Walikua wanafanyaje?Siku moja usiku mnene nimekaa nyuma ya nyumba nakula kitu changu, nikasikia kama vishindo nyumba ya jirani nikapanda ukuta nichungulie ile natoa kichwa nikakutana uso kwa uso na Mzee wa ile nyumba akiwa na mwanae wa kiume, mke wake na jamaa wengine wawili wote waliona kuwa niwewaona bangi yote ilikata kichwani nikarudi ndani mbio, hawakuwahi kuniuliza chochote na mimi sikumwambia mtu yeyote yule hadi mwaka jana nilienda nyumbani nikawa naongea na mama stori za mtaani nikajikuta namwambia nilichokiona siku ile ila nikamwambia kuwa makini walijua kuwa nimeona usije kumwambia mtu hii habari!
Kwema mseminari mwenzangu?Mi siku ya kitubio niliwahi kabla Padri hajaingia kwenye kale ka chumba nikakohoa akaja mke wangu kuungama basi babu yangu alishanifundisha kilatini mi nikakumbuka in nomine patris et filie eti spriritus sancte... nikakaa kimya yeye akaanza kutiririka....dah, niliambulia moja tu alipigana kwenye vikoba, nikamchimba biti kwamba aendelee kukumbuka na dhambi nyingine niombe nikakubuka maneno ya babu ...mea culpa, mea kulpa, mea maxima culpa....mengine nachapia halafu kimya...akasema zingine zipo ila nilikwisha kuziungama nikaona hapa ntapata presha wacha aondoke. mpaka sasa sijawahi kumwambia.
walikua wanazika mtuWalikua wanafanyaje?
Yupi huyo
Astaghafirullah!!!Kama hujawahi ishi vijijini kwa wafugaji husezi elewa...
Tulikua tunafanya mapenzi na nguruwe, mbuzi na ng'ombe.. Kuna mmoja alivunjwa mbavu kwa teke la ng' ombe kwenye harakati za kumuingilia....
Muuaji!Huyo daktari ni hatari sana duh!
SemaNaona hiyo Siri hutokuja kuisema kabisa.
DuhHatari,
Baba mwenye nyumba yangu alifunaniwa ikabidi mchepuko auingize geto kwangu alafu akazuga ni demu wangu, wala sikumwambia mama huyo nilikaa kimya ,alafu demu lilikuwa powa sana yan hatari mno, nilitamani niligeukie ilikuwa saa mbili usiku mama mwenye nyumba yuko safari sasa aakarudi ghafla palichimbika balaa
SemaHata sasa siwezi kuisema, Nikiisema Kizazi chote Kitapotea
HahahaNawakumbusha tu,usije mwambia msukuma,mkerewe au mjita siri yako...ni heri ukatangaze kwenye station ya radio!
HuuMke wa mtu kutoa mimba ya mumewe halafu mume hakujua mpaka leo!
Wanawake nyie!!!
Kwahiyo ulikuwa unakulaMie siri ambayo nilisahau kuisema (huwa situnzi siri, hii ilitokea bahati mbaya siku mwambia mtu)
Kipindi hicho nilikuwa huko Tanzania (Dar), ninaishi katikati ya mji kwenye apartment fulani hivi, sasa usiku nikaenda kula chips kwa mgogo mmoja hivi hapo hapo karibu Posta, Lahaula nikakuta ndio analetewa mafuta ya transfoma na mteja wake!
Nilizuga sijaona ili asije akanidhuru.
Sikurudia tena kula chips za Mazengo, mxewuuuu
ShareNatamani kushea siri yangu ila sijui wanajamii mtanichukuliaje!
Jaza nafasi zilizo achwa wazisiwezi kuja kusema tukio moja lilitokeaga _____ tareh 21 mwezi 5 mwaka 200_ na kusababisha kifo cha _____ aliyekuwa maharufu sana jijini ____
jiji lilizima baada ya taarifa za kifo cha _____ kusambaa huku ikisemekana ni majambazi ndio wamemuuwa na hawakuiba chochote
huku polisi wakisema ni tukio la ujambazi yaani hit and run kumbe hata wao hawajui ukweli
ukweli wa lile tukio ni kwamba vijana wa_____ ndio walihusika na mimi kipindi hicho nilikuwa nakaa pale_____ i used to call em bro's/uncles nao wakiniita _____ jr au dogo
walijiamini nini sijui kuongea mbele yangu nahisi ni sababu waliona ni kijana wa __ mwenzao so siwezi kuwa a threat au one day nitawajoin Katika___
nilikuja kugundua ilikuwa ni _____ task na ngoja iendelee kuwa hivyohivyo cha muhimu uhai tu
[emoji38][emoji38][emoji38]na siri za nchi tunaziweka?