Kwa vichwa vilivyopo Wizara ya Fedha sasa, Tanzania itakuwa mbali sana kiuchumi kufikia 2030

Kwa vichwa vilivyopo Wizara ya Fedha sasa, Tanzania itakuwa mbali sana kiuchumi kufikia 2030

Unazungumziaje performance ya CBA chini ya Nehemia Mchechu na alivyotoka?
Kumfananisha Kimei na hao vijana wa hovyo ni kumkosea heshima.

Kimei ana maandishi ya Banking on what was wrong on management control wakati bank zinamilikiwa na serikali 100% ukibahatika kuisoma hiyo paper unaona kwanini kulikuwa na haja ya kubinafsisha hizo bank, hata bila ya kuambiwa na donors.

Kimei akiongelea banking seriously kwenye interview zake kabla ya ubunge anaweza justify msingi wa financial products zao na riba zake, anaweza elezea performances za portofolio kadhaa za CRDB kwanini zilifanikiwa or failed with economic justification.

Kimei kaikuta CRDB ina book value isiyozidi tsh 20 billion, kaicha ina asset value ya over trillions; kwa kazi hiyo tu ingekuwa nchi zilizoendelea mshahara wa Kimei ungekuwa over tsh 2 billion kwa mwaka and justifiable.

Yaani Kimei uwezi mfananisha na hao watu ata robo at his peak (sema nae sijui anazeeka ameanza kuongea pumba kidogo toka aingie kwenye siasa, siyo kama yule Kimei wa CRDB).

Hao vijana hawana kitu cha kuonyesha zaidi ya porojo tu na wapambe wa kusifia but non to measure on performance wise.
 
Kichwa chenyewe ni cha huyu Madelu aliyeiba jina la kijana wa kisukuma aliyeacha shule ndugu Mwigulu Lameck Nchemba??

Nadhani kichwa kimejaa mavi na sio ubongo kwa comment yako hiyo uzi Upo wazi kabisa mtu kufanya mpaka tafiti unakuja kuongea ujinga wako hapa
 
"Hali ya uchumi inakwenda vizuri Sana"

Baada ya mama kusema anapitia jamiiforums,Kuna nyuzi ukiziona tu unajua mwandishi anataka kusikia simu ya teuzi.

Yani mwigulu Leo amekuwa wa waziri Bora wa fedha kweli?

Sawa mama atauona huu uzi na ata-like.

Ni ngumu kumwelewa Mwigulu kama huna akili
 
Hakuna viwanda vya kubadilisha raw materials kwenda processed goods.
Mfano dhahabu sisi tunaiuza kama $2000 hivi ikiwa raw inapelekwa nje wanaiprocess baadaye wanatuuzia ela nyingi zaidi ya $2000 unakuja kukuta tunachoexport hakina msaada mkubwa Kwa uchumi wetu

Kweli kichwa yako mzee ni lizwazwa unaishi nchi ipi hujui yote hayo
 
Duh tatizo ni mifumo mibovu tu ndio maana tunawaona wako poa ila kwangu siafiki kabisa kama wako juu kwa uelewa wa uchumi
Tatizo hatufanyi utafiti kwa wataalam wetu na shida kubwa kulamba asali itatucost sana, kila kitu kusifia hata pasipo na mpango

Unaishi Tanzania ipi hivi mfano Marekani nayo imelamba Asali kwetu sio wana kubali watu wa mataifa mengine kereng’ende flani unabisha
 
PVC ALUMINIUM
MADIRISHA MILANGO PARTITION BALCONY
tuone kupitia namba hii 0735432020
255686082235_status_8aa0d3925f04437aa974bb6b6a7f3449.jpg
 
Kweli kichwa yako mzee ni lizwazwa unaishi nchi ipi hujui yote hayo
Nipe ushahidi we mwenye uwezo mkubwa wa kiakili, na siyo mavideo ya YouTube leta website kabisa ya serikali.
 
Naunga mkono hoja
P

Ni hawa hawa wallondolewa kwenye awamu zilizopita kwa ufisadi na kumbuka ni serikali hii hii ya ccm? Kama kigezo cha uaminifu kingeangaliwa katika teuzi hizi sidhani kama wangeteuliwa lakini kwavile watawala wanaangalia maslahi yao tu ndio maana wanalamba asali!
 
Back
Top Bottom