MSHINO
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,069
- 713
umenikumbusha mbali sana, yani milambo secondary enzi hizo, tulikuwa tunajiita milambo mens, kwenye umiseta au mchakamchaka tukikutana na tabora boys tegemea ngumi kali sana, nawakumbuka warsaw ndo walikuwa mapozeo yetu, nani anamkumbuka mwalimu msemakweli ( Milambo sec), namkumbuka Nehemia msechu mkurugenzi wa NHC kwa sasa na Magesa Mlongo ( Mkuu wa mkoa wa Arusha) wote tulikuwa tunapiga nao ngema, Deusidedit Kibamba ( mambo ya katiba kama sikosei) na kumbukumbuka mwalimu wangu wa chemistry Mr. Kyala, ilikuwa raha sana kipindi kile, na tuligoma mwaka 94 mgomo ulifanikiwa na kumuondoa mkuu wa shule (mr. Msemakweli) enzi zile za Dr. lawrence Gama ( Mungu amlaze mahala pema peponi amin)
Kweli unamkumbuka mwita waibe na mwembe kunyonga, unakumbuka mgurunde cup fainal 1994? kuna wachezaji km KIMTI, GOLIATH MWAKIPESILE, METHOD, na wengine kipindi kile ALLY MAYAI alikuwa UYUI, mihayo alikuwapo VICTO KILOWOKO.