Wanawake hawanabuni kujua kwamba wanaume wanapoona maaumbile ya kike ndipo sex desire inakuja that nature we can't run from that reality na mwanamke anaposhikwa shikwa baadhi ya sehemu za mwili wake ndipo nayeye feeling zinamjia za kufanya mapezi sasa ili sasa kubakana kusiwepo kila mmoja asiwe chazo cha kumshawishi mwezake kufanya ya siyo faa .By beholding we become changed tusidanganyane mwanaume mwenye afya kamili ya mwili na akili wa kiafrika akiona sehemu za siri za mwanamke tamaa inawaka sababu tumekulia katika mazingira ya kujua kwamba hizo ni sehemu za siri no one should see it only for someone special na ndio inamfanya mwanamke anakuwa na thamani kwa mwanaume