Kwa wajuvi wa Biblia, ni kweli Mfalme Daudi alipata UKIMWI kutokana na kupenda wanawake ovyo?

Kwa wajuvi wa Biblia, ni kweli Mfalme Daudi alipata UKIMWI kutokana na kupenda wanawake ovyo?

Dah yni apo m ndo ninapoona ujinga wa hawa watu
Ety Daudi kafa kwa ukimwi
Ivi nyie nani alowadanganya ivi na mkadanganyika haswaaa yni kweli ukae chini umsingizie Nabii wa Mungu kua anapenda wanawake

Kwa Imani yangu Manabii wote ni watu walokingwa na kufanya dhambi sasa ukija upande uleeee utasikia Nabii fulani kazini
Ah m nashindwa kuwaelewa nyie watu

Unashangaa au unapinga kitu gani?

Daudi akiwa mfalme alikuwa hadi anaua watu ili kupora wake zao, wewe hutaki kusikia alikuwa anapenda sana wanawake.!
 
Huo ukimwi umeanza juzi juzi tu hapo miaka ya 1980 ni vipi huyo mchugaji wa mchongo anapachika haya mambo enzi za kina Daudi?

Acha ujinga.

Ukimwi umeanza miaka ya 1980 kwenye ufahamu wako, pengine ndo waliokupa hizo taarifa waliupatia jina…. jielimishe kwa juhudi kadri uwezavyo.
 
Mwishowe mtaambiwa alikufa Kwa Corona..

Daudi alikufa akiwa Mzee kabisa!
Hadi akapewa na Binti (Suria) amtunze kwenye uzee wake ..
Ambaye baadae mwanae alimgonga pia na hakupata ukimwi Wala Nini..

Kasome kitabu Cha samweli 1&2 na wafalme 1&2,
Someni Biblia zipo mpaka kwenye simu ni Bure tu..

Kwahiyo Suleimani alichakata hadi papuchi ya 'suria' wa mshua?
 
Aids iligundulika kwa mara ya kwanza miaka ya 1980,
Biblia agano la kale na agano jipya zilikuwa zimeshaandikwa kwa wakati huo

Pengine ziliandikwa kabla haujapewa jina tu ila ulikuwepo![emoji2377]
 
Dini ni biashara siku hizi [emoji1][emoji1][emoji28] Nafkiri kwenye hiyo hadhara hakukuwa na watu wenye akili zinazofanya kazi sawasawa unless otherwise wangemdunda huyo mtoa mahubiri
Wafuasi wa hawa watu ni wale wenye akili kama za wendawazimu,ukimuona mtu wako wa karibu ameenda kwenye haya mabanda hesabu ameshapotea maana akili zote zinahama.
 
Katika mliokuwepo hapo ibadani hakuwepo askari AMKAMATE huyu mchungaji wenu kwa kuzua taharuki?
 
🤣🤣🤣 leo watu wananichekesha sana
 
Yesu alipofufuka wa kwanza kufika Nani!?..ukaribu wa yesu na Maria unatia Shaka,yesu aliacha dini mikononi mwa Maria,Ila mfumo dume ukawa na husda,ukamtoa Maria karibu na yesu na kudai alikua Malaya..watu mpaka wanabusiana,yesu akiwa anatengeneza zake stuli Maria yupo
Wewe ni m@takle
 
Back
Top Bottom