Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

Kumbe hata haujui ni kundi gani la mafao wanatakiwa wapewe mkuu.....😊
Sikunyingine ukisifiwa mbio usipitilize kwenu...😜

Ni Fao la kujitoa, kitu kama hujui kaa kimya
 
Watu wanawacheka sana, lakini hawa jamaa wakiruhusiwa kuendelea na miradi yao watasumbua sana humu ndani,
Kwa kweli mimi siwacheki, haya ni mambo yanaweza kutokea kwa mtu yeyote, iwe umeajiriwa ama umejiajiri
 
Barikiwa
 
Kuna Idara ya Public Policy hapa chuoni kwetu ilikuwa inatoa scholarships nyingi sana kwa nchi za Afrika, Caribbean, Amerika ya Kusini na Asia kwa kutumia sponsorship ya USAID ili kuwafundisha walengwa namna ya kuongoza jamii zao kwa ufanisi na vile vile kuwapa influence ya Marekani hata watakaporudi makwao. Jana nimesoma barua ya mkuu wa chuo kuwa idara hiyo itakuwa streamlined na hivyo wale wataalamu African Studies, Asian Studies, Caribean Studies, Andean na Amazonian Studies wajiandae kuagwa; watapunguzwa zaidi ya kumi.
 
Eti yeye anasema debe 35 😹
Huyu hata matumizi nna wasiwasi home kwake hatoi yupo kutuchosha tu hapa.!!

Mpaka 30 unanunua, mwezi wa 5 kuweni makini nunueni mpunga muweke ndani, ukiagiza pale Isaka kahama na uziri pale magari mengi yanapita, usafiri ni rahisi.
Sitawafundisha kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…