Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Naomba nikutafute uniadithie angalau 2 au 3 ili nikupunguzie mzigo.
 
Siri nyiingi saana nlishaambiwa,tatizo nakosa uvumilivu,nakereka saaana moyoni[emoji3]hadi nasema
Nlisha itwa mmbeya,msabasi chakubimbi[emoji17]Lkn kwangu naona sawa tu
Kwenye vikao vinavyofanywa kwa siri,wakiniona tu wananifukuza[emoji17]
Unaendaga kuwasimulia rafiki zako au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nikuitie warumi nae hawezi tujza siri
 
Hapa ulifanya vizurii tena ulitakiwa uwaambie pale pale wanaomfukia mtoto ili kuokoa maisha ya mtoto,au ungepiga kelele
 
Hapa ulifanya vizurii tena ulitakiwa uwaambie pale pale wanaomfukia mtoto ili kuokoa maisha ya mtoto,au ungepiga kelele
Mtoto alikuwa amesha fariki tayari, mtoto wa week moja,

Ila kesi iliendeshwa kiajabu ajabu, mara upelelezi hujakamilika mara upuuzi mtupu, watu walidakwa sana wa majirani sijui ile kesi ilikuja kufia wapi
 
Sio siri tena iyo
 
What the FCCUK!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…