Kwa wadogo zangu wa kike na wakina dada kwa ujumla, tabia ya kujiachia mbele ya ndugu wa kiume tuwaachie Wazungu

Kwa wadogo zangu wa kike na wakina dada kwa ujumla, tabia ya kujiachia mbele ya ndugu wa kiume tuwaachie Wazungu

Siku zote Adam hakosi Eva wa kumshawishi.....

Wakat mwingine sio Tamaa hao mabinti wanajitakia.....Sasa unavaa kakichupi kanaonyesha matako Hadi mbususu.....unategemea nini...
Msituletee uzungu uzungu mwingi wakati sisi ni wa africa.....

Wajifunze kuvaa vizuri kujistil...Mm sipendi izo tabia...BADALA YA MWANAMKE KUONA AIBU UNAJIKUTA MWANAUME NDIO UNAONA AIBU...

Shem on them
 
shida ni Malezi,mwanamke unatakiwa uwe na staha Kwa sabbu za kimaumbile inatakiwa kuwafundisha watoto kukaa vizuri hata kuvaa pia
Hakika, mtoto anavaa nusu uchi anaangaliwa tu, akija kuwa binti mkubwa anaona sawa tu, kumbe nundu limeshaota, kifua kimejaa, mwisho wake ni kuweka watu kwenye mitego.
 
Mavazi siyo sababu ya mwanaume kubaka, kumnyanyasa kijinsia mtoto wa kike.
Acheni kupotosha na tamaa zenu, kwenye maonyesho moja ya unyanyasaji wa kijinsia, kuliwekuwepo na nguo ya mtoto wa miaka 2.

Wakasema wazi mtoto wa miaka 2, anahamasishaje mwanaume kuweza kumbaka? Kuanzia nguo na maumbile yake?
Ikahitimishwa nguo siyo kigezo, ni akili za mwendawazimu tu ndiyo anaweza kubaka.
Upande wangu navaa navyojisikia, nitakavyopenda. Ukishawishika utajijua mwenyewe mimi kwa raha zangu...
Kumbuka mwanaume anashawishika sio kwa hisia, bali kwa macho. Unavyovaa ndivyo chances za kuzidi kimvutia Me zitaongezeka au kupungua.

Mavazi kwa watoto ni muhimu yaangaliwe, hasa kunapokuwa na halaiki ya watu, tuwafunze kuvaa kwa stara. Hivi unavaaje chupi na khanga unapita mbele za watu?
 
Kumbuka mwanaume anashawishika sio kwa hisia, bali kwa macho. Unavyovaa ndivyo chances za kuzidi kimvutia Me zitaongezeka au kupungua.

Mavazi kwa watoto ni muhimu yaangaliwe, hasa kunapokuwa na halaiki ya watu, tuwafunze kuvaa kwa stara. Hivi unavaaje chupi na khanga unapita mbele za watu?
hawa wanapinga tu, ila siku wakibakwa kutokana na mavazi yao ndio watakumbuka uzi wa mleta mada
 
Wazazi wa miaka hii tunafeli sana, malezi yamekuwa mabovu sana, hatujali kuangalia tabia na mienendo ya watoto wetu hata kidogo.

Hivi unaishi na mtoto wako anavaa chupi na kanga na wewe unaangalia tu, anapitapita hapo matako yapo nje unaangalia tu, ndio maana tumekuwa na watoto wa hovyo sana siku hizi.
 
Back
Top Bottom