Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Huyo kubanduliwa ndio ilikuwa desturi yake "bora ulivyohama room Aisee"
 
Aisee "
 
umeshatuma ujumbe wa kusitisha mahusiano Kwa Yule binti aliyekuwa anakutumia msg nzuri alizotumiwa Na mchumba wake?ukawa unajibu mahaba niue ondiek.hiyo ni Kwa mujibu wa mume mwenzako
Jamaa kasema niendelee nae tu maana hawezi rudia tena pale
 
Kuchukua simu ya mtu na kukimbilia kusoma sms zake ni tabia za kike.
 
Mhh we umeua au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…