐๐๐Kwakweli kwenye hilo wanaongoza nchi tena kwa mbaali, achana na watu wenye ujasiri wa kufulia kwenye sufuria
Ila sifa zao tuwape jamani,Waha wamejifunza biashara na ubahiri kutoka kwa waarabu na wahindi.
Ikumbukwe kuwa miji yote wilaya na kata za mkoa wa kigoma, centre zote za biashara na majengo vilikuwa mali ya wahindi na waarabu.
Anzia Kigoma yenyewe, Kasulu Kibondo,Kakonko na Uvinza, kote baada ya uhuru walijaa waasia na waarabu.
Waha walikuwa wanunuzi tu tena kwa kupatanisha bei nafuu na kutunza pesa.
Baada ya waasia na waarabu kuondoka, nafasi ilichukuliwa na walanguzi wa kiha ambao wanarithishana mbinu hadi siku ya leo.
Wengine wanaofanana na waha katika kufanya biashara kimbinu ni wakinga.
Hehhhh.... Uchawi huo!!!Kwakweli kwenye hilo wanaongoza nchi tena kwa mbaali, achana na watu wenye ujasiri wa kufulia kwenye sufuria
Sufuria la kupikia chakula hilo hilo linafuliwa madaso ya mtotoHehhhh.... Uchawi huo!!!
Nyie si mnajiita watani wa jadi?We jamaa hv wahaya na waha si mbingu na dunia?
MakudubelaDu! Kuna pombe inaitwa ''scud''?
Hili ni suala jingine sasa, we unajuaje kama CCM inachaguliwa kwa ukubwa huo?Halafu bado mnaichagua CCM wakati kwa zaidi ya miaka 60 imeshindwa kubadilisha hali zenu za maisha licha ya nchi kuzungukwa na rasiliamali za kila aina kila sehemu.
Ccm ni laana
Acha uongo katika tqafa ili kabila lingoza kwa uchafu wakwanza muha alafu anafuata mgogoMnatuzushia waha, hatuna tabia ya uchafu. Sisi tupo kawaida hatuvai nguo za gharama maana hatuna uwezo nazo, lkn tuko smart na tunaoga nakupaka mafuta ya mgando/Nazi maana ndio uwezo wetu. Lakini kikubwa kuliko yote waha tunajua kuitafuta pesa awe mwanamke au mwanaume na niwavumilivu mno.
Hongera kwa kuishi na makabila yote. Uchafu ni malezi ya mtu na mtu husika mwenyewe.Acha uongo katika tqafa ili kabila lingoza kwa uchafu wakwanza muha alafu anafuata mgogo
Wakopesha vyombo wanazoZa wizi
HawahongiWakopesha vyombo wanazo