Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
- Thread starter
- #241
[By Zanzibar-ASP![]()
Kuna Matunda huenda yako Tabora tu, kwa mfano Ntalali, Mbuguswa, Mamtonga nk.
Nilijaribu kuyatafuta mikoa mingine lakini sikufanikiwa.]
haya matunda niliyakuta kisiwa cha ukerewe, ntalali na mbuguswa, mantonga ni tabora tu sijaona pengine, na kulikuwa na samaki wanapatikana mto ugala wanaitwa wamejazia tumboni, jina limenitoka kama unawakumbuka nikumbushe basi, na sie tuliokaa vijijini urambo kuna mboga inaitwa nsansa, michembe na matobolwa, yani kule vijijini killa kitu ni natural
Wanaitwa KuKuRu!
Ha ha ha haaaaaaa! Mambo ya Tbr Jamani hayo!
Samaki mzuri Lkn miba mingi sn!
