Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
-
- #101
CCM mumebakia kidoogo tena ni mitandaoni tu huku uraiani kwishaaa!
Kama kwa wizi Nchi haitatawalikaEndelea kujitekenya,siku JPM anaapishwa utasusa kuangalia TV
Mkuu, waarabu wa pemba hao. Subiri picha liishe, utaelewa. Hapo kuna Ngoma ya tokomile inachezwa kwa umahiri wa hali ya juu sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee...
Mkuu kwahiyo Membe atabadirisha upepo wa siasa siku moja kabla ya uchaguzi?
Seif kasema wazi kwamba kama Membe anajiona mwamba apige hizo kampeni watu wazione. Sasa wewe unakuja hapa na kitu gani hiki?
Alafu unaposema hizo ni strategy za kuwachanganya Nec na ccm, anawachanganya kwenye lipi mkuu?
Nmeamini upinzani wa nchi hii hovyo kabisa.
Maneno ya kwenye kanga hayo. Toka 1985 ndio hayohayo " Watanzania wa leo sio wa jana, wameelimika" siku zinaenda na hao walio elimika hawa hatuoni wanalofanya. Tatizo lenu ni kudhani hao mnaoita "Watanzania wa leo" ni walioko Chadema au upinzani tu. CCM hakuna Watanzania wa leo😂😂Mtahangaika sana watanzania wa leo sio wa jana mpaka Ukerewe wana jua lisu Rais mtarajiwa kamueni ndimu mnywe
Chadema chama cha hovyo sana, unganeni nyote mpaka kina Amsterdam kipondo kipo palepale. Magufuli Babalao
Ndugu zangu,
Ukisikiliza yanayoendelea ndani ya ACT na CHADEMA kuhusu suala la Wagombea urais Muungano na Zanzibar utacheka sana na utagundua dhahiri kuwa hakuna upinzani Tanzania bali wasaka tonge.
Mwanzoni ACT wamemshobokea Membe toka akiwa CCM. Baada ya hapo wakamdhamini NEC awe mgombea wao kwa sera ya 'Kazi na Bata'
Upande wa pili, CHADEMA wao wamemteua mgombea urais Zanzibar na kumdhamini ZEC. Anakuja Tundu ambaye alishiriki vikao halali kikatiba na kutangaza kutomtambua mgombea wa urais CHADEMA kwa upande wa Zanzibar.
Hizi ni akili za mbayuwayu huwezi kumkana mgombea aliyekwiteuliwa na NEC kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano au aliyeteuliwa na ZEC kugombea urais wa Zanzibar. Hii ni kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ile ya Zanzibar.
Waswahili tuna usemi wetu 'Ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa'
Tarehe 28.10.2020 kipigo kipo pale pale.
Kifupi ni kwamba Tz hakuna vyama vya kisiasa, upinzani hakuna na chama tawala nacho hakuna.--- chama tawala kinatawala kimabavu.
Afadhali wewe unayeujua ukweli huu na jinsi upinzani ulivyo wa ajabu. Mara nyingi udhaifu wa upinzani ndio unawapa nguvu sana CCM. Si ajabu kuona hata wagombea wao wanawatoa CCM, wao wenyewe hawawezi kujiimarisha na kuaminiana. Wanawaamini wanaotoka CCM. So confusing!
Malafyale
Upinzani wa Tanzania ni kituko
Ata unachokiongea hukijui kwanini kama una maneno mazuri hutoi kwa chama chako ccm? Huoni vile vitambulisho vyenu feki vimempaisha Tundu Lissu? Uwanja wa ndege chato, ndege mulizonunua mbona hamusimami kwenye majukwaa mukatangaza hizo ndege zenu mumeufyata ata kampeni zimekushindeni.Ndugu zangu,
Ukisikiliza yanayoendelea ndani ya ACT na CHADEMA kuhusu suala la Wagombea urais Muungano na Zanzibar utacheka sana na utagundua dhahiri kuwa hakuna upinzani Tanzania bali wasaka tonge.
Mwanzoni ACT wamemshobokea Membe toka akiwa CCM. Baada ya hapo wakamdhamini NEC awe mgombea wao kwa sera ya 'Kazi na Bata'
Upande wa pili, CHADEMA wao wamemteua mgombea urais Zanzibar na kumdhamini ZEC. Anakuja Tundu ambaye alishiriki vikao halali kikatiba na kutangaza kutomtambua mgombea wa urais CHADEMA kwa upande wa Zanzibar.
Hizi ni akili za mbayuwayu huwezi kumkana mgombea aliyekwiteuliwa na NEC kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano au aliyeteuliwa na ZEC kugombea urais wa Zanzibar. Hii ni kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ile ya Zanzibar.
Waswahili tuna usemi wetu 'Ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa'
Tarehe 28.10.2020 kipigo kipo pale pale.
Ndugu zangu,
Ukisikiliza yanayoendelea ndani ya ACT na CHADEMA kuhusu suala la Wagombea urais Muungano na Zanzibar utacheka sana na utagundua dhahiri kuwa hakuna upinzani Tanzania bali wasaka tonge.
Mwanzoni ACT wamemshobokea Membe toka akiwa CCM. Baada ya hapo wakamdhamini NEC awe mgombea wao kwa sera ya 'Kazi na Bata'
Upande wa pili, CHADEMA wao wamemteua mgombea urais Zanzibar na kumdhamini ZEC. Anakuja Tundu ambaye alishiriki vikao halali kikatiba na kutangaza kutomtambua mgombea wa urais CHADEMA kwa upande wa Zanzibar.
Hizi ni akili za mbayuwayu huwezi kumkana mgombea aliyekwiteuliwa na NEC kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano au aliyeteuliwa na ZEC kugombea urais wa Zanzibar. Hii ni kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ile ya Zanzibar.
Waswahili tuna usemi wetu 'Ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa'
Tarehe 28.10.2020 kipigo kipo pale pale.
Wewe una shida....Acha propaganda zakoNdugu zangu,
Ukisikiliza yanayoendelea ndani ya ACT na CHADEMA kuhusu suala la Wagombea urais Muungano na Zanzibar utacheka sana na utagundua dhahiri kuwa hakuna upinzani Tanzania bali wasaka tonge.
Mwanzoni ACT wamemshobokea Membe toka akiwa CCM. Baada ya hapo wakamdhamini NEC awe mgombea wao kwa sera ya 'Kazi na Bata'
Upande wa pili, CHADEMA wao wamemteua mgombea urais Zanzibar na kumdhamini ZEC. Anakuja Tundu ambaye alishiriki vikao halali kikatiba na kutangaza kutomtambua mgombea wa urais CHADEMA kwa upande wa Zanzibar.
Hizi ni akili za mbayuwayu huwezi kumkana mgombea aliyekwiteuliwa na NEC kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano au aliyeteuliwa na ZEC kugombea urais wa Zanzibar. Hii ni kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ile ya Zanzibar.
Waswahili tuna usemi wetu 'Ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa'
Tarehe 28.10.2020 kipigo kipo pale pale.
Akili ya mbayuwayu unayo wewe na wajinga wenzako huko CCM huku upinzani hawataki mzaha na huwezi kuwapangia wa kumkana endapo wanamuona anaenda kinyume na matarajio, tarehe 28 Mkoloni kaburu mweusi anakwenda chato na Nchi inapata uhuru kwa mara ya pili baada ya ule uhuru wa mwaka 1961Ndugu zangu,
Ukisikiliza yanayoendelea ndani ya ACT na CHADEMA kuhusu suala la Wagombea urais Muungano na Zanzibar utacheka sana na utagundua dhahiri kuwa hakuna upinzani Tanzania bali wasaka tonge.
Mwanzoni ACT wamemshobokea Membe toka akiwa CCM. Baada ya hapo wakamdhamini NEC awe mgombea wao kwa sera ya 'Kazi na Bata'
Upande wa pili, CHADEMA wao wamemteua mgombea urais Zanzibar na kumdhamini ZEC. Anakuja Tundu ambaye alishiriki vikao halali kikatiba na kutangaza kutomtambua mgombea wa urais CHADEMA kwa upande wa Zanzibar.
Hizi ni akili za mbayuwayu huwezi kumkana mgombea aliyekwiteuliwa na NEC kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano au aliyeteuliwa na ZEC kugombea urais wa Zanzibar. Hii ni kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ile ya Zanzibar.
Waswahili tuna usemi wetu 'Ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa'
Tarehe 28.10.2020 kipigo kipo pale pale.
Mkuu usihangaike kuwajibu watengeneza propaganda wa CCM dawa yao ni kuwapiga madongo live mpaka wanakaa wenyeweAta unachokiongea hukijui kwanini kama una maneno mazuri hutoi kwa chama chako ccm? Huoni vile vitambulisho vyenu feki vimempaisha Tundu Lissu? Uwanja wa ndege chato, ndege mulizonunua mbona hamusimami kwenye majukwaa mukatangaza hizo ndege zenu mumeufyata ata kampeni zimekushindeni.
Mulisema upinzani mara hii hautakuwa na hoja kwa vile mumeleta maendeleo sasa mbona mnapiga magoti kuomba kura? mbona mulitia mpira kwapani mukamfungia Tundu Lissu siku 7 na maalim seif siku 5? kwanini muliengua wagombea kibao wa upinzani tu?
Iyo upinzani kushirikiana na kumuacha mgombea ambaye hana mvuto japo kateuliwa na NECT wewe presha ni ya nini na mgombea wako wa ccm unaye? Membe hakushobokewa alifukuzwa ccm akaomba unachama ACT ata wewe ungekaribishwa, Membe kuja ACT alielezwa kabla asije ACT kwa kusaka urais bali akubaliane na hali halisi itakavyokuwa ili kukabiliana na chama tawala kuondoka madarakani, na kuna siku yeye mwenye alikiri kama chama kitampigia Lissu na yeye ataunga mkono.
Sasa ata akigangamaa anagombea urais ni bure tu, kauli za viongozi wakuu zimetoka wampigie Lissu yeye ataishia ukoko kwenu tu.
uvccm wote hichukua ushauri kwa cyprian Musiba na le mutuz ambao ni watu wapumbavu na mbumbumbu Duniani, unategemea nini kama hao ndiyo washauri wao wakuuTatizo la UVCCM wanajadiliana kwanza kwenye magroup za whatsapp na wanapanga kuja kufungua uzi humu ili wasapotiane!