Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

Inategemea uko wapi!! Debe ina kilo 20, ukicheza vizuri hadi kwa 30 unapata, mmezoea kununua zile za korie au mama alaska
Na hapa ndo ndoa nyingi zitavunjika. kuna watu wagumu sana kubadilika hata kama mazingira yamebadilika. mama akishaona umepoteza kazi anaanza kukitembeza uko nje au anakula kona mazima.
 
Kuna Idara ya Public Policy hapa chuoni kwetu ilikuwa inatoa scholarships nyingi sana kwa nchi za Afrika, Caribbean, Amerika ya Kusini na Asia kwa kutumia sponsorship ya USAID ili kuwafundisha walengwa namna ya kuongoza jamii zao kwa ufanisi na vile vile kuwapa influence ya Marekani hata watakaporudi makwao. Jana nimesoma barua ya mkuu wa chuo kuwa idara hiyo itakuwa streamlined na hivyo wale wataalamu African Studies, Asian Studies, Caribean Studies, Andean na Amazonian Studies wajiandae kuagwa; watapunguzwa zaidi ya kumi.
Mzee Kichuguu hongera.wewe haujapunguzwa bila shaka.chapa kazi.
 
Hiyo ya kulipwa na NSSF kila mwezi inategemea na umri wako, kama una less than 55 unakua huna sifa but again inategemea kama michango haijafilisha miezi 180 hata kama una 55 and above bado huna sifa, is either utafute kazi ili uunge hiyo michango hadi ifikishe 180 or else utapewa mzigo kamili uende ukafe na shida/raha zake
Asante mkuu
 
Itahitajika discipline ya kiwango cha PhD.Kwanza unaweza kuanza kupata pressure toka kwa marafiki,mwenza na hata watoto baada ya kipato kushuka.Hiyo inaweza kukutoa kwenye mstari wa malengo yako.Mkoani hakuna matumizi makubwa kuliko Dar.Mfano Unaweza kutumia gari mara chache kuliko Dar.Vyakula ni bei rahisi zaidi n.k
Ni kweli, discipline ya hali ya juu ndo inahitajika, ukicheza kidogo umeyumba
 
Kusitishwa kwa shirika la USAID na serikali ya Donald Trump kkutagusa maisha ya familia nyingi sana,
Sasa kama wewe ni mwathirika usipanick relax, wewe si wa kwanza kukutwa na hali kama hiyo,
Nimejaribu kukuwekea baadhi hatua za kuchukua ili upite salama

1. FIRST THING FIRST

Ulikuwa unachangia NSSF right?

Sawa hapa ndo pakuanzia, chukua documents zako mapema na uziwasilishe kwenye ofisi za NSSF ili uanze kulipwa haraka,
Ukikamilisha kujaza form yao ndani ya ya siku 30 utaanza kulipwa 33% ya mshahara wako kwa mwezi na utalipwa kwa muda wa miezi 6,
kwa hiyo kama ulikuwa unalipwa mil 1, utalipwa laki 330,000 kwa mwezi,
Unaweza kuiona ndogo ila ni pesa inayoweza kukuweka mjini.

Jitahidi kama una familia hii pesa itatue changamoto za muhimu tu.

Katika kufanya maamuzi ya matumizi nnashauri zingatia vitu vya lazima

a. Matumizi muhimu, mfano kununua nguo mpya ni muhimu ila si lazima
b. Matumizi Lazima mfano kula ni lazima

2. EVERY CENT COUNTS

Kumbuka kuwa mshahara uliokuwa unaingia kila mwezi haupo tena, hivyo ni lazima upitie upya matumizi yako, hasa matumizi makubwa na madogo ya kila siku.
Iko hivi,

a) kodi unalipa sh ngapi? Je inaweza kupungua, jibu ni ndio kama unalipa laki 3 tabata, kwa nn usihamie majohe, kinyerezi, mpiji au Kisemvule kwa nusu ya hiyo kodi,
Kumbuka ulikuwa unakaa karibu kwa sababu ya majukumu, usisubiri kesho anza sasa

b)Matumizi madogo madogo ya kila siku
Mara nyingi hizi huwa zinaonekana ni pesa ndogo zikitolewa kila siku, imagine kila siku unatoa shilingi elfu 10,000 kila siku kwa mwezi sio chini ya laki 3

Okay twende sawa, binafsi hiyo level nilishavuka,

Huwa nnafanya manunuzi ya jumla,
mchele nunua debe 35,000
Sembe nunua kiroba 8,000
Maharage sado 12,000
Dagaa 20,000
Nyama ya 30,000
Samaki 30,000
Mafuta 27,000
Gesi 55,000

Viungo unafanya shopping mara moja kwa wiki unatunza kwenye fridge, inategemeana na idadi ya familia uliyonayo ila kwa haraka haraka baadhi ya vitu hapo vinavuka mwezi na zaidi, mfano gesi matumizi mazuri ni kuanzia miezi miwili

Ni lazima uzingatie na situation yako, huwezi kuendelea kuishi kama awali wakati maisha yamebadilika.

Mpaka hatua hii unapaswa kuwa umejituliza kwenye ile 33%, yaani hakikisha matumizi yako ya mwezi hayazidi ile hela unayoipata,
Sikia watu wanakula mboga za majani kila siku na hawafi, watu wanashindia Maharage mchana na jioni na wanadunda tu,

Laki moja inaweza kutosha familia ya watu 4 vizuri kabisa, kupanga ni kuchagua, don't stress yourself chai asubuhi haina umuhimu wowote, kwanza ni luxury😋

Je unatafuta kazi au unajiajiri?
Ndio nnajua utatafuta kazi nyingine, umetolewa kwenye ajira na ulikuwa hujajipanga it's okay,
Cha kuzingatia wakati unatafuta ajira tafuta ujuzi utakaokuwezesha kuishi mtaani, yaani vi elfu 10,000 au zaidi visikupige chenga.

Please usije jichanganya kuingia kwenye betting, au forex, crypto currency it will be your funeral, usijidanganye hizo mbanga zinahitaji kichwa kisiwe na stress ya aina yoyote.

Tafuta shughuli itakayokufanya uwe busy,
Mfano unaweza kujifunza marketing, tafuta bizaa inayouzika, nenda kwa mfanyabiasha ongea nae ufanye kazi kwa commission, hakuna biashara kwa sasa isiyohitaji mtu wa marketing, haipo,

Ongea na mkurugenzi, mwambie sitaki unilipe mshahara utanipa asilimia % ngapi kwenye kila mauzo.

Mwisho nikutakie kila la kheri, Mungu kufanyie wepesi kwenye upite salama.
Jamaa yangu kitengo cha HIV TAKWIM wameambiwa warudi kazini. Kuna mambo mengi watu wanapats taarifa magazetini, na wengine walifurahia wenzao kutemeshwa mzigo na trump.
Kusitishwa kwa shirika la USAID na serikali ya Donald Trump kkutagusa maisha ya familia nyingi sana,
Sasa kama wewe ni mwathirika usipanick relax, wewe si wa kwanza kukutwa na hali kama hiyo,
Nimejaribu kukuwekea baadhi hatua za kuchukua ili upite salama

1. FIRST THING FIRST

Ulikuwa unachangia NSSF right?

Sawa hapa ndo pakuanzia, chukua documents zako mapema na uziwasilishe kwenye ofisi za NSSF ili uanze kulipwa haraka,
Ukikamilisha kujaza form yao ndani ya ya siku 30 utaanza kulipwa 33% ya mshahara wako kwa mwezi na utalipwa kwa muda wa miezi 6,
kwa hiyo kama ulikuwa unalipwa mil 1, utalipwa laki 330,000 kwa mwezi,
Unaweza kuiona ndogo ila ni pesa inayoweza kukuweka mjini.

Jitahidi kama una familia hii pesa itatue changamoto za muhimu tu.

Katika kufanya maamuzi ya matumizi nnashauri zingatia vitu vya lazima

a. Matumizi muhimu, mfano kununua nguo mpya ni muhimu ila si lazima
b. Matumizi Lazima mfano kula ni lazima

2. EVERY CENT COUNTS

Kumbuka kuwa mshahara uliokuwa unaingia kila mwezi haupo tena, hivyo ni lazima upitie upya matumizi yako, hasa matumizi makubwa na madogo ya kila siku.
Iko hivi,

a) kodi unalipa sh ngapi? Je inaweza kupungua, jibu ni ndio kama unalipa laki 3 tabata, kwa nn usihamie majohe, kinyerezi, mpiji au Kisemvule kwa nusu ya hiyo kodi,
Kumbuka ulikuwa unakaa karibu kwa sababu ya majukumu, usisubiri kesho anza sasa

b)Matumizi madogo madogo ya kila siku
Mara nyingi hizi huwa zinaonekana ni pesa ndogo zikitolewa kila siku, imagine kila siku unatoa shilingi elfu 10,000 kila siku kwa mwezi sio chini ya laki 3

Okay twende sawa, binafsi hiyo level nilishavuka,

Huwa nnafanya manunuzi ya jumla,
mchele nunua debe 35,000
Sembe nunua kiroba 8,000
Maharage sado 12,000
Dagaa 20,000
Nyama ya 30,000
Samaki 30,000
Mafuta 27,000
Gesi 55,000

Viungo unafanya shopping mara moja kwa wiki unatunza kwenye fridge, inategemeana na idadi ya familia uliyonayo ila kwa haraka haraka baadhi ya vitu hapo vinavuka mwezi na zaidi, mfano gesi matumizi mazuri ni kuanzia miezi miwili

Ni lazima uzingatie na situation yako, huwezi kuendelea kuishi kama awali wakati maisha yamebadilika.

Mpaka hatua hii unapaswa kuwa umejituliza kwenye ile 33%, yaani hakikisha matumizi yako ya mwezi hayazidi ile hela unayoipata,
Sikia watu wanakula mboga za majani kila siku na hawafi, watu wanashindia Maharage mchana na jioni na wanadunda tu,

Laki moja inaweza kutosha familia ya watu 4 vizuri kabisa, kupanga ni kuchagua, don't stress yourself chai asubuhi haina umuhimu wowote, kwanza ni luxury😋

Je unatafuta kazi au unajiajiri?
Ndio nnajua utatafuta kazi nyingine, umetolewa kwenye ajira na ulikuwa hujajipanga it's okay,
Cha kuzingatia wakati unatafuta ajira tafuta ujuzi utakaokuwezesha kuishi mtaani, yaani vi elfu 10,000 au zaidi visikupige chenga.

Please usije jichanganya kuingia kwenye betting, au forex, crypto currency it will be your funeral, usijidanganye hizo mbanga zinahitaji kichwa kisiwe na stress ya aina yoyote.

Tafuta shughuli itakayokufanya uwe busy,
Mfano unaweza kujifunza marketing, tafuta bizaa inayouzika, nenda kwa mfanyabiasha ongea nae ufanye kazi kwa commission, hakuna biashara kwa sasa isiyohitaji mtu wa marketing, haipo,

Ongea na mkurugenzi, mwambie sitaki unilipe mshahara utanipa asilimia % ngapi kwenye kila mauzo.

Mwisho nikutakie kila la kheri, Mungu kufanyie wepesi kwenye upite salama.
 
Au mambuzi eti
Direct hires wote wamekua placed kwenye administrative leave, tena ni 90 days miezi mitatu tu, na kitita. Wale ambao ni special function tena wakutumwa si waajiriwa direct wengi wanaendelea na kazi, kama kusambaza dawa au kusambaza vyakula, au zile tasks tofauti.
Sasa kama wewe ni muajiriwa wa mkataba wa USAID na upo upo, unataka kuchomoa hela nssf, uumjinga sana. Na ushauri wako kwa watu wa vitumbua sijui mchele kilo moja, embu acha hizo basi.
Marekani inaangalia uwezekano wakuweka ofisi hiyo vizuri na si retrenchment. Embu katafute waajiriwa ambao ni wachache sana kwa bongo. Sidhani jf watakuwepo. Wakueleze. Na uache story hizi. Kuna mmoja anaitwa salma madini yupo instagram follow kwa bongo hapo. Ana gari lina jina lake kabisa anaishi goba. Nenda akueleze.
 
Mpaka 30 unanunua, mwezi wa 5 kuweni makini nunueni mpunga muweke ndani, ukiagiza pale Isaka kahama na uziri pale magari mengi yanapita, usafiri ni rahisi.
Sitawafundisha kila kitu
😹😹😹 Kwahiyo tutoke dar tukasubiri mpunga shambani tena Mwanza ili tupate kwa bei ndogo.!! Ujue wewe unachekesha.!!

Hizo nauli na gharama za kusafirisha debe la mpunga kutoka Mwanza kuja dar, unajua utakuwa umepata madebe mangapi ya mchele? 😹

Mbona unatuletea hesabu za kitoto mkuu, hebu wewe kukubali tu umepuyanga..!! Hakuna wa kukuchapa hapa wote watu wazima.!!
 
Yaani huna hela alafu ukatafute grade 1??? Ila wanawake mnarudisha nyuma maendeleo, tena huo sio wenye chenga kwa taarifa yako, huo dukani kwa mangi unauzwa 1700 kwa kg, ww unanunua jumla
Yaani hapo kama ni mume umeoa,hakyanani lazima upitie changamoto, wanawake wengi sana watazinguana na waume zao kuhusu kuji-adjust waendane na kipato kilichopo.Bodaboda,dereva bajaji na wengine,wakae vizuri kusaidia hizi familia.
 
Direct hires wote wamekua placed kwenye administrative leave, tena ni 90 days miezi mitatu tu, na kitita. Wale ambao ni special function tena wakutumwa si waajiriwa direct wengi wanaendelea na kazi, kama kusambaza dawa au kusambaza vyakula, au zile tasks tofauti.
Sasa kama wewe ni muajiriwa wa mkataba wa USAID na upo upo, unataka kuchomoa hela nssf, uumjinga sana. Na ushauri wako kwa watu wa vitumbua sijui mchele kilo moja, embu acha hizo basi.
Marekani inaangalia uwezekano wakuweka ofisi hiyo vizuri na si retrenchment. Embu katafute waajiriwa ambao ni wachache sana kwa bongo. Sidhani jf watakuwepo. Wakueleze. Na uache story hizi. Kuna mmoja anaitwa salma madini yupo instagram follow kwa bongo hapo. Ana gari lina jina lake kabisa anaishi goba. Nenda akueleze.
Mdogo wangu, amka usingizini acha kujipa moyo, ofisi zimefungwa hiyo ndio fact, rudi kwenye uhalisia, kubali hali yako, acha kujificha kwenye keyboard
 
😹😹😹 Kwahiyo tutoke dar tukasubiri mpunga shambani tena Mwanza ili tupate kwa bei ndogo.!! Ujue wewe unachekesha.!!

Hizo nauli na gharama za kusafirisha debe la mpunga kutoka Mwanza kuja dar, unajua utakuwa umepata madebe mangapi ya mchele? 😹

Mbona unatuletea hesabu za kitoto mkuu, hebu wewe kukubali tu umepuyanga..!! Hakuna wa kukuchapa hapa wote watu wazima.!!

Mie sijawahi kwenda mkoani kununua nnaagiza,
Ishi na watu vizuri ndg,
Mimi nina marafiki wengi tu wanasafiri kila siku,
wengine safari za kazi,
wengine binafsi, nina marafiki wengi tu madereva wa maroli
Ishi na watu vizuri
 
Mie sijawahi kwenda mkoani kununua nnaagiza,
Ishi na watu vizuri ndg,
Mimi nina marafiki wengi tu wanasafiri kila siku,
wengine safari za kazi,
wengine binafsi, nina marafiki wengi tu madereva wa maroli
Ishi na watu vizuri
Ilitakiwa uelezee pia kwenye hiyo mchele debe 35 unatakiwa kuishi na watu vizuri, uwe na marafiki madereva malori na wasafiri ili kusiwe na gharama za nauli..!!
 
Back
Top Bottom