Kwa wale ambao mpaka sasa hawajaelewa falsafa ya kocha wa Yanga Gamond njooni hapa mpate somo

Kwa wale ambao mpaka sasa hawajaelewa falsafa ya kocha wa Yanga Gamond njooni hapa mpate somo

Kocha hana mpango na mfungaji bora, kocha anataka magoli, kocha an at a mchezaji yeyote ambaye yupo ndani ya box anatakiwa kufunga goli, kocha hataki ufalme wa mchezaji, kocha anataka ufalme wa Yanga.

Wale wachezaji aina ya Inonga kumkamia mchezaji Fulani ndio mfungaji muwape ujumbe, gari limewaka, Yanga I nataka ushindi tu sasa hivi, falsafa siyo nani anafunga.

Hakuna mchezaji amesajiliwa kuja kugombea kiatu cha ufungaji bora, Bali wachezaji wote wanatakiwa kuhakikisha Yanga inashinda.

Habari ndio hiyo msije mkasema sikuwaambia mapema, sasa margin ya magoli ni wachezaji wote wanaoingia ndani ya box.

Nimewaibia siri tu hizi tano tano zina muendelezo wa muda mrefu ujao kwa falsafa hii ya Gamondi.

Cc: Gang Chomba
Mimi shabiki wa yanga naahidi kuusoma walaka huu kwa makolo wote hadi watoke damu
 
Mechi mbili, goli 10, point 6, tunaongoza ligi.
Braza!... umeshasema mechi 2, timu kufungwa goli 5 zisikutoe ufaham et ata hao Yanga walishawahi kufungwa hizo goli 5 na maisha yakaendelea safi tu. Sasa wamefungwa KMC na JKT yani ndo imekua stoorii duuh...

Pia Yanga amecheza uwanja mmoja tu, muda utaongea...

Af ishu sio kufunga goli ngapi ishu ni tuuone huo muendelezo wa falsafa.
 
Back
Top Bottom