Ukisema hivyo utoe na maelezo yanayojitosheleza na mawasiliano yako ili wadau wakutafute.boda boda na bajaji zina muziki balaa....huwa nawafungia kati ya 120,000 na 150,000...........magari 180,000 - 200,000
I love music, sio mziki wa kusikiliza kwenye headphones... hapana. Mziki wa kusikia kutoka kwenye speakers, sauti si kubwa sanaa ila ipenye hadi kwenye maini.
Kuna shida napata, kila nikiwasha gari sauti ya redio inajiwasha kubwa sana 25 na flash nnanocheza kila nikiwasha gari inaanza nyimbo ya kwanza na haiendelei ilipoishia. Shida ni nini?
Sijafunga hayo mawoofer wala xplicit bali redio na speaker zilizokuja na gari, hazichuji mziki saana ila nahisi unanifaa.
Niko muoga sana na kumoa mtu gari achokonoe kuunga mziki halafu baadae nakuja kuona kuna shida ya umeme kwenye gari imeanza, huwa sipendi gari ichokonolewe chokonolewe na mafundi.
K' Matata.
Wewe kama Mimi, redio iliyokuja na gari ndio hiyohiyo. Kuliko nipeleke kwa fundi ianze kukatwa nyaya bora nisikilize hiyohiyo, kwa brevis sio mbaya
Huyo jamaa promo nyingi thatz why, ukitaka kufungiwa muziki nenda Sinza Mapambano utawakuta vijana pale, zamani yapata kama miaka mitano nyuma alikuwa Muhindi mmoja hivi mitaa ya kisutu anajulikana kama Audio sensations alikuwa anafunga muziki kwenye gari hadi wa milioni tano, akichukua gari anaweza akakaa nayo siku tatu anafunga muziki na gari ikipita kweli unajua kuna mziki wa maana sio makelele
Kwenye kiberiti changu (toyota duet) nimefunga kichwa cha sony, amp mbili za sony moja ya watts 1400(original watts rms) ambayo ina channel moja (mono) hiyo ni kwa ajili ya subs mbili nilizofunga nyuma za watts 1400 za sony, amps moja ya watts 800 kwa ajili ya mid, tweeter na pre amp na tube ya power controler, mziki naousikia ni shida na balaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣We dishi limeyumba mkuu...nenda mirembe wakakusaidie kabla haujaanza vituko vingine mkuu
Double coil hizo, ni matatizo kishindo yake ukipata watts 1000 na mids za Sound link hapo hata Xplod haifui dafu sema upate na amp ya maana sasa. Equalizer ya Boschman naona ndio iko makini zaidi.Pioneer nao ni shida spika za zina tripple dinamic yaani zile sumaku za nyuma zimefungwa tatu kwa pamoja kishindo chake kama ukipata amp yenye nguvu ni balaa
oWakubwa, hivi radio zinazokuja na gari ambazo haziaomi frequency za hapa home soln ni ipi ili ipige radio? Msaada pse.
Tafuta Pioneer bass speaker OG, ukipata ya 1000w double coil hio kwisha kazi. Mids tafta za Soundlink, Booster/Amplifier ukipata JEC ya walau watts 600 inasongesha vyema bass.
Tafuta Pioneer bass speaker OG, ukipata ya 1000w double coil hio kwisha kazi. Mids tafta za Soundlink, Booster/Amplifier ukipata JEC ya walau watts 600 inasongesha vyema bass.
Tweeters za Sony/Pioneer, Equalizer tafuta ya Boschman.
Hapo package ready to make your neighbours Mad🤣🤣🤣 na vyote kwa bongo vitafit ndani ya hio budget.
Hahah yeah bro...hio ndio kitu mi napenda sana.Thanks mkuu kwa ushauri wako murua. Waonekana unazijua vyema sana sound accessories.
Quality heavy sound to make neighbors mad... hahahaa hiyo sound ndo naipenda mkuu. 😀😀. Gari yenye mziki wa ukweli huwa burudani sana kuiendesha kwa sie wapenda muziki. You ride with full enjoyment.
Passive Subwoofer ni nzuri kuliko Active subwoofer.Kati ya mziki ambao unanua woofer ambayo ina inbuilt amplifier na anbao unakuwa ni passive woofer inayounganishwa na booster, ni upi mzuri?
Zipo Android auto audio systems kwa sasa. Mchina ameleta zake ziko na android kama ya simu tu. Humo mambo yote bluetooth na wireless ukiwasha hotspot tu inakamata kila kitu.Je kuna redio ya kufunga kwenye gari ambayo wakati wa kupiga miziki au kuonesha picha naweza kutoa toka y-tube?
Mkuu inategemea na ufungaji wa muziki, mimi wa kwangu kwa jinsi nilivyoufunga ukiwa ndani ya gari unasikia kishindo cha kawaida lakini ukiwa nje ni balaa kubwaMimi kupiga mziki mpk watu wasikie nje aisee siwezi....
Naona ni ulimbukeni...
Kama una head unit(radio) tafuta spika ya Sony watts 1800 ukikuta zilizo kwenye tube original ni nzuri zaidi, tafuta amp ya boschmann ya watts 1300 original pamoja na pre amp yake(equalizer) nayo ni iwe kampuni hiyo ya boschmann tafuta na set ya wiring, ukishapata hivyo tafuta fundi umpelekee akufungie huo mziki utakuwa umesave hela nyingi sana maana ukienda mwenyewe kichwa watakupiga hela
Yaani kny IST ndio afunge huo mziki?Kama una head unit(radio) tafuta spika ya Sony watts 1800 ukikuta zilizo kwenye tube original ni nzuri zaidi, tafuta amp ya boschmann ya watts 1300 original pamoja na pre amp yake(equalizer) nayo ni iwe kampuni hiyo ya boschmann tafuta na set ya wiring, ukishapata hivyo tafuta fundi umpelekee akufungie huo mziki utakuwa umesave hela nyingi sana maana ukienda mwenyewe kichwa watakupiga hela
Kama una head unit(radio) tafuta spika ya Sony watts 1800 ukikuta zilizo kwenye tube original ni nzuri zaidi, tafuta amp ya boschmann ya watts 1300 original pamoja na pre amp yake(equalizer) nayo ni iwe kampuni hiyo ya boschmann tafuta na set ya wiring, ukishapata hivyo tafuta fundi umpelekee akufungie huo mziki utakuwa umesave hela nyingi sana maana ukienda mwenyewe kichwa watakupiga hela
Yaani kny IST ndio afunge huo mziki?
huo mziki size yak ni SUV sio vi baby walker mkuu
Sasa mimi nimefunga zaidi ya huo kwenye kaduetYaani kny IST ndio afunge huo mziki?
huo mziki size yak ni SUV sio vi baby walker mkuu