Stephan Lichtsteiner
JF-Expert Member
- Sep 13, 2022
- 520
- 1,476
Oyaa umefeli kumpiga uson mwamba dah....
Afu ana pete means kaoa inaonekana mkewe anamnyima game nn
Afu ana pete means kaoa inaonekana mkewe anamnyima game nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaSijaona ubaya hapo. Kwanza jamaa anajiheshimu alivyoamua kugeuka. Ni hali ya kawaida kwa mwanaume rijali. Mimi mwenyewe hiyo hali huwa inanitokea lakini huwa nakwepa. Pongezi nyingi sana kwa waislamu kutenganisha wanawake na wanaume kwenye mikusanyiko.
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣hahahaha sio mbagala
Hahahaha 🤣🤣😂😂🤣🤣 iKusimama asimame na kifuta jasho akose, kuna mwamba hapendagi kukaa hata kama kuna siti, nafikiri huwa anaviziaga michezo kama hii.
niniiUshavunja ndoa ya mtu hapo
heheeeSijaona ubaya hapo. Kwanza jamaa anajiheshimu alivyoamua kugeuka. Ni hali ya kawaida kwa mwanaume rijali. Mimi mwenyewe hiyo hali huwa inanitokea lakini huwa nakwepa. Pongezi nyingi sana kwa waislamu kutenganisha wanawake na wanaume kwenye mikusanyiko.
Labda dunguso likiwa linamgusa linampa raha.yaani kapewa ushirikiano sijui wanasikiaga raha wadada aloo
🤣🤣🤣Akili za nyege mbaya saaana.😂🤣
Mshikaji ana pete ya ndoa, dada sijui yupo kwenye lindo, kajua kabisa kinachoelendela ila kavunga, mshikaji naona kajimalizia, kabaki kuweka weka mkono kwenye mstari wa ikweta.
Mwamba atakuwa mende huyu, kadata na hundu na bibie inaonekana anacheza hiyo michezo ya kisasa.😔
Mwenzio kajitegesha anausikilizia muhogo si unamcheki anajifanya hana habari. Hapo ukute jamaa lake hata huwa halimgusi namna hiyo nae keshalowa.Afu jamaa ana pete ya ndoa khaaaaaaa!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena hili jamaa linaonekana limelewa na likitambi lake km fuko la chokaa mxxiewwwww
Mwenzio kajitegesha anausikilizia muhogo si unamcheki anajifanya hana habari. Hapo ukute jamaa lake hata huwa halimgusi namna hiyo nae keshalowa.
Hahahah hiyo kitu inapunguza mastress unajua wacha wajiliwaze maisha ya kupanda daladala nayo magumu ila hizo ndio starehe zake hizo sisi wengine tunazikosa sana basi tu.Mfyuuu!! Acheni uzinzi [emoji57][emoji57][emoji57]