Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka

Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka

tupe walau kwa uchache mkuu.
Kwa kifupi sana.
Maishani mwangu sikuwahi kuona mwanamke wa Kizungu akinyanyaswa kwa kila hali na mumewe tena mume wa kiafrika. Lakini Kwa Dr.Kobello nimeshudia.
Pamoja na kusoma sana na kuwa Daktari wa Binadamu, Kobello hakuwa mfano wa kuigwa, alikuwa karibu kila siku jioni utamkumta Bar, Glocery nk akinywa Bia mpaka mapovu ya Bia kufunika ndevu na mwisho alikuwa akirudi nyumbani na kumpiga na kumdhalilisha mkewe tena mbele ya watoto wake wa watatu wakiume ambao mwisho wa siku wawili kati yao walikuwa wakimfanyia hivyo hivyo mama yao na mwisho anasemekana walikuwa wakimbaka pia.
Ni zaidi ya Laana.

Dr.Kobello alikuja kufariki 1990s, kisha mkewe akiteswa sana na watoto wake wawili wakifuata tabia za baba yao naye Huyo mama akafariki baada ya muda mfupi, Akafuata mtoto wa kwanza ambaye alikuwa Teja naye akafariki na Mwisho akafuata mtoto wa Pili(Steven) naye akafariki inasemekana kwa kuuwawa baada ya kuiba na
kukamatwa.
Mtoto wa Mwisho ndiye pekee aliyebakia ambapo ndugu zake wa mbali kutoka Dar walikuja na kumchukua.
 
haaaahhaah Taradadi yule wa Urambo?alikuwa na kama mwarabu fulani na ana manyoya kama nyani nakumbuka cc tulikuwa tunamwita taradadi manyoya alikuwa na sifa ya kungonga wasichana sana kipindi cha UMITASHUMTA
 
Kwa kifupi sana.
Maishani mwangu sikuwahi kuona mwanamke wa Kizungu akinyanyaswa kwa kila hali na mumewe tena mume wa kiafrika. Lakini Kwa Dr.Kobello nimeshudia.
Pamoja na kusoma sana na kuwa Daktari wa Binadamu, Kobello hakuwa mfano wa kuigwa, alikuwa karibu kila siku jioni utamkumta Bar, Glocery nk akinywa Bia mpaka mapovu ya Bia kufunika ndevu na mwisho alikuwa akirudi nyumbani na kumpiga na kumdhalilisha mkewe tena mbele ya watoto wake wa watatu wakiume ambao mwisho wa siku wawili kati yao walikuwa wakimfanyia hivyo hivyo mama yao na mwisho anasemekana walikuwa wakimbaka pia.
Ni zaidi ya Laana.

Dr.Kobello alikuja kufariki 1990s, kisha mkewe akiteswa sana na watoto wake wawili wakifuata tabia za baba yao naye Huyo mama akafariki baada ya muda mfupi, Akafuata mtoto wa kwanza ambaye alikuwa Teja naye akafariki na Mwisho akafuata mtoto wa Pili(Steven) naye akafariki inasemekana kwa kuuwawa baada ya kuiba na
kukamatwa.
Mtoto wa Mwisho ndiye pekee aliyebakia ambapo ndugu zake wa mbali kutoka Dar walikuja na kumchukua.

Mkuu Uko sawa kabisa! Umetoa kwa ufupi na ndivyo ilivyo!

Dr Kobello alikua hafai!
 
Nani anamkumbuka Yule alie watapeli Wasukuma kwa kuwauzia gorofa la Jamatini? Alikua anaitwa Profesa, anakaa Kule km unakwenda Kiloleni kabla ya kuvuka reli mkono Wa kushoto! Alikua na migarigari ivi pale kwake!
 
So sad aisee, huyu mama wa kizungu ndugu zake walimzila au ilikuwaje, mbona aliishi maisha magumu sana, hadi kubakwa na watoto wake mwenyewe? Sijawahi kuisikia hii, ni zaidi ya laana


Kwa kifupi sana.
Maishani mwangu sikuwahi kuona mwanamke wa Kizungu akinyanyaswa kwa kila hali na mumewe tena mume wa kiafrika. Lakini Kwa Dr.Kobello nimeshudia.
Pamoja na kusoma sana na kuwa Daktari wa Binadamu, Kobello hakuwa mfano wa kuigwa, alikuwa karibu kila siku jioni utamkumta Bar, Glocery nk akinywa Bia mpaka mapovu ya Bia kufunika ndevu na mwisho alikuwa akirudi nyumbani na kumpiga na kumdhalilisha mkewe tena mbele ya watoto wake wa watatu wakiume ambao mwisho wa siku wawili kati yao walikuwa wakimfanyia hivyo hivyo mama yao na mwisho anasemekana walikuwa wakimbaka pia.
Ni zaidi ya Laana.

Dr.Kobello alikuja kufariki 1990s, kisha mkewe akiteswa sana na watoto wake wawili wakifuata tabia za baba yao naye Huyo mama akafariki baada ya muda mfupi, Akafuata mtoto wa kwanza ambaye alikuwa Teja naye akafariki na Mwisho akafuata mtoto wa Pili(Steven) naye akafariki inasemekana kwa kuuwawa baada ya kuiba na
kukamatwa.
Mtoto wa Mwisho ndiye pekee aliyebakia ambapo ndugu zake wa mbali kutoka Dar walikuja na kumchukua.
 
So sad aisee, huyu mama wa kizungu ndugu zake walimzila au ilikuwaje, mbona aliishi maisha magumu sana, hadi kubakwa na watoto wake mwenyewe? Sijawahi kuisikia hii, ni zaidi ya laana


Nahisi Warusi hawapendi kuolewa na waafrica na kuja Kuishi Africa! Yani alikua km kasuswa vile!

Ukikutana nae sokoni Yule mama unamuonea Huruma!

Mkuu we Acha tu! Ile familia ilikua km Ina laana vile!
 
  • Thanks
Reactions: ram
Nani anamkumbuka Yule alie watapeli Wasukuma kwa kuwauzia gorofa la Jamatini? Alikua anaitwa Profesa, anakaa Kule km unakwenda Kiloleni kabla ya kuvuka reli mkono Wa kushoto! Alikua na migarigari ivi pale kwake!

Ntuzu haaaah hah! Umenikumbusha mbali sana, imebidi nicheke sana.
Huyo jamaa namkumbuka sana hususani yale magari yake. Inaoneka alikuwa tapeli sana mpaka wasukuma wakauziwa msikiti wa wahindi wa Jamatini, na ng'ombe wakaanza kuziswaga kuzipeleka pale!!

Sina kumbukumbu vizuri sana za jina lake ila nahisi alikuwa anaitwa Kimboka au Kasimbagu.

Kuna watu wanadai huyo jamaa aliajiliwa pale jamatini kama mlinzi tu ila akaitumia hiyo nafasi kudai ile ni nyumba yake na wasukuma wakamwamini kirahisi.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani ni zaid ya laana, kuishi kwangu tabora sikuwahi kusikia, maybe ilikuwa ni baada ya mimi kuondoka au kabla sijaja tbr

Nahisi Warusi hawapendi kuolewa na waafrica na kuja Kuishi Africa! Yani alikua km kasuswa vile!

Ukikutana nae sokoni Yule mama unamuonea Huruma!

Mkuu we Acha tu! Ile familia ilikua km Ina laana vile!
 
Kwa kifupi sana.
Maishani mwangu sikuwahi kuona mwanamke wa Kizungu akinyanyaswa kwa kila hali na mumewe tena mume wa kiafrika. Lakini Kwa Dr.Kobello nimeshudia.
Pamoja na kusoma sana na kuwa Daktari wa Binadamu, Kobello hakuwa mfano wa kuigwa, alikuwa karibu kila siku jioni utamkumta Bar, Glocery nk akinywa Bia mpaka mapovu ya Bia kufunika ndevu na mwisho alikuwa akirudi nyumbani na kumpiga na kumdhalilisha mkewe tena mbele ya watoto wake wa watatu wakiume ambao mwisho wa siku wawili kati yao walikuwa wakimfanyia hivyo hivyo mama yao na mwisho anasemekana walikuwa wakimbaka pia.
Ni zaidi ya Laana.

Dr.Kobello alikuja kufariki 1990s, kisha mkewe akiteswa sana na watoto wake wawili wakifuata tabia za baba yao naye Huyo mama akafariki baada ya muda mfupi, Akafuata mtoto wa kwanza ambaye alikuwa Teja naye akafariki na Mwisho akafuata mtoto wa Pili(Steven) naye akafariki inasemekana kwa kuuwawa baada ya kuiba na
kukamatwa.
Mtoto wa Mwisho ndiye pekee aliyebakia ambapo ndugu zake wa mbali kutoka Dar walikuja na kumchukua.


Mkuu Zanzibar-ASP, kwanza asante kwa kuchukua muda wako kutuhabarisha jambo lenye fundisho kubwa kwa jamii.
kwenye mambo ya UPASHANAJI HABARI kuna kitu kinaitwa 'Proximity' habari ya karibu inagusa zaidi, japo sikuifahamu hii familia kwa karibu.

hivi si ndo yule dokta alikuwa pia anadeal na issue za kinamama including mambo ya abortion, au?
 
Nahisi Warusi hawapendi kuolewa na waafrica na kuja Kuishi Africa! Yani alikua km kasuswa vile!

Ukikutana nae sokoni Yule mama unamuonea Huruma!

Mkuu we Acha tu! Ile familia ilikua km Ina laana vile!
Very true. Ilikuwa ni huzuni kubwa sana. Nikikumbuka sometimes nahisi machozi kunitoka.
 
haaaahhaah Taradadi yule wa Urambo?alikuwa na kama mwarabu fulani na ana manyoya kama nyani nakumbuka cc tulikuwa tunamwita taradadi manyoya alikuwa na sifa ya kungonga wasichana sana kipindi cha UMITASHUMTA

Aisee kwanza hilo jina sijawahi kulisikia kwingine kokote, Taradadi; umenikumbusha mbali sana mkuu, for sure huu uzi nimeukubali.

cc Ntuzu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Zanzibar-ASP, kwanza asante kwa kuchukua muda wako kutuhabarisha jambo lenye fundisho kubwa kwa jamii.
kwenye mambo ya UPASHANAJI HABARI kuna kitu kinaitwa 'Proximity' habari ya karibu inagusa zaidi, japo sikuifahamu hii familia kwa karibu.

hivi si ndo yule dokta alikuwa pia anadeal na issue za kinamama including mambo ya abortion, au?
I think so.
Sina hakika kama alikuwa anajihusisha na Abortion lakini ndiye aliyekuwa dokta maarufu sana akijihusisha na kutibu matatizo ya wakina mama Pale Hospital ya Mkoa(Kitete)
 
Ntuzu haaaah hah! Umenikumbusha mbali sana, imebidi nicheke sana.
Huyo jamaa namkumbuka sana hususani yale magari yake. Inaoneka alikuwa tapeli sana mpaka wasukuma wakauziwa msikiti wa wahindi wa Jamatini, na ng'ombe wakaanza kuziswaga kuzipeleka pale!!

Sina kumbukumbu vizuri sana za jina lake ila nahisi alikuwa anaitwa Kimboka au Kasimbagu.

Kuna watu wanadai huyo jamaa aliajiliwa pale jamatini kama mlinzi tu ila akaitumia hiyo nafasi kudai ile ni nyumba yake na wasukuma wakamwamini kirahisi.


Mkuu Zanzibar-ASP Yule jamaa ni noma!

Hivyo ndio vichwa vya Mboka!

Yule jamaa alirogwa sn na hao jamaa aliowatapeli akawa km chizi! Kuna mama mmoja aliwahi kusafiri kwa mabasi yake alikua na Mimba alitozwa nauli mbili! Moja ya Mimba na nyingine ya kwake!

Mi Nafikiri kahtaan atakua anamjua kwa jina Yule Profesa!

Kasimbagu Yeye Dili Zake zilikua mbao Yeye na marehemu Fifi! Mzee Mavyombo, Isungu etc!
 
Last edited by a moderator:
Nadhani ni zaid ya laana, kuishi kwangu tabora sikuwahi kusikia, maybe ilikuwa ni baada ya mimi kuondoka au kabla sijaja tbr


Km ulikua unakaa Cheyo,Kitete,Gongoni, Kanyenye miaka ile ya 90 lazima Utakua ulisikia habari zao!

Kulikua na Dr pale Kitete Hospital alikua Maarufu Dr Kobello! Hujapata sikia Hilo jina?
 
Kwa kifupi sana.
Maishani mwangu sikuwahi kuona mwanamke wa Kizungu akinyanyaswa kwa kila hali na mumewe tena mume wa kiafrika. Lakini Kwa Dr.Kobello nimeshudia.
Pamoja na kusoma sana na kuwa Daktari wa Binadamu, Kobello hakuwa mfano wa kuigwa, alikuwa karibu kila siku jioni utamkumta Bar, Glocery nk akinywa Bia mpaka mapovu ya Bia kufunika ndevu na mwisho alikuwa akirudi nyumbani na kumpiga na kumdhalilisha mkewe tena mbele ya watoto wake wa watatu wakiume ambao mwisho wa siku wawili kati yao walikuwa wakimfanyia hivyo hivyo mama yao na mwisho anasemekana walikuwa wakimbaka pia.
Ni zaidi ya Laana.

Dr.Kobello alikuja kufariki 1990s, kisha mkewe akiteswa sana na watoto wake wawili wakifuata tabia za baba yao naye Huyo mama akafariki baada ya muda mfupi, Akafuata mtoto wa kwanza ambaye alikuwa Teja naye akafariki na Mwisho akafuata mtoto wa Pili(Steven) naye akafariki inasemekana kwa kuuwawa baada ya kuiba na
kukamatwa.
Mtoto wa Mwisho ndiye pekee aliyebakia ambapo ndugu zake wa mbali kutoka Dar walikuja na kumchukua.

Dr.Kobelo aliyekuwa bingwa wa kutoa mimba kina mama???
 
I think so.
Sina hakika kama alikuwa anajihusisha na Abortion lakini ndiye aliyekuwa dokta maarufu sana akijihusisha na kutibu matatizo ya wakina mama Pale Hospital ya Mkoa(Kitete)


Mkuu ndio ilivyo Kua! Ila hayo mambo ya kutoa Mimba ilikua Siri hatuwezi kuyafahamu!

Lkn alikua ni kwaajili ya akina mama na watoto!
 
Back
Top Bottom