Kwa wana CCM wacha Mungu: Je, mnaamini mmeshinda kihalali na uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Kila mmoja wetu atasimama mbele za kiti cha hukumu

Kwa wana CCM wacha Mungu: Je, mnaamini mmeshinda kihalali na uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Kila mmoja wetu atasimama mbele za kiti cha hukumu

Waliagizwa na Mungu wafanye hivyo. ila swali ni kama wanaamini walishinda kihalali na mioyo yao inashuhudia bila hatia
Waliagizwa na MUNGU waue? Ss nafsi na mioyo yao inashuhudia hilo bila hatia!? Maana hata ccm wanaweza jibu tu ni maagizo ya MUNGU nchi isiangukie kwa watu wabaya.
 
Hahahaaa.unachekesha kweli.hata mbinguni hamna democracy. Kama ipo basi shetani alitakiwa abaki mbinguni. sasa jiulize kwanini alitupwa kuzimu
 
Mungu kweli???

Upumbavu wa Mungu ni zaidi ya hekima ya mwanadamu!

Magufuli hachaguliwa na Mungu wala wananchi wajamchagua !
Mungu aliebariki Mbowe kuwa mwenyekiti wakudumu Chadema ndo huyo aliempa ushindi wa kishindo Magufuli.
 
Haukuwa uchaguzi bali uchafuzi!
709081.jpg
12460.jpg
098765.jpg
 
Uchaguzi umeisha, CCM imeshinda kwa kishindo, Lissu karudi kwa mabwana zake, Mbowe, Sugu, Mdee, Zitto, Lema na wengine wengi watatafuta shughuli zingine za kufanya na sisi tuache malumbano yasiyonatija tuchape kazi.
Ujinga ni kusema tuchape kazi wakati hata kibaruwa huna na unakaa kwa shemeji.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.

CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji Mashehe na Mapadre. Je, ni kweli CCM ilishinda uchaguzi kwa halali? Je, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Ni kweli wananchi waliichagua CCM maeneo yote nchini kwa kura nyingi hivyo? Je, vyombo vya dola havikuingilia uchaguzi na kubadilisha matokeo? Je, tume ya uchaguzi ilisimama katikati kama mwamuzi asiyependelea upande wowote?

Je, Mioyo yetu haina hatia kuhusu Uchaguzi huu?

Kumbuka kila mtu atasimama mbele za kiti cha hukumu cha Mungu.
Rashid Gwajima ndio aina ya maaskofu waliopo ccm, na masheikh wa aina ya Alhad Musa, hawa mungu wao ni Lucifer.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Uchafuzi kwasababu nyie Chadema ndio mliouleta huo uchafu afu mkajikamata nyie wenyewe.
Kuchapisha kura fake na kutamba nazo mitaani tena kwenye vituo vya kupigia kura tena kwenye siku ya kupiga kura ni very serious crime,ni kosa la jinai ambalo ni serious sana!Sasa kama ni chadema walichapisha kura fake kwa nini hawajakamatwa na polisi na kushtakiwa kwa kutenda kosa hilo ambalo ni very serious crime?
 
Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.

CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji Mashehe na Mapadre. Je, ni kweli CCM ilishinda uchaguzi kwa halali? Je, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Ni kweli wananchi waliichagua CCM maeneo yote nchini kwa kura nyingi hivyo? Je, vyombo vya dola havikuingilia uchaguzi na kubadilisha matokeo? Je, tume ya uchaguzi ilisimama katikati kama mwamuzi asiyependelea upande wowote?

Je, Mioyo yetu haina hatia kuhusu Uchaguzi huu?

Kumbuka kila mtu atasimama mbele za kiti cha hukumu cha Mungu.
Hata kukua akiliwa na mwewe hua analaani hivyo hadi anaisha
 
Uchaguzi ulikuwa huru na haki.Tofauti na chaguzi zilizopita uchaguzi wa 2020,upinzani haukujiandaa.
Chadema hawakuwa wamoja.Kampeni ya urais aliachiwa mgombea pekee,wabunge Kila mmoja Alikuwa kivyake,hapakuwa na coordination Kati ya field officials na head office.
Kubwa na Kali Ni ujumbe uliokuwa unasemwa na mgombea urais kwenye kampeni,haukuwa ujumbe wa kutaka kushinda uchaguzi,Katibu Mkuu wa chama hakuwa mgombea wa Jimbo lo lote,katika Hali ya kawaida alitakiwa kuwa mshereheshaji mkuu wa mgombea,lakini Hilo alikuwepo.
 
Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.

CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji Mashehe na Mapadre. Je, ni kweli CCM ilishinda uchaguzi kwa halali? Je, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Ni kweli wananchi waliichagua CCM maeneo yote nchini kwa kura nyingi hivyo? Je, vyombo vya dola havikuingilia uchaguzi na kubadilisha matokeo? Je, tume ya uchaguzi ilisimama katikati kama mwamuzi asiyependelea upande wowote?

Je, Mioyo yetu haina hatia kuhusu Uchaguzi huu?

Kumbuka kila mtu atasimama mbele za kiti cha hukumu cha Mungu.
Kwa akili yako ikiwa timamu kabisa pasipo matumizi ya kilevi kama pombe au bangi ulikuwa unaamini kabisa kwamba Lissu anaweza kumshinda Magufuli?.

Lowassa ndiye aliyekuwa mtihani mkubwa kwa CCM 2015, alikuwa na pesa, ushawishi na hekima ya kiuongozi Lissu hana sifa hizo ni mwanaharakati tu.

Hata hao wabunge wa upinzani walikwisha kuonekana kuwa hawana jipya, walikosa substance katika ubunge wao.
 
Uchaguzi ulikuwa huru na haki.Tofauti na chaguzi zilizopita uchaguzi wa 2020,upinzani haukujiandaa.
Chadema hawakuwa wamoja.Kampeni ya urais aliachiwa mgombea pekee,wabunge Kila mmoja Alikuwa kivyake,hapakuwa na coordination Kati ya field officials na head office.
Kubwa na Kali Ni ujumbe uliokuwa unasemwa na mgombea urais kwenye kampeni,haukuwa ujumbe wa kutaka kushinda uchaguzi,Katibu Mkuu wa chama hakuwa mgombea wa Jimbo lo lote,katika Hali ya kawaida alitakiwa kuwa mshereheshaji mkuu wa mgombea,lakini Hilo alikuwepo.
Kwahiyo hizi ndii sababu za kuwafanye muibe kura?

Vipi na wabunge?

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Kuchapisha kura fake na kutamba nazo mitaani tena kwenye vituo vya kupigia kura tena kwenye siku ya kupiga kura ni very serious crime,ni kosa la jinai ambalo ni serious sana!Sasa kama ni chadema walichapisha kura fake kwa nini hawajakamatwa na polisi na kushtakiwa kwa kutenda kosa hilo ambalo ni very serious crime?
Wahusika wote wamekimbilia nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom