Kwa wamiliki wote wa magari ya Nissan tukutane hapa

Kwa wamiliki wote wa magari ya Nissan tukutane hapa

Nimewaleta mafundi toka CFCO na computer lakini hawaniambii lolote la maana inaelekea hawajui jinsi ya kutumia na kutafsiri hizo computer!!! Natafuta fundi mwenye kujua anafanya nini!
Hizi ndio kero ambazo hutakaa uzipitie ukiwa na Toyota, unless ununue 2021 model iliotoka kiwandani mwezi huu halafu ikuletee shida
 
Unajua mentality ya Kibongo kuhusu Toyota ni mbaya sana...yaani kuanzia mafundi mpaka wamiliki huwaambii kitu kuhusu toyota.....

Mfano mrahisi nchi nyingi za west Africa magari kama VW na mengine ya Ulaya yanatawala hizo toyota hazina nafasi..

Kuke unakuta VW zimejaa mpaka zinapiga kazi kama taxi....

Toyota kukubalika Tz haimaanishi kuwa ndiyo gari bora zaidi ya yote, kuna ukanda mwingine hazikubaliki unaweza kuta mazda ndiyo inakubalika
👍👍
 
Habari Wakuu, wapi naweza pata Instrument cluster ya Nissan Hardbody ya Zamani 1998. Iwe mpya au hata used sawa tuu.
1574704237.jpg
 
....hahaha...ufundi wa gari kwa mfano gari liliharibika injini, ulitatiluaje na ni spea gani ilikuwa shida...[emoji16]
Anhaaa kumbe ivyo c ungesema Sasa jaman

Ngoja likiharibika ntakuja kuelezea[emoji23][emoji23]
 
Anhaaa kumbe ivyo c ungesema Sasa jaman

Ngoja likiharibika ntakuja kuelezea[emoji23][emoji23]
ooh sawa usitunyime mrejesho plzzz..[emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119][emoji16][emoji16]
 
I just bought my first Subaru (Forester 2015 XT). What are some important maintenance steps to know about so my car lasts many years and miles?
 
Nissan hazina changamoto wenye changamoto Ni mfuko wako.
Mkuu kuna ndugu yangu huko moshi alikuwa na noah akaivunja na nissan pickup ukiichek body ya hiyo nissan ilivyosukwa ni noma kumbe engine ilikuwa kimeo baada ya miezi mashine ilivyoanza kumiss [emoji23][emoji23][emoji23] na mbwembwe zote ziliishia pale kwenye mafundi nako ni wachache wenye uwezo wa kuyatibu lilimnyonya hela kidogo limnyonye na damu[emoji23]
 
Back
Top Bottom