Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Uzinzi
 
Luka nimekujua ulizani sipo jf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha haya usipokuwa na imaan thabeet unaweza mkufuru mungu wako saana
 
mimi siri zangu ni.nzito.zimaweza.haribu maisha.yamgu.hata ya familia yangu acha nikae.kimyaa tu.
 
Mimi kuna bosi mmoja nataka nimlipue kwa wakubwa zake ,mnoko sana anatubania sana hali ni mpigaji hatari mbinafsi, ana roho mbaya,mwizi japo anajifanya mlokole.
Haha
 
Duuh inaonekana nzto sana ushaua mzee
 
Siku moja nilimkuta mjomba anabaka .

Siku ya tukio ilikua hivi; niliamka asubuhi na mapema nikapanda (Baskeli ) yangu[emoji605] bike aina ya Dragon, nilio kua nimenunua jeshini Kambi ya KABOYA.

Safari yangu ilikua inakomea kitingoji jirani na nyumbani ,nikiwa majukumu la kusogeza mbao barabara Ili nizipakie kwenye gari ya chai ziende kemondo. Gari hiyo ilikua ikitika Katoke estate na chai kuerekea maruku.

Wakati naendelea nazoezi la kusomba mbao kwa msaada wa Baskeli nikaona mtoto mdogo ananifuata akiwa katika khali ya hudhuni, na kuniambia mama anakuita.

Nilianza kutafakali kidogo maana ilikua majira ya saa 6:30 asubuhi, mida ambayo watu wengi hawajaamka.
Yule mtoto nilimruhusu aende amwambie mama yake " nakuja"

Ghafra bini Vu mtoto akarudi, safari hii hakutaka kunisikiza , Bali alitaka twende kwa Mama yake walau tuweze kimuokoa.

Ile nimeongozana namtoto ndio nabisha hodi sebuleni (kwawale mnao jua nyumba zavijijini) sebule Iko katikati.
Basi bwana Ile TU napiga hodi nikasikia suti nzito inaniita kwa jina langu la utoto nakuniambia, ija olebe uko bashwera.

Ujuwe nilishiwa pozi.
Wakati Bado natafakari yule mhanga wa kubakwa, akaniita nakuniambia naomba ufanye jambo ninusulike, hapa nabakwa .

Nilitoka mbio nasikusema sehemu yeyote,japo aliebakwa alikuja kusema kwa Mama baada ya miaka kama 8 hivi.
Nakusema kwenye we yalikua nimalalamiko.zid ya mjoma namimi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Senegal wamenipa wakati mgumu sana... .. bahati nzuri nikakutana na huu uzi na ndo naumaliza.
 
Dah ..wanawake hawa
 
Anakamoyoo kadogoo
 
Hahaha interesting sana, anyway hizi zangu niliamua tu kufanya siri ila kwa sasa hata nikizisema hapa sio mbaya.

1- wakati nasoma Advance shule flani hivi (private school) maarufu sana iko kule kwenye uwanja wa ndege wa sasa wa mbeya, basi siku moja nimetoka zangu kwenye sports 'cas ilikua siku ya michezo huku domitories hakuna watu, kuingia bafuni (yalikua mengi mabafu) nikasikia bafu la mwishoni kama kuna mtu, nikaenda kuchungulia, nafika daaaaaah nakuta kuja jamaa flani anaheshimika sana na hua huko serious sana na mtu wa madem sana, anamgonga jamaa dogo mmoja hivi alikua hb sharosharo madem huwa wanampenda kinyama, wako busy wanendelea, me nikarudi nyuma taratibu nikarudi zangu viwanja vya michezo sikuoga tena, jamaa nilikua nikiwaona wanavojikuta vidume na ubabe ubabe na majigambo naishia kusema tu hiiiiiiiiiiiiii,

2-
Dah au basi wacha niache tu.manake siwezi kujisariti mwenyewe kwa kutoa siri yangu hata hapa, ila niseme tu.kila mtu anasiri yake ambayo kamwe hawezi kuisema hata iwe nini, ili hili zakushuhudia , watu ni rahisi kuzisema.
 
Isijekuwa na ww uliamua kushiriki ule mchezo wa bafuni ndo maana bado unaifanya siri.

Sent from my SO-01K using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…