Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka


Wanaitwa KuKuRu!

Ha ha ha haaaaaaa! Mambo ya Tbr Jamani hayo!

Samaki mzuri Lkn miba mingi sn!
 
Km ulikua unakaa Cheyo,Kitete,Gongoni, Kanyenye miaka ile ya 90 lazima Utakua ulisikia habari zao!

Kulikua na Dr pale Kitete Hospital alikua Maarufu Dr Kobello! Hujapata sikia Hilo jina?

kobelo alikuwa na kihospital chake bachu kwa ajili ya abotion nasikia Enzi hizo anatoa mimba wanawake kitoto kinatoka hai anakykabidhi uuwe mwenyewe....alikuwa chizi yule Baba.............Enzi hizo Tabora moses kulola anajaza watu viwanja vya uyui born again wa Enzi hizo.....nimekumbuka unyama wa Dr kobelo roho imeuma sana aisee.mkewe alikuwa kama chizi jamani
 
Kwa sana tu, duh. Wewe ulikuwa nyumba zipi?


Karibu na wale waburushi ndugu wa Rostam Aziz wakina kasel-kandis! Huku opposite na geti kuu la kuingilia kazima sekondari.Kwetu ni mtaa wa nyuma ya hao waburushi.Ingawa pia nilikuwa nikiishi national housing karibu na game ya wanyama wakati mwingine.
 
kaka Ntuzu, hasa, nilikuwa nawapenda sana hawa samaki, ukifika msimu wake nilikuwa nawala sana, nakumbuka na asali mbichi ya kutokea uyowa kule ulyankulu ndani kabisa, karibia na shinyanga,
 
kaka znz asp umenikumbusha mbali sana manake watoto wa dr. kisengi walikuwa ni hatari, wale jamaa walikuwa ni zege halilali, kwa kweli walikamua vibaya mno uhazili, new comer yoyote atatoa tu, na enzi zile waliokuwa wanamiliki magari walikuwa ni wachache, mie nilikuwa milambo, siku akili imechoka naingia zangu pale jirani na uhazili kulikuwa na vioski ( mkwakwani) nikitizama mabinti wanaoingia na kutoka roho yangu inasuuzika narudi zangu milambo sekondari manake kule tulikuwa madume tu, nikijisikia kurefresh naenda hapo mkwakwani nakumbuka ndio jina la vioski vya pale getini uhazili

Mkuu unachanganya. Watoto wote wa Dr. Kisenge hawana makuu. Ni watu very humble and down to earth. Huyo Andrew ndiye alikuwa na marafiki zake. Kundi lake hilo ukadhani wote ni watoto wa Dr. Kisenge. Huyu Andrew ndiye alikuwa anaitwa Raisi wa Kariakoo mwenye kampuni yake ya Andrew Traders akiimbwa sana kwenye mabendi na radio kipindi hicho Ngwasuma, Twanga Pepeta na Dj mmoja wa Radio One simtaji jina
 
Au Wewe ndio ulikamatwa kwenye mabweni ya Uhazili!

Teh Teh Teh Teh! Nakutania Mkuu!

Mambo ya mboka mengi sn Mkuu! Yani Bado watakuja watu humu na story nyingi sn za kila kona na kila kitu!
Ila Nahisi kabisa kumbe tunafahamiana!


 
kaka Ntuzu, hasa, nilikuwa nawapenda sana hawa samaki, ukifika msimu wake nilikuwa nawala sana, nakumbuka na asali mbichi ya kutokea uyowa kule ulyankulu ndani kabisa, karibia na shinyanga,



Hujawahi kula Nyama ya Nyati? Maana Uko Ulyankulu ndanindani ndio zilikua zinatoka!
 

Aisee na ITEGAMATWI pia, isije ikawa tulicheza kombolela. Sitaki kuwafahamu aisee. LOL
 
Last edited by a moderator:
Kweli unamkumbuka mwita waibe na mwembe kunyonga, unakumbuka mgurunde cup fainal 1994? kuna wachezaji km KIMTI, GOLIATH MWAKIPESILE, METHOD, na wengine kipindi kile ALLY MAYAI alikuwa UYUI, mihayo alikuwapo VICTO KILOWOKO.


Chini ya Mwalimu Omari! Mihayo walikua na kadada hivi miaka Hiyo kwenye netball na Basketball kanaitwa Pewa keupe hivi na mwingine Joyce Masamalo! Unawakumbuka?

Hawa walikua hodari sn kwenye michezo!
 
Nimesoma nao kazima wale vijana. Inasikitisha sana maana walikuwa bright.
 
Chini ya Mwalimu Omari! Mihayo walikua na kadada hivi miaka Hiyo kwenye netball na Basketball kanaitwa Pewa keupe hivi na mwingine Joyce Masamalo! Unawakumbuka?

Hawa walikua hodari sn kwenye michezo!

Pewa jina lina ring a bell; kazima tulikiwa na one Joyce mzuri sana kwa basket lkn aliweza hata football. Kungekuwa na soka ya kike kama sasa angekuwa star.
 
Karibu na wale waburushi ndugu wa Rostam Aziz wakina kasel-kandis! Huku opposite na geti kuu la kuingilia kazima sekondari.Kwetu ni mtaa wa nyuma ya hao waburushi.

Kaselkandis ni binamu zake Rostam. Hiyo mitas unayoisema kulikuwa na mtu anaitwa Amin Imkana. Alikuwa anacheza mpira ni balaa. Ex Uyui huyo. Alipo kuja Dar mpira akaacha. Tabora ilitoa vipaji vingi sana hasa football na basketball.
Kama sikosei wewe ulikuwa jirani na Jaji Kwikima then alikuwa ni Advocate
 


Kilowoko ni Askari magereza mbeya! Alichezea timu Yao kule wakampa na kazi!
 
Jamani Makrina Ntabaye! Hako ndo kalikua katoto Ka Mwisho kwa Ntabaye!
Na ndiye aliyekuwa mzuri kuliko wote, sijui yuko wapi?
Nilikutana na binti ntabaye mmoja Dar, sikumbuki ni yupi ila sio Macrina.
 

Nimekula sana cheuros (sina uhakika na spelling) za waburushi wale. Kibinti chao kimoja nilisoma nacho.
Nawakumbuka pia watoto wa Kwikima kina Saada???? sijui wako wapi?
 
Ntuzu please ebu tupe story kidgo ya famlia ya Dr Kobello!
 
Aisee na ITEGAMATWI pia, isije ikawa tulicheza kombolela. Sitaki kuwafahamu aisee. LOL

Kaunga hatukucheza wote. Binafsi miaka hiyo nilishakuwa A Level karibu namaliza Secondary Education.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…