Nizhneserginsky
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 268
- 568
Game rangera ni mashetani wale jamaaaJangili wa meno ya tembo alikamatwa kwenye hifadhi, dah kifo chake kilikuwa kinasikitisha sana. Baada ya mateso yote alitundikwa juu ya mti. Yote haya nilishuhudia kwa macho yangu
Unashangaa nini sasa..mana mkiombwa mbunye mnabania utadhani zina toa hela baada ya mechi.Astaghafirullah!!!
Ptuuuuuuuuuu
Alitaka kuandika Kamachumu akakosea😁Wee muhaya wacha misifa, hapo red ulitakiwa uandike Korosho sio Croatia
ya kupakuliwa?Nilitunza siri kwa miaka 9. Alikuja kunichomesha mwenzangu, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kulishwa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ya kupakuliwa?
Safi sana mkuu. Hiyo sio dhambiTukiwa wapangaji wote kwenye nyumba flani hv, kuna mpangaji mmoja alikuwa mnoko sana maana ye alikuwa ndio mkusanyaji kodi na kumpelekea bosi. Sasa mpangaji huyu akajisahau akawa ana tutriti kama ye ndio bosi.
Nilikuwa na kibaisikeli changu cha gia cha kuendea kazini, sasa kilikuwa kinalala koridoni na pikipiki zake mbili aina ya triller ilikuwa ni lazima baiskeli niingize saa tano usiku wakati wa kulala na kutoa ilikuwa ye ndio anatoa maana alikuwa anawahi kuamka ili atoe vitu vyake vya duka lazima aanze pikipiki zake na baiskeli yangu
Sasa kuna siku nilisafiri kama siku mbili hv kurudi baiskeli sikuiona kumuuliza akanijibu hiyo baiskeli nilimwachia? Au kuna sehemu tuliandikiana kuwa nimemkabidhi? Nikapiga kimya upelelezi wangu nikagundua aliiuza buku 50, nikamfata dogo aliyeuziwa nikampa 50 yake nikarudi ghetto sikutaka kwenda polisi wala nn, alipoiona ghetto akauliza ehh umeipata nikamjibu si unaiona hapo
Baada ya mwezi niliamka saa 7 usiku na pakiti 4 za chumvi nikafungua tank za pikipiki zake nikamwaga ilipofika asubuhi pikipiki haziwaki hadi nahama pikipiki ziko stoo na kutu la kutosha aliogopa kuniuliza maana najua gereji walimwambia nini kilikumba pikipiki zake
Ongeza na mkurya wanatembea wamebana matako,Umesahau MUHA
Wanawake wana ujasiri wa ajabu mm nawaogopa sana,Siri yoyote inayonihusu mimi binafsi au familia yangu siwezi kuisema mpaka naingizwa kaburini ila siri za watu wengine na zisizoathiri taswira yangu moja kwa moja naweza kuzihadithia kwa hadhira.
Tabia za utotoni za kupenda kucheza na kula kwa 'watu', ila nimeitwa jikoni nikanawe paaaap nikamuona mama wa rafiki yangu (jirani) anatoa mkono 'sirini' kisha anaunyunyizia katika bakuli la mchuzi la baba wa rafiki yangu yule (wa utotoni).
Daaaah nilipata mshtuko na yule mama pia alishtuka sanaaa...!, 'nikajibaraguza' palee, nikaingia jikoni, nikanawa nikarudi sebuleni then huyooooo nikapitiliza mbio mpaka nyumbani wala sikwenda kula.
Sikuwahi kumsimulia jambo hilo yule rafiki yangu mpaka leo hii ingawa urafiki wetu ulikatishwa baada ya wao kuhamia mkoani mwanza baada ya kuwa tumemaliza std 7. Wanawake,,,! Mungu anawaona.
Ww ni kimwaga vumbi kweli unayatumuaaa waaah,Siri nyiingi saana nlishaambiwa,tatizo nakosa uvumilivu,nakereka saaana moyoni[emoji3]hadi nasema
Nlisha itwa mmbeya,msabasi chakubimbi[emoji17]Lkn kwangu naona sawa tu
Kwenye vikao vinavyofanywa kwa siri,wakiniona tu wananifukuza[emoji17]
We kweli ggnamm nilipewa majibu ya mitihani yote isipokua
biology kidato cha 4
ila nikapata three ya 24
😎
Karma is bitchNawe ipo siku utaliwa tigo na muokota machupa. auwae kwa upanga atakufa kwa upanga
Sent using Jamii Forums mobile app