Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Huo ni uongo usio na mfano.
sadly nakumbuka ulisema unafanya karesearch juu ya uchawi na majini. kitendo cha kusema majini wanashauri Watanzania tu nadaut research yako!!!

Too hoojja.

Oof course mzee mapete pale mwembechai ametuongoza xana
 
same question for you kabla sijaenda mbali.. umeniuliza wakati jini anaamini kama nilikuwepo? SIKUWEPO

Sasa na Wewe Wakati Mungu Anakuumba Ulikuwepo?

"Rakims"
Endelea kuwafundisha hayo mapepo..mbumbu wenzio,maana kwako/kwenu ni harali..
 
Endelea kuwafundisha hayo mapepo..mbumbu wenzio,maana kwako/kwenu ni harali..

ndio kinachotokea hiki point zako zikikosa mashiko....
 
Majini wazuri?! Hamna jini mzuri katika ukristo labda uislamu, katika ukristo, mungu kaumba malaika, hao majini walihasi

Hata mie nashangaa, jaman hivi kweli badala ya kuwa na malaika niwe na jini mzuri!? Think,giza ni giza tu never mix with light.
 


Mkuu umemaliza kila kitu! Asante kwa ufafanuzi mzuriii.....
 
Last edited by a moderator:
Lakini si inategemea kama anachokuamrisha ni cha haram mkuu je kama anakuamrisha jambo ambalo ni la halali na unaona wazi kuwa lina manufaa ndani yake shirki inakujaje hapo kiongozi wangu nifumbue macho kiduchu,karibu.



Mkuu kioo kwanza inabidi ufahamu nini maana ya shirk? Shirki ni kuabudu yoyote asie kuwa mungu; haijalishi hicho unachokiabudu kinakuamrisha mazuri au mabaya kile kitendo cha wewe kufanya jambo jema au kuacha kutenda dhambi kwa sababu jini kakuamrisha kufanya hivyo huko ndo kumwabudu shetani au shirki; kwahio haifai kabisaa! Na hata katika mafundisho ya uislamu hamna jini yoyote anaekaa kwenye mwili wa mwanadamu akawa mzuri hata kama anakuamrisha mema huyo ni shetani tu na lengo lake ni umuabudu yeye badala ya muumba wako.
 
Majini wote ni Wabaya na ni Maislam na ni Machafu na YOOTE yanamswalia Muhammad mtume wao. Hakika Jahannam ipo kwa ajili yenu mnao fuga majini.


Imbecile at her own work!
Pole.
 
Last edited by a moderator:
Ikiwa M/Mungu aliwaumba binadamu kwa ubora sana na wapo wengine wanamuasi na wamekuwa wabaya sana kwake.

Ni sawa na alivowaumba majini aliwaumba waje kumuabudu ila wako waliomuasi na kuwa nashetani na wengine wazuri kama tulivyo sisi binadamu.

Majini wale wasiokua mashetani huwa hawaingii vichwani mwa watu itokezee ni mara moja sana ila wanakuongoza katikavnjia zenye heri na wanakuepusha sana na njia za kishetani.

Rahim unajitahidi kuisaidia jamii inayossumbuka na haya mambo. Mungu akuzidishie kipaji chako
 
Mbona uamechagua kutishia watu kuliko kuelezea uganga wako?ktk hii mistari tuu umeandika contradictions kibao..pengine kinachokuzengua ni huu ushairi.Mungu wa kweli hayupo ktk kambi yako,ahta km fikra zako zinakupa picture yake...unafanya uhsirikina tuu kumhusisha na hiyo miungu yako na hizo roho za matambiko na za kupotosha unazoziapia...
 
Alafu uniambie ruhusa ya kula kitimoto umeipata wapi!!!!



Ruhusa ya kula mbuzi katoliki umeitowa wapi?

Mkuu Ukila huyu mdudu habari za majini utazisoma kwenye forums daima KARIBU.
 
Maneno Yangu Sio Sheria Kila Mtu Kuifuata Maneno Yangu Ni Ukumbusho Na Ushauri Una Heri Ya Kuyachunguza Na Kuyatafiti Au Una Heri Pia Ya Kuyafuata Kwa Uchunguzi All In All Wewe Unaeona Yanakuchanganya Na Huelewi Wala Huafiki Pita Mbali Au Ukitamani Kuonyesha Jina Lako Onyesha.. na hakuna anaeweka uzi hapa ili apate faida bali anatoa ujuzi alionao watu wanakosoa na kurekebisha au kuhoji ni JAMII Sio mbunge hili

"Rakims"
 
Msishirikishe dini kwenye maswala ya kidunia hapa wanaongelewa majini.
 

Toa vielelezo kama unaijua Suratil Baqra hakuna ulazima wa kuchangia mada kwa kukejel dini Mungu akusamehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…