Kwa wajuvi wa Biblia, ni kweli Mfalme Daudi alipata UKIMWI kutokana na kupenda wanawake ovyo?

Kwa wajuvi wa Biblia, ni kweli Mfalme Daudi alipata UKIMWI kutokana na kupenda wanawake ovyo?

😀😀😀

UKIMWI ni ugonjwa unaosababishwa na Virus.
Virus Kwa Asilimia kubwa ni Man-made.

Kipindi cha Daudi palikuwa na Teknolojia ya kuunda virus hapo ndio swali unapaswa ujiulize kabla hujatafuta majibu mengine
Hivi Baba wa Taifa naye alikufa kwa ugonjwa gani? Maana sikuwepo Tanzania.
 
WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.

Tumesikia Yesu ana mke na sasa tunaambiwa mfalme Daudi alikufa kwa ngoma, kesho utasikia baadhi ya manabii walikuwa waganga
Yesu mkewe Maria magdalena
 
Mafalme Daudi alitenda dhambi ya kutembea na mke wa Huria ambaye alikuwa nia askari wake na haikutosha akamtuma mkuu wa kikosi cha Jeshi amuweke mstari wa mbele, kilichotokea Huria akafa.

Daudi alikuwa kashampa mimba mke wa Huria, MUNGU akakasirika ndio mfalme akaanza kuumwa ugonjwa wa Tauni...

Huo ugonjwa wa Tauni, ndio Kuhani anasema ni UKIMWI, pia alisema ulikuwa ugonjwa wa wa falme kwakuwa walikuwa na wake wengi...

Hata Hezekia pia aliugua Tauni...

Ukisoma Zaburi 6:6... utaona mfalme Daudi alivyokuwa akimlilia Mungu amponye...

Inatakiwa kufanya Toba ya kweli ukifanya uzinzi...
Ila biblia kwa kumtusi Mungu na manabii wake haijambo
 
Yesu mkewe Maria magdalena
Mariam Magdalena sio mke wa YESU...

Ila alikuwa mwanamke kahaba...

Alisikia YESU yupo kwa Simon Mkoma akaenda huko ili asamehewe...

Alipofika akajipenyeza mpaka kwa YESU akaanza kulia kwa machozi miguuni mwa YESU huku akifuta miguu ya YESU kwa machozi na kumpaka mafuta miguu yake.

YESU alivyoona Toba ya kweli ya Mariam magdalena akamsamehe dhambi...

Toka siku hiyo aliposamehewa alikuwa akikaa chini ya miguu ya YESU na hili ndilo lililopelekea kuitwa mkewe...

Ni kama Leo Mtu akiokoka anakuwa karibu na YESU...

Soma Luka : 7: 37 na Luka 8: 2
 
Mariam Maglena sio mke wa YESU...

Ila alikuwa mwanamke kahaba...

Alisikia YESU yupo kwa Simon Mkoma akaenda huko ili asamehewe...

Alipofika akajipenyeza mpaka kwa YESU akaanza kulia kwa machozi miguuni mwa YESU huku akifuta miguu ya YESU kwa machozi na kumpaka mafuta miguu yake.

YESU alivyoona Toba ya kweli ya Mariam magdalena akamsamehe dhambi...

Toka siku hiyo aliposamehewa alikuwa akikaa chini ya miguu ya YESU na hili ndilo lililopelekea kuitwa mkewe...

Ni kama Leo Mtu akiokoka anakuwa karibu na YESU...

Soma Luka : 7: 37 na Luka 8: 2
Yesu alipofufuka wa kwanza kufika Nani!?..ukaribu wa yesu na Maria unatia Shaka,yesu aliacha dini mikononi mwa Maria,Ila mfumo dume ukawa na husda,ukamtoa Maria karibu na yesu na kudai alikua Malaya..watu mpaka wanabusiana,yesu akiwa anatengeneza zake stuli Maria yupo
 
We amini unachoamini tu..., ingawa kwa enzi hizo wanawake wengi wala haikuwa tatizo ndio ilikuwa ubabe (na hapa siongelei Biblia naongelea enzi zile wakati Biblia inatangazwa / promoted) ila tukija kwa wake Suleimani / Solomon nae vipi ?...

Pili ukifuata sana haya maandiko huenda na wewe unaweza ukafanya mbinu za kumuua rafiki yako ili uchukue mke wake au hata kumtoa mwanao sadaka / kutaka kumtoa sadaka eti sababu una Imani kali au umeambiwa ufanye hivyo....

Anyway... to each his/her own....
Sio kweli, ww hujawai kuokoka. Ukitaka uonje utamu wa Yesu okoka, ndipo utakapojua hujui.
 
Yesu alipofufuka wa kwanza kufika Nani!?..ukaribu wa yesu na Maria unatia Shaka,yesu aliacha dini mikononi mwa Maria,Ila mfumo dume ukawa na husda,ukamtoa Maria karibu na yesu na kudai alikua Malaya..watu mpaka wanabusiana,yesu akiwa anatengeneza zake stuli Maria yupo
Wa kwanza alikuwa ni Mariam magdalena, na ni kwasababu toka aliposamehewa dhambi alimwamini YESU, imani yake ilikuwa kubwa na ndio iliyopelekea kumuona YESU alipofufuka, na akawa mwanamke wa kwanza kutangaza habari za YESU.

Hata sasa tunatofautiana namna ya Imani zetu na kumwamini YESU ndio maana kuna Manabii, Kuhani, na kuna wanafunzi ambao wanamwamini YESU...

Wengine wana maono, wengine wanahubiri, wengine wanaponya...
 
Wa kwanza alikuwa ni Mariam magdalena, na ni kwasababu toka aliposamehewa dhambi alimwamini YESU, imani yake ilikuwa kubwa na ndio iliyopelekea kumuona YESU alipofufuka, na akawa mwanamke wa kwanza kutangaza habari za YESU.

Hata sasa tunatofautiana namna ya Imani zetu na kumwamini YESU ndio maana kuna Manabii, Kuhani, na kuna wanafunzi ambao wanamwamini YESU...

Wengine wana maono, wengine wanahubiri, wengine wanaponya...
Unajua maana ya nabii!!..hakuna nabii siku hizi,hiyo kudai yesu hakua na mke ni hila za mfumo dume kanisani,ili kumuondoa pichani Maria magdalena
 
Unajua maana ya nabii!!..hakuna nabii siku hizi,hiyo kudai yesu hakua na mke ni hila za mfumo dume kanisani,ili kumuondoa pichani Maria magdalena
Mambo ya mwili ni mwili na roho ni roho...

Endelea kuwa na moyo mgumu...
 
Sio kweli, ww hujawai kuokoka. Ukitaka uonje utamu wa Yesu okoka, ndipo utakapojua hujui.
I never said that I know..., indeed am all for each and their own.., but give me facts any day and am ready to sway the other way....

Linapokuja suala la Imani its hard and wastage of time to try to say that you don't believe what you believe; that's your individual truth..., to try and shove what you believe into others is not Kosher.....

But as a Community we need Empirical Truths based on facts..., anything else should remain for individuals as they see fit....
 
Unajua maana ya nabii!!..hakuna nabii siku hizi,hiyo kudai yesu hakua na mke ni hila za mfumo dume kanisani,ili kumuondoa pichani Maria magdalena
ebu tuthibitishe hilo na ss tupate kufahamu huo ukweli
 
Mafalme Daudi alitenda dhambi ya kutembea na mke wa Huria ambaye alikuwa nia askari wake na haikutosha akamtuma mkuu wa kikosi cha Jeshi amuweke mstari wa mbele, kilichotokea Huria akafa.

Daudi alikuwa kashampa mimba mke wa Huria, MUNGU akakasirika ndio mfalme akaanza kuumwa ugonjwa wa Tauni...

Huo ugonjwa wa Tauni, ndio Kuhani anasema ni UKIMWI, pia alisema ulikuwa ugonjwa wa wa falme kwakuwa walikuwa na wake wengi...

Hata Hezekia pia aliugua Tauni...

Ukisoma Zaburi 6:6... utaona mfalme Daudi alivyokuwa akimlilia Mungu amponye...

Inatakiwa kufanya Toba ya kweli ukifanya uzinzi...
Tauni ni neno la kiarabu
ugonjwa Tauni ni ugonjwa ambao unasambaa kwenye mji au Nchi
mfano ni hii Covid ni ugonjwa wa Tauni
 
Back
Top Bottom