Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,764
- 2,366
Hahahaha imebidi nicheke kwa sauti!!....Jirani yetu binti wao alisumbuliwa na maradhi, walihangaika hospitali zote , yule dada ilikuwa akisafiri to the moon ni ugonjwa wakupoteza fahamu.
Mmoja wa Sangoma alisema binti analogwa na wazazi wake. Wazazi wenyewe waliblow mapigo .
Umerudi nyumbani ulipoitwa na mama na ajira umeshaitwa kazini???Sitoi jibu la moja kwa moja kuwa nimewahi ama sijawahi...ila waganga wapo na uganga upo...africa tulikuwa na mila za kiganga...wazungu wakaziboresha...tulitumia miti shamba wao wakatuletea madawa lakini waliyaboresha kutoka kwenye miti shamba kuwa madawa...ila matibabu ni yale yale....ata mambo ya giza pia yapo....
Yap...nimeitwa...nimejaza nyaraka muhimu...nangoja kuanza rasmiUmerudi nyumbani ulipoitwa na mama na ajira umeshaitwa kazini???
Huyo hawezi kukusaidia. Siunaona kakutuma kitu kisichopatikana! Muulize wa kuchora anafaa?.Niliwahi kwenda kwa sangoma kutaka kubadili roho mbaya ya bwana yule iwe nzuri,akanipa masharti ya kupeleka mbuzi wa kijani mwenye mistari ya njano,bado namtafuta mbuzi
Kila mtu huwa ana imani yake
Kila mtu ana mbinu zake za kutatua matatizo yake.
Wapo ambao wakipata shida kidogo tu ni kwa babu sangoma wanakimbilia.
Tujuzane, vipi gharama huko? Shida zinatatulika? Permanently or temporarily?
Na pia nasikia every dark magic comes with a price, ni kweli..? Ni price zipi mnalipa kupata magic nyeusi hizo
Tujuzane
Binafsi mimi sijawahi kukanyaga kwa sangoma na sitakaa nikanyage huko
Mwenyezi Mungu akusaidie aiseeYap...nimeitwa...nimejaza nyaraka muhimu...nangoja kuanza rasmi
Mapenzi mamaa.Kumbe kuna wanaume nao huwa wanaroga??
Nimewahi Kwenda kwa Mchanga kwa matatizo mawili matatu ya kimaisha ila kila nikienda kwa mganga usiku lazima nimuone anakuja kuniloga namtoa nduki mwisho nikaamua kuacha Kwenda maana nilijiona mie ndio mganga hata mganga mwenyewe haniwezi
Asante ubarikiwe sanaMwenyezi Mungu akusaidie aisee
HahaahahaaHili swali lingejibiwa vizuri na viongozi wa timu za Simba na Yanga.Wana uzoefu hatari
Mlifanikiwa baada ya kufuata njia nyingine.?Maisha haya kila mtu ana Siri zake nilishawahi kwenda mdogo wangu alikuwa Mgonjwa hospitality wenyewe walishauri tuanfalie njia nyingine. Ndiyo tulienda huko
Hahahaaa huyo kweli sangomaSasa si bora huyo Sangoma niliwahi kwenda kwa mchungaji fulani tegeta ni mama hivi katika mazungumzo yetu aliniambia eti matatizo yangu yanatokana na jina langu Hahahaha nilicheka sana kimoyomoyo mchungaji anatoa ushauri wa kigangaganga Hahahaha akaniombea pale wapjii
We jamaa mshenzi, hahahahah sema mnawaoneaga sana wadada na wamama!Dada wa kisouth anapitia asubuhi namuweka dawa za tumbo na jioni anapitia tena anaopata dawa ...kwa siku saba...kwa ajili ya kumtoa mikosi na uchawi uliopo tumboni mwake..hiyo ni baada ya kumuwekea yai lenye nywele , damu,nyuzi za nguo,sindano na vipande vya viwembe..yai tunaliunga vizuri na super glue halafu tunaliweka uji wa mshumaa...yaani kazi inafanyika kwa weledi mkubwa na hutojuwa km yai lilikatwa na kuungwa tena...ukija na yale mayai yako tuliyokuagiza...tunakwambiya weka mkono kwenye mayai yale NUIA SHIDA ZAKO...baadae ndy tunakubadilishia moja ktk yale mayai 3....then tunakwambiya uvunje yale mayai ,ndy hapo utakapokutana na yai lenye uchafu wa viwembe,damu,nyuzi za nguo,sindano,Basi hapo ndy anapoanza kuchanganyikiwa MDADA wa watu....kama ni mzuri na unamtaka UMTAFUNE ndy hapo unampa masharti..kwamba sababu karogwa,,na ana UCHAFU ndani ya tumbo la uzazi,inabidi awekwe DAWA ambayo itakuwa inawekwa kwenye UUME wa mwanaume YEYOTE lakini sio MUMEWE au MPENZI wake...unamtengenezea mazingira ya ugumu wa kupata mtu wa kumuingiza dawa. .mwishowe anakwambiya MGANGA NISAIDIE PLZ..ndy hapo dawa inapoanza kuwekwa kwake kwa njia ya MGEGEDO....hadi siku 7 zikifika za doze...mshakuwa wapenzi....hakauki kwa mganga hadi kero..maana nataka nitoe doze kwa wengine yeye anakomaa tu....basi mkuu kuna mengi sn tumepitia ktk kutafuta. Na zipo mbinu nyng za kudanganya watu na sio mganga wa kweli.....uongo tu