NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Mungu kamchagua Magufuli awe Rais imetosha,akuna tena makorokoro mengine.Pointi moja shika biblia yako au Msaahafu sema kutoka ndani kuwa uchaguzi ulikuwa na huru na haki na Mungu aoneye sirini atakujaza
Mungu kweli???Mungu kamchagua Magufuli awe Rais imetosha,akuna tena makorokoro mengine.
Aisee nikikutana nao Kanisani huwa naumia sana na Ibada yangu huwa inaishia hapoHoja ya vivianet nimekuwa naitafakari sana.baadhi ya wezi wa kura wakatoliki pengine wataungama kwa Padre,lakini dhambi kamahiyo huondoka kwa kujiuzulu! Mbingu wengine wataishia mbingu ya Chamwino/magogoni
Sidhani kama atashindwa kufanya hivyo.Usisahau kwamba watu huwa wanaapishwa huku wameshika hivyo vitabu.So business as usual.Pointi moja shika biblia yako au Msaahafu sema kutoka ndani kuwa uchaguzi ulikuwa na huru na haki na Mungu aoneye sirini atakujaza
Mungu hashughuliki na mambo ya siasa, haya ametuachia wenyewe. Mtu wa kuogopa sana siku ya kusimama mbele ya mungu ni Lissu! Na sababu yenyewe ni kushirikiana na wazungu kuendelea kukandamiza watoto wa mungu (waafrika).Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.
CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji Mashehe na Mapadre. Je, ni kweli CCM ilishinda uchaguzi kwa halali? Je, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Ni kweli wananchi waliichagua CCM maeneo yote nchini kwa kura nyingi hivyo? Je, vyombo vya dola havikuingilia uchaguzi na kubadilisha matokeo? Je, tume ya uchaguzi ilisimama katikati kama mwamuzi asiyependelea upande wowote?
Je, Mioyo yetu haina hatia kuhusu Uchaguzi huu?
Kumbuka kila mtu atasimama mbele za kiti cha hukumu cha Mungu.
ewe kibaraka wa watawala, kwenye teuzi watakukumbuka kweli?!.Uchaguzi umeisha, CCM imeshinda kwa kishindo, Lissu karudi kwa mabwana zake, Mbowe, Sugu, Mdee, Zitto, Lema na wengine wengi watatafuta shughuli zingine za kufanya na sisi tuache malumbano yasiyonatija tuchape kazi.
Mioyo yao imekuwa sugu. Hawajali lolote hata baada ya maisha haya. Miaka takribani 60 madarakani ni ulevi mzito. "They are totally drunk. They do everything possible to remain in power at the expense of the wish the citizens. They no more see the Tanzanian citizens as their bosses but subjects.Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.
CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji Mashehe na Mapadre. Je, ni kweli CCM ilishinda uchaguzi kwa halali? Je, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Ni kweli wananchi waliichagua CCM maeneo yote nchini kwa kura nyingi hivyo? Je, vyombo vya dola havikuingilia uchaguzi na kubadilisha matokeo? Je, tume ya uchaguzi ilisimama katikati kama mwamuzi asiyependelea upande wowote?
Je, Mioyo yetu haina hatia kuhusu Uchaguzi huu?
Kumbuka kila mtu atasimama mbele za kiti cha hukumu cha Mungu.
Speaking of bible and judgement, taifa la MUNGU Israel iliua wangapi kuingia nchi ya ahadi?
Shabiki wa walevi ni mlevi.Ni kweli Kuna mwenzenu alisema ushindi wa CCM ni lazima Mungu atake asitake ushindi ni lazima bahati mbaya amefariki wiki iliyopita.Hii ni picha halisi kuwa CCM kwenu MUNGU siyo chochote!
Sugu anamiliki 3 stars hotel ...acha kujitekenyaUchaguzi umeisha, CCM imeshinda kwa kishindo, Lissu karudi kwa mabwana zake, Mbowe, Sugu, Mdee, Zitto, Lema na wengine wengi watatafuta shughuli zingine za kufanya na sisi tuache malumbano yasiyonatija tuchape kazi.
Unalisema hilo kutoka moyoni bila hatia? je upo tayari kusimama mbele za Mungu kutoa ushaihidi huo?Uchaguzi ulikuwa huru na wahaki. Watanzania wameamua kuchagua.
Uchaguzi umeisha, CCM imeshinda kwa kishindo, Lissu karudi kwa mabwana zake, Mbowe, Sugu, Mdee, Zitto, Lema na wengine wengi watatafuta shughuli zingine za kufanya na sisi tuache malumbano yasiyonatija tuchape kazi.
Mungu kamchagua Magufuli awe Rais imetosha,akuna tena makorokoro mengine.
Wana mtu anayetegemea kuongoza malaika wakati yeye ni mwanadamuCCM haina hofu na MUNGU wala nani
Mwingine alisema kwamba jambo Lao limetiki, mnafikiri alikuwa anamaanisha nini!Ni kweli Kuna mwenzenu alisema ushindi wa CCM ni lazima Mungu atake asitake ushindi ni lazima bahati mbaya amefariki wiki iliyopita.Hii ni picha halisi kuwa CCM kwenu MUNGU siyo chochote!