Kwa video hii, mwendokasi uwe na sehemu tofauti ya wanawake na wanaume

Kwa video hii, mwendokasi uwe na sehemu tofauti ya wanawake na wanaume

Pumbavu sana
Screenshot_20230801-232253.jpg
Screenshot_20230801-232440.jpg
 
Hivi huyo mwanamke kwa Nini ametulia?
Ina maana amekubali afanyiwe hivyo....kwenye daladala mnaweza kubanana mpaka mwanamke anakubana na 'wowo' yaani inakuwa aibu maana jamaa anaanza kunyooka,Sasa wanawake huwa wanafanya makusudi kutulia au huwa hawasikii kwa Nini huwa hawalalamiki au kukataza?
 
Acha uzinzi, kazi kupelekeshwa na bichwa la chini tu [emoji57][emoji57][emoji57]

Wakimbambia mkeo utafurahia?!!
Who knows!! Sasa kama anabambiwa na anajilengesha namna hiyo unataka nimzuie vipi? I dont catch feelings inapokuja maamuzi ya mtu mzima unless ingekuwa anabakwa ila kwa hiyo video please dont tell me that lady was not aware of the touch of his prick. Hao wamejifanyia mambo yao bila kujali macho ya watu ni akina sisi tunaishia kubabaika tu.
 
Hivi huyo mwanamke kwa Nini ametulia?
Ina maana amekubali afanyiwe hivyo....kwenye daladala mnaweza kubanana mpaka mwanamke anakubana na 'wowo' yaani inakuwa aibu maana jamaa anaanza kunyooka,Sasa wanawake huwa wanafanya makusudi kutulia au huwa hawasikii kwa Nini huwa hawalalamiki au kukataza?
Kwa jinsi ambavyo wanawake wapo sensitive kuguswa na mtu wasiye na mazoea nae naamini huyo mdada alikuwa anajua whats going on ila nae alikuwa anaenjoy. Hizi hamu za kuzagamua hata wao wanazo aisee tena sana tu unakuta anashindwa kutongoza anaishia kujilengesha japo apunguze upwiru au jamaa labda atatoa tamko.

Lijamaa nalo limekuwa libinafsi likajimaliza badala ya kumpa code huyo dada ashuke kituo kinachofuata wakamalizie walichokianza kwenye daladala.
 
Back
Top Bottom