Kwa wajuvi wa Biblia, ni kweli Mfalme Daudi alipata UKIMWI kutokana na kupenda wanawake ovyo?

Kwa wajuvi wa Biblia, ni kweli Mfalme Daudi alipata UKIMWI kutokana na kupenda wanawake ovyo?

Usiwe mwenye hekima machoni pako,mche bwana ukajiupushe na uovu.mithali za sulemani .watu wengi awapendi ukweli,wanapenda uongo na mahubiri ya namna hyo na utajiri ndio maana hosea anasema watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa,kwa sababu wao wamenikataa mm nami nitawakataa nisiwe mungu wao.
 
Hapa najitahidi kupakua hii audio niweke hapa nashindwa,natumia JF app
 
Hongereni na majukumu wanajukwaa.

Juzi jumapili nilikuwa nasikiliza mahubiri ya kuhani na muonaji Mwalimu MUSA RICHARD MWACHA, mahubiri yalikuwa yanahusu ukimwi. Sasa katika mahubiri yale nikamsikia akisema kuwa Mfalme DAUDI nae alipataga HIV (UKIMWI) kutokana na kupenda kwake wanawake hovyo

Kwa wajuvi wa Biblia je kuna mstari wowote unaonyesha hii taarifa? Na kama ni kweli kumbe basi huu ugonjwa umeanza zamani sana. Naweka na sehemu ya mahubiri yake maana niliyarekodi japo sikurekodi mpaka mwisho.

Google historia ya ukimwi halafu fanya maamuzi bila wajuzi wa Biblia
 
Hongereni na majukumu wanajukwaa.

Juzi jumapili nilikuwa nasikiliza mahubiri ya kuhani na muonaji Mwalimu MUSA RICHARD MWACHA, mahubiri yalikuwa yanahusu ukimwi. Sasa katika mahubiri yale nikamsikia akisema kuwa Mfalme DAUDI nae alipataga HIV (UKIMWI) kutokana na kupenda kwake wanawake hovyo

Kwa wajuvi wa Biblia je kuna mstari wowote unaonyesha hii taarifa? Na kama ni kweli kumbe basi huu ugonjwa umeanza zamani sana. Naweka na sehemu ya mahubiri yake maana niliyarekodi japo sikurekodi mpaka mwisho.
Duh!

P
 
Hongereni na majukumu wanajukwaa.

Juzi jumapili nilikuwa nasikiliza mahubiri ya kuhani na muonaji Mwalimu MUSA RICHARD MWACHA, mahubiri yalikuwa yanahusu ukimwi. Sasa katika mahubiri yale nikamsikia akisema kuwa Mfalme DAUDI nae alipataga HIV (UKIMWI) kutokana na kupenda kwake wanawake hovyo

Kwa wajuvi wa Biblia je kuna mstari wowote unaonyesha hii taarifa? Na kama ni kweli kumbe basi huu ugonjwa umeanza zamani sana. Naweka na sehemu ya mahubiri yake maana niliyarekodi japo sikurekodi mpaka mwisho.
Dah yni apo m ndo ninapoona ujinga wa hawa watu
Ety Daudi kafa kwa ukimwi
Ivi nyie nani alowadanganya ivi na mkadanganyika haswaaa yni kweli ukae chini umsingizie Nabii wa Mungu kua anapenda wanawake

Kwa Imani yangu Manabii wote ni watu walokingwa na kufanya dhambi sasa ukija upande uleeee utasikia Nabii fulani kazini
Ah m nashindwa kuwaelewa nyie watu
 
Mafalme Daudi alitenda dhambi ya kutembea na mke wa Huria ambaye alikuwa nia askari wake na haikutosha akamtuma mkuu wa kikosi cha Jeshi amuweke mstari wa mbele, kilichotokea Huria akafa.

Daudi alikuwa kashampa mimba mke wa Huria, MUNGU akakasirika ndio mfalme akaanza kuumwa ugonjwa wa Tauni...

Huo ugonjwa wa Tauni, ndio Kuhani anasema ni UKIMWI, pia alisema ulikuwa ugonjwa wa wa falme kwakuwa walikuwa na wake wengi...

Hata Hezekia pia aliugua Tauni...

Ukisoma Zaburi 6:6... utaona mfalme Daudi alivyokuwa akimlilia Mungu amponye...

Inatakiwa kufanya Toba ya kweli ukifanya uzinzi...
 
Huo ukimwi umeanza juzi juzi tu hapo miaka ya 1980 ni vipi huyo mchugaji wa mchongo anapachika haya mambo enzi za kina Daudi?
 
Mafalme Daudi alitenda dhambi ya kutembea na mke wa Huria ambaye alikuwa nia askari wake na haikutosha akamtuma mkuu wa kikosi cha Jeshi amuweke mstari wa mbele, kilichotokea Huria akafa.

Daudi alikuwa kashampa mimba mke wa Huria, MUNGU akakasirika ndio mfalme akaanza kuumwa ugonjwa wa Tauni...

Huo ugonjwa wa Tauni, ndio Kuhani anasema ni UKIMWI, pia alisema ulikuwa ugonjwa wa wa falme kwakuwa walikuwa na wake wengi...

Hata Hezekia pia aliugua Tauni...

Ukisoma Zaburi 6:6... utaona mfalme Daudi alivyokuwa akimlilia Mungu amponye...

Inatakiwa kufanya Toba ya kweli ukifanya uzinzi...
Afadhali kumbe na wewe ulisikiliza,kwa hyo yeye Kuhani na Muonaji Mwalimu Mussa Richard Mwacha ugonjwa wa tauni ndio ameupachika jina la Ukimwi,hapo nimekuelewa sasa.
 
Hongereni na majukumu wanajukwaa.

Juzi jumapili nilikuwa nasikiliza mahubiri ya kuhani na muonaji Mwalimu MUSA RICHARD MWACHA, mahubiri yalikuwa yanahusu ukimwi. Sasa katika mahubiri yale nikamsikia akisema kuwa Mfalme DAUDI nae alipataga HIV (UKIMWI) kutokana na kupenda kwake wanawake hovyo

Kwa wajuvi wa Biblia je kuna mstari wowote unaonyesha hii taarifa? Na kama ni kweli kumbe basi huu ugonjwa umeanza zamani sana. Naweka na sehemu ya mahubiri yake maana niliyarekodi japo sikurekodi mpaka mwisho.
Hao wahubiri makanjnja ni wa kupoteza muda wako na kuwasikiliza kweli?

Ukimwi umetengenezwa miaka ya 70+, mfalme Daudi aliishi hapa duniani mwaka gani?

Hata hivyo mwenye sifa ya kuoa na kuchezea wanawake ni mfalme Selemani na siyo Daudi.
 
Wanawake wa enzi ya Daudi walizitunza bikira zao huo ukimwi utoke wapi.
 
Hao wahubiri makanjnja ni wa kupoteza muda wako na kuwasikiliza kweli?

Ukimwi umetengenezwa miaka ya 70+, mfalme Daudi aliishi hapa duniani mwaka gani?

Hata hivyo mwenye sifa ya kuoa na kuchezea wanawake ni mfalme Selemani na siyo Daudi.
Hakuna kipya chini ya Jua
 
😀😀😀

UKIMWI ni ugonjwa unaosababishwa na Virus.
Virus Kwa Asilimia kubwa ni Man-made.

Kipindi cha Daudi palikuwa na Teknolojia ya kuunda virus hapo ndio swali unapaswa ujiulize kabla hujatafuta majibu mengine
 
Mkuu hebu tufundishena sisi mnavyopiga story na Mungu.
hakuna kipya wala kanuni za ajabu ni swala tu la kujitahidi kuwa mwaminifu ukiwa na imani neno la kusimamia na kisha kuzidisha juhudi katika unachokisimamia ukija in box naweza kufunguka zaidi. uje na sadaka 🤣 🤣 🤣🤣 tena ya kujimaliza yaani kiasi chote kilichopo kwenye pochi yako ndo unitumie!(natania) Unashangaa nini si ndo tunavyoambiwa!
 
Hongereni na majukumu wanajukwaa.

Juzi jumapili nilikuwa nasikiliza mahubiri ya kuhani na muonaji Mwalimu MUSA RICHARD MWACHA, mahubiri yalikuwa yanahusu ukimwi. Sasa katika mahubiri yale nikamsikia akisema kuwa Mfalme DAUDI nae alipataga HIV (UKIMWI) kutokana na kupenda kwake wanawake hovyo

Kwa wajuvi wa Biblia je kuna mstari wowote unaonyesha hii taarifa? Na kama ni kweli kumbe basi huu ugonjwa umeanza zamani sana. Naweka na sehemu ya mahubiri yake maana niliyarekodi japo sikurekodi mpaka mwisho.
ilitakiwa wathibitishie hicho akisemacho kwa kuonesha kifungu kinacho sema hvyo sio kusema tu
 
Back
Top Bottom