Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Jangili wa meno ya tembo alikamatwa kwenye hifadhi, dah kifo chake kilikuwa kinasikitisha sana. Baada ya mateso yote alitundikwa juu ya mti. Yote haya nilishuhudia kwa macho yangu
 
Jangili wa meno ya tembo alikamatwa kwenye hifadhi, dah kifo chake kilikuwa kinasikitisha sana. Baada ya mateso yote alitundikwa juu ya mti. Yote haya nilishuhudia kwa macho yangu
Game rangera ni mashetani wale jamaaa
 
Safi sana mkuu. Hiyo sio dhambi
 
Wanawake wana ujasiri wa ajabu mm nawaogopa sana,
 
Siri nyiingi saana nlishaambiwa,tatizo nakosa uvumilivu,nakereka saaana moyoni[emoji3]hadi nasema
Nlisha itwa mmbeya,msabasi chakubimbi[emoji17]Lkn kwangu naona sawa tu
Kwenye vikao vinavyofanywa kwa siri,wakiniona tu wananifukuza[emoji17]
Ww ni kimwaga vumbi kweli unayatumuaaa waaah,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…