Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Y
Yaani wapinzani ni sibonhwa sana! Watashinda njaa sio uchaguzi!
Mtahangaika sana watanzania wa leo sio wa jana mpaka Ukerewe wana jua lisu Rais mtarajiwa kamueni ndimu mnyweKama wana ubavu waiambie NEC na ZEC kuondoa kwenye ballot paper majina ya Mgombea wa ACT Bara na Mgombea Chadema visiwani. wakishindwa kufanya hivyo maana yake bado ni wagombea na nihalali kwa wafuasi wao kuwapigia kura. Rekodi itasema vyama hivyo vimepata kura ngapi za wagombea wao katika uchaguzi.
Soma katiba ya ACT acha kubwabwajaCCM mmeshikwa sehemu nyeti safari hii mtasema yote ila kipigo hadi mchakae chaja...hamchomoki.
Kamanda kwa katiba hii ya ACT nani kati ya Membe na Sefu aliyeikiuka?Kuna wakati nilikuwa nakudhania u mahiri katika siasa za Tanzania hasa ulipo ucheza vizuri mchezo wa kufukuzwa Bavicha hadi kuibukia na kanafasi ndani ya CCM.
Lakini nimegundua u mtupu sana sana katika michezo hii ya siasa, unababia babia tu.
Katika mchezo huu wa ACT na Chadema waliopigwa chenga Kali ya mwili toka mwanzo ni CCM, NEC na msajili wa vyama.
Nimeamini zile safari za Zitto kwenda Ubeligiji na Ujeremani na wakawa wanakutana na Lissu pia ingizo la Membe kachero yote yalikuwa mahesabu.
Kauli za Maalim Leo na Membe Jana zote ni confusing tactics kwa adui zao, subiri tamko la 27/10 ndio ccm itakapo shangazwa kama ilivyo shangazwa na kipigo cha Ponda kuingia mazima wiki ya mwisho ya kampeni.
Hangaikeni tuu, magu ana pension nzuri tuu kama ataheshimu sheria ila nyie lazima mtafute kazi nyingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee.Kuna wakati nilikuwa nakudhania u mahiri katika siasa za Tanzania hasa ulipo ucheza vizuri mchezo wa kufukuzwa Bavicha hadi kuibukia na kanafasi ndani ya CCM.
Lakini nimegundua u mtupu sana sana katika michezo hii ya siasa, unababia babia tu.
Katika mchezo huu wa ACT na Chadema waliopigwa chenga Kali ya mwili toka mwanzo ni CCM, NEC na msajili wa vyama.
Nimeamini zile safari za Zitto kwenda Ubeligiji na Ujeremani na wakawa wanakutana na Lissu pia ingizo la Membe kachero yote yalikuwa mahesabu.
Kauli za Maalim Leo na Membe Jana zote ni confusing tactics kwa adui zao, subiri tamko la 27/10 ndio ccm itakapo shangazwa kama ilivyo shangazwa na kipigo cha Ponda kuingia mazima wiki ya mwisho ya kampeni.
Hangaikeni tuu, magu ana pension nzuri tuu kama ataheshimu sheria ila nyie lazima mtafute kazi nyingine
Na wewe angalau tumia akili Kwani mdhamini hana haki ya kuondoa udhamini au unawaona watanzania wajinga sana mara ngapi wanafunzi pale UDSM wameonfolewa kwa kufutiwa udhamini. Sasa cha ajabu kitu gani hivyo vyama kuamuwa kubadilisha uamuzi wao. Imekuuma sana kwavile lengo lao ni moja tu kuiondoa CCM kuna ubaya gani kuunganisha nguvu katika hilo. Hata sisi tusio na vyama tunaona ni wazo zuri kuunganisha nguvu ili mradi hawakiuki sheria ya uchaguzi maana wanaunga mkono mgombea siyo coalition
Soma katiba ya ACTRecord zikisema wamepata zero wakati wagombea walioungwa mkono kuna shida gani, unadhani wanachama wanapiga kura kama robot wapigie kura jina ambalo wameambiwa wasilipigie kura
Soma katiba ya ACT ndio ujue kuwa Zitto na Sefu wameisiginaWalimshobokea Membe? Walijua ni snitch na ili wamkamate vizuri walionesha kumkubali ili waweze kumkaba vizuri. Chatu ndivyo anavyokula mbwa. Maccm mkajua agent wenu anaingia ndani ili awape mikakati inavyoenda. Amekawekwa kitako. Ndio maana mmepoteana na kuweweseka kama mmekunywa dawa za kichawi. Mpigieni kampeni hii wiki iliyobaki. Mwisho wenu inzi wa kijani umefika.
Wao walishadhamiria hivyo.Ni mbinu na mkakati waliokuwa wameupangilia toka manzo.We kaa ukidhani wamedandia hewani,28 nina langu jambo mzee.
Lissu kaifuta CCM huko Umasaini Wenyekiti wa Vijiji warudisha Bendera za CCM
Wanaitana wakisha toa comment mbili wameishiwa maneno
Naona mmewekewa bando kuja kumwaga utopolo wenu humu Lissu anawachoma kama mkuki na baado atawakimbiza mchakamchaka
CCM mumebakia kidoogo tena ni mitandaoni tu huku uraiani kwishaaa!Tarehe 28.10.2020 "mtapigwa,mtachakaa!"
Inasikitisha sana mkuu, hata shetani hawezi kutamka haya maneno!Sikutegemea utukane kiasi hiki . Yaani apigwe risasi umuite kilema
Huwezi kuelewa kwa sasa, subiri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee...
Mkuu kwahiyo Membe atabadirisha upepo wa siasa siku moja kabla ya uchaguzi?
Seif kasema wazi kwamba kama Membe anajiona mwamba apige hizo kampeni watu wazione. Sasa wewe unakuja hapa na kitu gani hiki?
Alafu unaposema hizo ni strategy za kuwachanganya Nec na ccm, anawachanganya kwenye lipi mkuu?
Nmeamini upinzani wa nchi hii hovyo kabisa.
Watu hawasomi katiba au kama wanasoma hawazielewi lakini ndio haohao wanaimba wimbo wa katiba mpyaNi kwa mujibu wa katiba na taratibu.Unawezaje kuondoa udhamini wa mgombea aliyeteuliwa na NEC au ZEC dogo? Angalia katiba ya ACT uijifunze
Soma katiba ya ACT ndio ujue kuwa Zitto na Sefu wameisiginaView attachment 1606357