Kwa wale ambao hawakuona "vimondo" vya Iran vikikung'uta Israel basi ushahidi mzuri uko katika video hizi.

Kwa wale ambao hawakuona "vimondo" vya Iran vikikung'uta Israel basi ushahidi mzuri uko katika video hizi.

Screenshot_20240719-215649.png
 
Nasikia Netanyahu na makamanda wake wote wameuwawa kwa mkong'oto wa Iran!!! Kama walivyouwawa makamanda wa Hizbollah
Kwani Tanzania ilipomvamia idd amini waganda wangapi wasio na hatia walikufa? Je Tanzania alishinda kwa ajili ya kuua raia? Idd amini aliua raia wengi kuliko Tanzania ilivyoua sasa wewe vita unavijua kweli au ndio umekalia ujinga ujinga tu ipo siku mnachokitaka cha kuua raia kitakuja. Iwapo Israel atapiga raia wa Irani hilo halina shaka
 
Israel mpaka ale kichapo cha maana ndio atatulia hapo middle east, wakiumuacha tu kila siku ataendelea kuwaonea Palestina..

Wacha tuanze kuhesabu magofu ya Tel Aviv sasa
 
Kwa namna hyo waisrael watamfurusha netanyau maana hawapendi wapate tabu hata kidogo hao
Iran imeharibu sherehe ya Netanyahu ya kuonekana "Hero"baada ya mafanikio yake ya kijeshi ya wiki mbili zilizopita. Waisrael wakipewa shida wasiweze kwenda bar kunywa, kwenda kazini, kushindwa kwenda masokoni kufanya shopping watamgeuka Netanyahu mapema tu.
 
Hii siku kubwa JEHOVAH kawakimbiya taifa teule kawaacha wajipambanie wenyewe watu wanapenda kufukuana mitalo alafu mungu awashike mkono ata ningekuwa mm nasepa awan adabu kabisa.afu kunawatu wanawashabikia!!!
 
Halafu kuna waafrika wajinga kila siku wanasema Israel ni taifa linalolindwa na Mungu.

Haya huyo Mungu, Kashindwaje kuzuia hayo makombora yasitue kwenye ardhi ya taifa lake?
 
Back
Top Bottom