username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
- Thread starter
-
- #21
Haya case study ni hawa wawili niliowazungumzia hapa, unajua wapo wapi kimafanikio kwa sasa?Sijipi moyo ndio hali halisi. Mtafute mtu anaitwa Nannauka ni motivational speaker then fuatilia record yake shuleni.
Ila Henry na Sunday hakukuwa na mnyonge kati yao ,ilikuwa ilikuwa pita nikupite na hawazidiani maksi zinazozidi tano na sijawahi kuona wameshuka chini ya 90ACCA, ACPA Sunday sausi mwakipagala kijana wangu kabisa. Mzee wa Canada. Nilipoteana nae yapata 2 years sasa ila alikua canada. Jamaa ni auditor huyo na fundi kweli kweli mpaka kesho. Aliibuka top student pia kwenye ACCA results 2020. Kijana machachari. Fundi mpaka leo. Yaani kiufupi huyo ndio reginald Mengi wa Leo.
Achilia mbali hawa Kuna wengine nimewaanzishia uzi,Calvin Marambo, Simon mbangalukela nk unajua wapo wapi kwa sasaSwali zuri mno, wana sema one might be good at answering selected number of questions.
Ila ukija kwenye application ya ujuzi husika, mty ni mweupe.
Wapo TiktokWapo wapi now
Cream hizi na nyinginezo inatakiwa zisaidie Taifa
Sijui, I was great too. Ila nili nafurahia maisha yangu.Achilia mbali hawa Kuna wengine nimewaanzishia uzi,Calvin Marambo, Simon mbangalukela nk unajua wapo wapi kwa sasa
Wewe achana na elimu ya makaratasi..
Tuambie SASA hivi kupitia hiyo math wamebuni mifumo gan kutatua changamoto kwenye jamiii.
Kupitia hiyo economics wamesolve nn kwenye jamiii...??
Upo sahihi.wa Tanzania na A zao za mathematics ni mawinga kariakoo , waarabu wanasoma Quran tu, wapo rufiji wanatujengea bwawa na kubeba ma trilioni yetu ya fedha.
elimu ya makaratasi imetuharibu kwa sifa za kijinga
Si feza hiyo hiyo au shiling??..........au labda wa ufadhili wanasomea choooni??Huyo labda alisoma feza kwa ufadhili.
Pamoja na kuwa fit.... .. wataje top 10 na mimi nikutajie top 10 wangu tena 5 watatoka pale kwenye vipodozi saba saba .........uone kama hayo matope sijui matop ya feza au shilingi si lolote kwenye somo la kutoboa maisha...........kusoma shule nzuri ni bahati.......ila kutoboa kimaisha ni zaidi ya bahati zingatiaWengi wao waliosoma shule hizo wako fiti na ni watu wana connection zao. Kufika ulaya nayo ni moja ya connection ndugu.
Mimi nilifika ulaya kwasababu ya connection ila marehemu baba yangu hakua na connection yyte zaidi ya huyo mtu aliyenipeleka na ndio huyo huyo, haijalishi nilifanya nini nilipofika. Sasa those top students wote wa shule hizi. Wote wakofiti. Nawafahamu wengi sana.
Huyo wa ufadhili hana background ya kueleweka, ufadhili una kikomo.Si feza hiyo hiyo au shiling??..........au labda wa ufadhili wanasomea choooni??
Martin Chegere,Mohamed Ali,Magreth Kakoko, Moses JohnBosco, Moses Swai , Rosalyn Tandau,Faith Asenga,Moses Swai ,Haji Gonga,Hassan Gwaay, Sarafina MarikiPamoja na kuwa fit.... .. wataje top 10 na mimi nikutajie top 10 wangu tena 5 watatoka pale kwenye vipodozi saba saba .........uone kama hayo matope sijui matop ya feza au shilingi si lolote kwenye somo la kutoboa maisha...........kusoma shule nzuri ni bahati.......ila kutoboa kimaisha ni zaidi ya bahati zingatia
Martin Chegere,Mohamed Ali,Magreth Kakoko, Moses JohnBosco, Moses Swai , Rosalyn Tandau,Faith Asenga,Moses Swai ,Haji Gonga,Hassan Gwaay, Sarafina Mariki
Calvin Marambo,huyu hakuwa T.O ila balaa lake linajulikana na kwa sasa anafanya kazi kwa bilgate
Pumbafu kabisa wewe unadhani urembo wa bajaji haulipi mbona dharau za waziwaziWaweza kuta wapo hapa hapa mjini na wamefungua biashara lakini ni car wash..........au sehemu ya kuuza urembo wa bajaj .........cha kujiuliza zile A± zilifanya nini unabaki kushangaa sijui ni hiki chama cha manjano au buluu .........laana hizi
Kwani ma t.o wote lazima wawe wahandisi?hawa wote wakichanga vipato vyao na kuuza mali zao zote jumla yake.. bado hawamfikii hata Diamond platnumz.
na A zao za mathematics zote hawawezi hata kujenga bara bara nyepesi ya zege ya mwendo kasi, mpaka tuite watu kutoka nje waje watujengee
Unamuwaza Diamondhawa wote wakichanga vipato vyao na kuuza mali zao zote jumla yake.. bado hawamfikii hata Diamond platnumz.
na A zao za mathematics zote hawawezi hata kujenga bara bara nyepesi ya zege ya mwendo kasi, mpaka tuite watu kutoka nje waje watujengee
Pumbafu baba yako mjinga mkubwa weeePumbafu kabisa wewe unadhani urembo wa bajaji haulipi mbona dharau za waziwazi
Mbona kuna T.O yupo ofisi fulani namjua kabisa na anaishi kawaida tu.... hata pale kkoo kuna mtu anaduka lake la perfume tu na anamkwanja kinoma.......yaani anampita mpaka yule T.O kwa maisha .............kwani T.O ndio nafuu ya maisha ?? Acheni uzwazwa na kukalili maishaMartin Chegere,Mohamed Ali,Magreth Kakoko, Moses JohnBosco, Moses Swai , Rosalyn Tandau,Faith Asenga,Moses Swai ,Haji Gonga,Hassan Gwaay, Sarafina Mariki
Calvin Marambo,huyu hakuwa T.O ila balaa lake linajulikana na kwa sasa anafanya kazi kwa bilgate
Braza huna hoja ............Huyo wa ufadhili hana background ya kueleweka, ufadhili una kikomo.
Upumbafu wake uko wapy mkuu?Pumbafu baba yako mjinga mkubwa weee