Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ee bana ee! Joad hajafa!
Mbona bingwa unawaondoa watu kabla ya siku zao!??
aliyetangulia ni meja mkuu, na pia byela kaneno, sikumaanisha na Joad.
Wakuu salama?
Nimeona tukumbushane mambo na vituko vya mboka na story kibao za mkoa ule! Na mitaa, matunda ya porini km Magongoti, vijana Wa mboka, Mwanaisungu etc.
Wakuu Mwenye story ya mboka Au Mwenye chochote kile aje tupige porojo kidogo!
Umesomeka.mkuu.
Manake joad nimeongea nae kama wiki mbili tu zilizopita.
Dah! Kitambo sn! Ila jamaa alikua anapenda sn viumbe! Bilashaka Rafiki Yake kahtaan atakua mtu Wa viumbe sn!
Poa, Adam maroboti unamkumbuka?
waswezi unawakumbuka? nimesoma uyui na gongoni, uhazili nimecheza basketball, disco la muungano mess nimecheza. makokola je, vipi?
Hamadi Mwinyimkuu! Unawakumbuka?
Duhh!
Haki ya mama meja na mimi na jamaa wengine tulikuwa tunazichanga halafu tunaingizana pale African hotel.
Nyama choma kwa fujo!
Kuna siku yule Dr kabelo alileta Soo pale! Akaanza kutukana kina dada flani pale. Eti kwa sababu yy ni bingwa wa kuzalisha pale Tbr lazima atakuwa kaishaona zile nyeti za hao kina dada wanaoringa!
Nilimkata kofi mpaka chini! Paka shume yule! Sijui nae bado yuko hai!?
Teh teh teh teh!
Duhh! Wacha hamadi. Watoto woote wa mzee.mwinyi mkuu nawafahamu.
Na Adam fundikira ndio ilikuwa kampani yangu ile!
Yaani saa hii niko ofisini hapa lkn akili yooote imehamia mbokaland!
Few thousand miles away !
Duhhh!
Tumeruka nyoka saaana pale mwanaisungu!
Mkuu Unamkumbuka marehemu Kafti nduye Isungu?
Mwanangu tutawapata Wengi sn humu Wa Mboka Manyema!
Mimi naweza sema wajanja wote Wa Tz km hakupitia mboka Bado hajakizi vigezo! Maana mboka ilikua Chuo!