Kumbe tuko wengi wahenga. Mungu mwema. Tabora yetu, mzaliwaAisee, nawe ni wazamani kama mimi. Mwl Shigela ni mama yangu wa ubatizo, she is late lkn.
Nawakumbuka wengi, pamoja na mwl. Fundi.
Mihogo ya mzee Amir bwana ilikuwa something else na ile supu yake, hata waliosoma Iyui na Uhuru watakuwa wanaikumbuka sana. Kuna kipindi nilienda kuitafuta, nikakuta wanae ndio wanapika lkn haikuwa mizuri kama ile.
Unakumbuka poems za Chiboni? "Once l went to fairy land" na "water water, but no any drop to drink"
Hahaaa. Umenikunbusha kwa jina Gondwe, nimesoma na binti wa mzee Gondwe sasa ni bibi kama mimi.Mitaa ya pombe sn kule Ng'ambo ni kwa Gondwe, Nguno na Mapumziko! Yani huko pombe la kienyeji kwa kwenda mbele!
Teh Teh Teh Teh!
Kwetuuu. Mwanae Kashindye.. yaani mwarabu na jina la kinyamweziTeh Teh Teh
Yani Mkuu we ni noma!
Umemtaja na Mzee Makubeli?!!!!!!
Kah!!!! Mboka hazina ya vichwa!
Li Solokoto KuliUkimuimbia wimbo Huyo solokoto bamiza kichwa! Na Kweli anabamiza kichwa!
Duka la vitabu TMP upande wa pili kuna Diamond Talks Cinema acha kabisa alikuwepo Baunsa bubu mtata kinomaNakumbuka kile kituo cha wanafunz, student centre na ile library yetu wacha
Mwanaisungu na tabora hotel
Kwa wale LY Mihayo Primary 1984 mpo? Mtihani wa kumaliza elimu ya msingi katika wanafunzi 208 walitoboa wawili tu kwenda Kazima Sec waliobaki Chali wachache wenye uwezo kifedha wakaenda Uyui Secenzi za akina ADAM mabreka
enzi za babu JEFF MIHAYO SEC.na mihogo ya ya kukaanga
enzi za kina silencer na ubabe wa mjini polisi hawamtishi.
enzi za baiskeli za cheng zcheng kila mwenye nayo ujue ni mwanajeshi.
enzi ya team ya TINDO ya watoto wa mjini.
Miaka hiyo elimu ilikuwa si mchezo tofauti na sasa wanaweza kutoboa darasa zima.haya wale wa wilaya ya uyui tujuane.Kwa wale LY Mihayo Primary 1984 mpo? Mtihani wa kumaliza elimu ya msingi katika wanafunzi 208 walitoboa wawili tu kwenda Kazima Sec waliobaki Chali wachache wenye uwezo kifedha wakaenda Uyui Sec
Makulwa jamii ya Mantonga, Ndati, Mfulu, NkuniiKuna Matunda huenda yako Tabora tu, kwa mfano Ntalali, Mbuguswa, Mamtonga nk.
Nilijaribu kuyatafuta mikoa mingine lakini sikufanikiwa.
Mwngine anaitwa Nyamunyu .mitaa ya Ng'ambo miaka ya 1970 +Kuna mchizi mmoja alikuwa anaitwa teacher ! Au kwa jina jingine Matola alikuwa anapendelea sana kukaa pale stendi ya basi na kwa mayor hoteli
Au wakati mwingine unamkuta mitaa ya bachu! Mnamkunbuka??
Na mwingine Ali tola!
Teh teh teh
Cc mtemi usike Mboka Manyema
Makulwa jamii ya Mantonga, Ndati, Mfulu, Nkunii
Mpalaye kitambo sana. Dattans, Kisamvu Bus Service, Nzega Bus, Tanganyika Umoja Bus, Sabena, Mole Bus, KolonzoRafiki Yangu kahtaan bora tupige story tukumbushane mambo ya nyuma kuliko mijadala ya Imani kule!
Mwanangu umemtaja Yule Mwehu Teacher umenikumbusha mbali sn! Nakupa majina ya wehu wengine! Malingumu na mwingine Roshi, na Aziza Moka na Yule Muhindi Wa kwa Athumani Store na Amani Mwehu, Mwajuma Ringa?
Vp wawakumbuka wale Mbuzi waliokua wanajichunga wenyewe?
Wayakumbuka mabasi ya Mpalaye?
Mboka Manyema ni balaaaa Mkuu!
Profesa mchizi flani mitaa karibu na Town School alikuaga na basi bovubovu linakwenda Sikonge siku moja natokazangu Sikonge kufika Isukamahela likabuma tukatembea kwa miguu mkapa Ng'ambo homeYuko muhindi mmoja alikuwa na mabasi ya kwenda ulyankulu anaitwa karim. Alikuwa anayapiga rangi na brush ya nyumba!
Halafu seat zake ni mabenchi ya mbao!
Teh teh teh teh!
Yalikuwa ya blue yanapaki pale Balewa street!
Amina.Kumbe tuko wengi wahenga. Mungu mwema. Tabora yetu, mzaliwa
Yuko muhindi mmoja alikuwa na mabasi ya kwenda ulyankulu anaitwa karim. Alikuwa anayapiga rangi na brush ya nyumba!
Halafu seat zake ni mabenchi ya mbao!
Teh teh teh teh!
Yalikuwa ya blue yanapaki pale Balewa street!
Yuko muhindi mmoja alikuwa na mabasi ya kwenda ulyankulu anaitwa karim. Alikuwa anayapiga rangi na brush ya nyumba!
Halafu seat zake ni mabenchi ya mbao!
Teh teh teh teh!
Yalikuwa ya blue yanapaki pale Balewa street!
Mwanaisungu palee 😅😅 na Muungano mesiMhenga mwenzangu. Isevya kwa kwa Ali Maguberi, kina marehemu Hamis Magurdumubna vitumbua vya moto, matapeli wa mwanzooo kina Juma Nkolokosho.
Enzi za Uhazili tulitesa sana, Railway Club. Timu ya basketball kina Kamsululu. Nimekumbuka mbali sana.
Hapo Bhachu niliishi kwenye sn pale Delight then nilihamia kwa bibi mmoja hivi bi Fatuma karibu na Tauni skull.Ndio
Hapo mihayo pana kanisa pembeni na uwanja wa basketball. Hilo kanisa lilitumika kama Hall la kusomea chuo cha SAUT.Kwa wale LY Mihayo Primary 1984 mpo? Mtihani wa kumaliza elimu ya msingi katika wanafunzi 208 walitoboa wawili tu kwenda Kazima Sec waliobaki Chali wachache wenye uwezo kifedha wakaenda Uyui Sec