Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah hiyo kitu inapunguza mastress unajua wacha wajiliwaze maisha ya kupanda daladala nayo magumu ila hizo ndio starehe zake hizo sisi wengine tunazikosa sana basi tu.
Who knows!! Sasa kama anabambiwa na anajilengesha namna hiyo unataka nimzuie vipi? I dont catch feelings inapokuja maamuzi ya mtu mzima unless ingekuwa anabakwa ila kwa hiyo video please dont tell me that lady was not aware of the touch of his prick. Hao wamejifanyia mambo yao bila kujali macho ya watu ni akina sisi tunaishia kubabaika tu.Acha uzinzi, kazi kupelekeshwa na bichwa la chini tu [emoji57][emoji57][emoji57]
Wakimbambia mkeo utafurahia?!!
Kwa jinsi ambavyo wanawake wapo sensitive kuguswa na mtu wasiye na mazoea nae naamini huyo mdada alikuwa anajua whats going on ila nae alikuwa anaenjoy. Hizi hamu za kuzagamua hata wao wanazo aisee tena sana tu unakuta anashindwa kutongoza anaishia kujilengesha japo apunguze upwiru au jamaa labda atatoa tamko.Hivi huyo mwanamke kwa Nini ametulia?
Ina maana amekubali afanyiwe hivyo....kwenye daladala mnaweza kubanana mpaka mwanamke anakubana na 'wowo' yaani inakuwa aibu maana jamaa anaanza kunyooka,Sasa wanawake huwa wanafanya makusudi kutulia au huwa hawasikii kwa Nini huwa hawalalamiki au kukataza?
[emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa akalirekebisha dudu akarudi tena kulipachika na bibie ikitoka anaitafuta kimahesabu.
Kumbe wanapenda eeeeh, sasa subiri na hivi viguo vyao hivi hatutaoa kabisa.
[emoji23]Aliyerekodi tukio ana sifa ya kuwa FBI ,ila ukiwa na ndugu yako unaweza kuona aibu watu wengine wa hovyo sana
waridhsheni waume zenu simmeonaAfu jamaa ana pete ya ndoa khaaaaaaa!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena hili jamaa linaonekana limelewa na likitambi lake km fuko la chokaa mxxiewwwww
[emoji3][emoji23]Mie sielewi wengine mnakasirika nini wakati wao wamemalizana kimyakimya huyo dada mtu mwema sana aisee. Jamaa angemlipia hata nauli na amuachie chenji maana kamsitiri upwiru.
Siungi mkono kurekodiSio uungawana kurecord tena hadi na sura sio wahalifu hao. Be a gentleman
Hata hivyo Ni wamefanya kitendo kisichofaa
Kuchezeana ndani ya usafiri wa umma.Siungi mkono kurekodi
Ila hapo kwenye kitendo kisichofaa Kama mtendwa karidhia kuna tatizo gani mzee?
wameridhianaKuchezeana ndani ya usafiri wa umma.
Ukuda tuu umemjaa aliyerekodiMimi huwa sielewi unarekodi ili iweje? Wewe unafaidika nini? Haitoshi unaanza kurekodi mpaka sura zao
Dunga dungaMhhh, watu wanapeana ushirikiano jamani. Inaonekana huu mchezo unapendwa na jinsia zote, sasa ni kuwatenganisha tu kama talebani.
acha gubu shogaanguSijui kwa nini nikionaga hizi video huwa lawama nawaangushia wanawake wenzangu. [emoji848]
Mwamba ana upwiru licha ya kuwa na Pete ya ndoaaa.Mhhh, watu wanapeana ushirikiano jamani. Inaonekana huu mchezo unapendwa na jinsia zote, sasa ni kuwatenganisha tu kama talebani.