Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Kuna siri ambazo watu ni ngumu sana kuzitoa, mfano kushiriki ngono na ndugu wa damu iwe kwa ridhaa au kubakwa. Lakini watu wengi sana wamemeza hizi siri,
 
Iko hivi wanawake wengi sana wanaliwa wakienda hospital ila huwa hawasemi
Na madokta / Nesi wengi wa kiume ni vitombi sana wanakula manesi wa kike na wadada walioko field pamoja na wagonjwa na wauguzaji

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwa hospitali zetu zilivyo du.inawezekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna hotel flan ya wasomali hapo kariakoo inaitwa al uruba wanatengeneza eggchop ndani mayai ya plastic
Binafsi ni utaratibu wangu wa maisha huwa sikai nikala kwenye hotel wala migahawa ya wapemba wala wasomali kwasababu kama hizi
 
Nina siri siwezi isema kwa mdomo wala kwa maandishi, ila nilishatumu kwa imani yangu, siri hii nilimsimulia rafiki yangu mkubwa ali anisaidie kifedha ku coverup issue, kwa kuwa nilikuwa namuamini sana nilivyo anza tu akanikatiza kwa kusema nahijaji pesa ngapi nikaclear mambo ila huyu jamaa ambae alikuwa anajua hii siri japo kwa kiduchu sana alicha tangulia mbele ya haki. Ni rafiki pekee ambae nilikuwa nikimwambia kitu kinaishia hapo hapo.
Aisee washkaji wa namna hii wako wachache sanaaa
 
Mwenenu Nina sili mpaka najiogopa toka nimeoa make wangu haijui tupu yangu hatari
 
Humu ndani mnajichanganya sana,Siri ni ile ambayo inakugusa wewe personally.

Siri haiwezi kumuhusisha third party,kwa sababu kama ikiwa hivyo hiyo inakuwa sio siri tena.

Hakuna siri ya mtu zaidi ya mmoja itakayobaki kuwa siri.

Binafsi siri yangu nitakufa nayo,kwa sababu a can't afford to betray myself.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu katika mazingira mbali mbali,ukumbana na majanga mbali mbali ambayo mengine ni hatari kabisa,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu kiauawa na kukaa kimya
Kuna waliowahi kuona mtu anamloga mwingine wakatunza siri,
Kuna waliowahi kuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu anabakwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi shuhudia mtu au mke wa mtu anatembea na mwanaume mwingine wakakaa kimya,

Mi siri yangu ambayo sitakuja kuisema ni kamba nilimfumania mjomba mkubwa akiwa anatembea na mke wa mjomba mdogo alafu wakajua kwamba nimejua sikuwahi kuisema ilikanusha, yapata miaka 20 sasa,
Leo kuna rafiki yangu amenambia kwamba akiwa mdogo alimuua mtu akiwa Croatia mwaka 1994 , na hakuna aliyejua,

Mwingine (dr) akasema kuwa amewahi kumuinject mgonjwa UKIMWI kupitia syringe, na akakaa kimya maana alilipwa Hela ya kutosha


Najua na wee una siri umetunza tudokeze
Mimi nina Siri nzito juu ya Tanzania na sitakuja kusema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nikipata siri mpya ile ya zamani natoa sina muda wa kutunza siri nyingi nyingi mukichwa yangu

yaani kaja john kanipa siri yake hyo ntatunza bila shaka lakin akaja ana Juma akanipa hapo itabid nitoe ya john ntabaki na ya juma
 
1. Ndugu yangu mmoja nyumba yao ilikuwa jirani sana. Siku moja nikamuona kupitia dirishani akimbaka mtoto wa jirani nyuma ya nyumba. Kitoto kilikuwa darasa la 3 na yeye akiwa 25 hivi. Sikuwahi kumwambia mtu mpaka leo.

2. Shangazi yangu aliyekuwa anakubalika sana kwa kujiheshimu akikaa Dar. Wakati fulani akaja kijijini. Tulikuwa na mpangaji mmoja mabanda ya nyumba alikuwa kitombi balaa. Basi anti nikamtonya. Hamaad siku moja akabaki peke yake nyumbani, niliporudi kutoka shule cha kwanza ilikuwa kupiga chabo mlangoni kwa mpangaji(mlango wa bati). Nikamkuta anti ndo anavaa chupi ametoka kutiwa. Ama kweli usimuamini mtu.

Ni hayo tu kwa uchache
 
Dahh hakika kuna watu usiwaambie siri kuna jamaa mmoja anaitwa uncle mecky huyu bwana huwa anajulikana kwa Umbea viunga vya dar kuna siku alimkuta jamaa mmoja anatembea na mke wa Jirani yake, jamaa alivoona vile akamvuta uncle mecky pembeni na kumpa million 1 ili atunze siri, basi uncle mecky akamhakikishia jamaa hatasema. Baada ya week jamaa akasikia uncle mecky anaumwa sana kalazwa hospital akaona akamuangalie basi vile anafika hospital anauliza kwa Dr mgonjwa anaumwa nini akajibiwa ana joto tu Kali lkn kapimwa hana maradhi yyt. Mecky akamuita jamaa ebwana eeeh chukua hii million yako utakuja kuniua maaana nimevumilia huu Umbea nimeshindwa mpk joto limepanda mwilini
aaaaah nimecheka balaa
 
Mimi kuna kaka yangu mmoja mtoto wa mama mkubwa tulikuwa tunalala wote kitanda kimoja, wakati niko mdogo alitaka kunifila, alikuwa akinigusa na mboo yake huku akinidanganya kunipa pesa, Sijawahi kuisema siri hii hadi hapa.

Huyu bro namchukia hadi kesho kutwa, sasa ivi ni dereva alipata ajali na kuvunjika mguu sijawahi kumpa pole wala kumtembelea kwake, nikikumbuka alichonifanyia utotoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah mkuu pole sana aise
Mimi kuna kaka yangu mmoja mtoto wa mama mkubwa tulikuwa tunalala wote kitanda kimoja, wakati niko mdogo alitaka kunifila, alikuwa akinigusa na mboo yake huku akinidanganya kunipa pesa, Sijawahi kuisema siri hii hadi hapa. Huyu bro namchukia hadi kesho kutwa, sasa ivi ni dereva alipata ajali na kuvunjika mguu sijawahi kumpa pole wala kumtembelea kwake, nikikumbuka alichonifanyia utotoni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom