Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
[emoji23][emoji23][emoji23] mambo ya fasihikwenye jambo lolote huwa kuna majibu ya aina hii ...ndiyo/hapana.. kweli/sikweli
unachokiwaza kuhusu mimi majibu yake yapo hapo huenda ni kweli au si kweli since sijui ni kitu gani na ni bora kibaki kuwa siri pia
Acha tu yai la plastic ndio mara ya kuliona,nikawachanaal uruba used to me my best spot kwa kula pilau/mnuso kama njaa ikinikutia nipo maeneo hayo... na lilikuwa tamu haswa... missing those days
😂😂😂😂😂 acha tu[emoji23][emoji23][emoji23] mambo ya fasihi
duuuh aisee umenitsha.... linakuwaje hilo hakitafuniki auAcha tu yai la plastic ndio mara ya kuliona,nikawachana
mmmm napata mbonaBillie huwa hupati notification?
Pole. Watu wamekua hawana aibu kabisaKuna mtu maarufu humu jamii forums alinitapeli sija mwambia mtu nabaki kumcheki tu
Kuna siku wanawake unaowapenda walipondwa humui nikakutag ukujee wapiiii walipondwa kweli zile k unazozipendaammmm napata mbona
Baya kinoma halaf yai lilivyo lain ukilibonyeza linasagika lakin lile gumu mpira mpira na likaumuka ,nilisahau kuoiga pichaduuuh aisee umenitsha.... linakuwaje hilo hakitafuniki au
Aiseeesiwezi kuja kusema tukio moja lilitokeaga _____ tareh 21 mwezi 5 mwaka 200_ na kusababisha kifo cha _____ aliyekuwa maharufu sana jijini ____
jiji lilizima baada ya taarifa za kifo cha _____ kusambaa huku ikisemekana ni majambazi ndio wamemuuwa na hawakuiba chochote
huku polisi wakisema ni tukio la ujambazi yaani hit and run kumbe hata wao hawajui ukweli
ukweli wa lile tukio ni kwamba vijana wa_____ ndio walihusika na mimi kipindi hicho nilikuwa nakaa pale_____ i used to call em bro's/uncles nao wakiniita _____ jr au dogo
walijiamini nini sijui kuongea mbele yangu nahisi ni sababu waliona ni kijana wa ____ mwenzao so siwezi kuwa a threat au one day nitawajoin Katika_____
nilikuja kugundua ilikuwa ni _____ task na ngoja iendelee kuwa hivyohivyo cha muhimu uhai tu
Na hiyo ndio tafsiri ya neno siriKuna vitu sitakuja kuvisema hadi nazikwa, iwe kwa anaenifahamu au asiyenifaham. Iwe ni kwa kuandika au kwa kuongea. Sitakuja kusema.
daaah tunakula vingi sana bila kujuaBaya kinoma halaf yai lilivyo lain ukilibonyeza linasagika lakin lile gumu mpira mpira na likaumuka ,nilisahau kuoiga picha
mkuu kwemaaa? jumatatu yako inaendajeAiseee
duh!! hatariHii inshu hata mi iliwahi nikuta nilionana na rafiki wa muda mrefu akanipa simu yake bahati mbaya ilikuwa hajayoka wasap nadhani alisahau ,nikasema ngoja niangalie chart moja anachart na mzungu weweeee nilitetemeka nilisikitikaa,yule mzungu anamuuliza huyu rafiki wangu wa kiume kuwa anapenda size ipi ya ub..anapenda style gani ,nikawaza kumbe watu wanaliwa halaf sasa alikuwa akiona mademu anavyowataka sasa mara niunganishie huyu ,na ni kijana mdogo kweli,nikasema simu hizi zina siri kweli
Kwema mkuu. Jumatatu iko njema kabisamkuu kwemaaa? jumatatu yako inaendaje
ngoja watu waje kubashiri.....Kuna vitu sitakuja kuvisema hadi nazikwa, iwe kwa anaenifahamu au asiyenifaham. Iwe ni kwa kuandika au kwa kuongea. Sitakuja kusema.
saaaaaafi..... maana jumatatu ndio huwa mwangazio wa wiki nzima me huwa jumatatu ikienda vibaya najua wiki nzima itaenda hovyo tuKwema mkuu. Jumatatu iko njema kabisa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] we jamaa banaWee muhaya wacha misifa, hapo red ulitakiwa uandike Korosho sio Croatia