Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka

Uuuh!! Igombe na maji yake yalivyokuwa na rangi mbaya!!na disco la igombe spika zinafungwa vichakani
 
Teh teh teh teh!

Mkuu umenichekesha sana leo kumtaja roshi na mwajuma ringa! Au kwa jina jingine mwajuma miwanja

Na unamkumbuka jeta mwehu! Alikuwa anaishi mtaa wa stendi ya bus ya zamani!
Mshenzi yule alikuwa matusi yake kwa nyerere tu!


Mkuu Yani umemtaja Huyo Jeta nimecheka snaaaa! Jeta namkumbuka Yule Mwehu! Alikua mkali Huyo!
 
Halafu we Ntuzu mbona uko tofauti sana na wanyamwezi wenyewe!?

Umekuwa bahili wa kutoa "like" hata kwenye uzi wako mwenyewe??

Mhhhhh! Bagesha! Onene na nho! Mmmmm! lugumya mno !!

Mkuu simu yng haisapoti likes! Lkn Usijali Leo wote mnapata!


Kwakweli mmenifurahisha sn na kunikumbusha mbali sn!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu simu yng haisapoti likes! Lkn Usijali Leo wote mnapata!


Kwakweli mmenifurahisha sn na kunikumbusha mbali sn!

Teh teh teh!

Yaani mpaka simu yako ni LUGUMYA!
duhh!

We inaonekana ulikaa sana kaliuwa manake kuna ukame mbaya huko!
 


Mkuu Sabura namkumbuka sn! Kanifundisha Kitete shule ya msingi!

Mzee Mushi Sijui yupo Au alishatanguli mbele za haki! Ila namkumbuka sn!
 
Hujanijibu mkuu! Hio mikate ya huyo jamaa mwenye jina kama langu mitamu!? Au inahitaji maregebisho kidogo! Nimfahamaishe jamaa?

Cc picchu

Ni mizuri ila kuna fursa ya kuboresha zaidi hasa going browny
 
Last edited by a moderator:
Nakumbuka mitaa ya ng'ambo (pombe za kienyeji kwa kwenda mbele), rufita, mwanza road, chemuchemu nyumba zimechookaaa, watu wanaotoka humo sasa lol! Kwa wagirlzia na waboyzia, kazima sec, mitaa ya cheyo. Barabara zimefunikwa na miembe kimvuli mwanzo mwisho, hope hiyo miti bado ipo, kitambo sana aisee, ajabu nimesahau jina la mtaa niliokuwa naishi
 


Mitaa ya pombe sn kule Ng'ambo ni kwa Gondwe, Nguno na Mapumziko! Yani huko pombe la kienyeji kwa kwenda mbele!

Teh Teh Teh Teh!
 
Uuuh!! Igombe na maji yake yalivyokuwa na rangi mbaya!!na disco la igombe spika zinafungwa vichakani

Mnanikumbusha mbaaaaaaaali! Enzi hizo pale Muungano mess disco kama kawa. Vituko kati ya boys na milambo. Likizo moja pale railway station boys iliyoa mkongoto kwa milambo kugombea mabehewa ikamlazimu mkuu wa wilaya akatia timu eneo hilo. Boys enzi hizo yupo marehemu Alexander ndeki akatoa amri boys wote warudi shule waoga walirudi hatimaye wakabaki shule likizo yote. Jamani kwa wale was boys Mr. Katendele, Mikomangwa, wako wapi?
 

Mi kama nilikuwa nakuona pale ngomasakasi! Karibu na amani hotel.

Au sio wewe!?
 
Ni mizuri ila kuna fursa ya kuboresha zaidi hasa going browny

Umesomeka.mkuu.
Nambipu wajina afanye kweli!
Lkn ninavyoskia wanyamwezi wenzangu na brown sio wapenzi lkn kwa sababu umetaja! Ntamshauri jamaa!

Wabheja bagesha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…